MSITU ULIOFICHA NDUGU WENGI WA WATANZANIA

MSITU ULIOFICHA NDUGU WENGI WA WATANZANIA

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,117
Reaction score
2,485
Lango lake kuu pana barrier ndipo alipo ponea Msaidizi wa Tundu Lisu, msitu unaosimamiwa na TIS na kulindwa kwa zamu na askari wa kikosi maalumu kuhakikisha hakuna mtu anaingia huko kama hajatekwa nyara au kwa maelekezo maalumu. Yes ni hapa Tanzania Bunju huko tutakuja na google stalite view soon !! Panatumika kutesa na kuua watu na wengi wakipotezwa wakaingizwa mle hawarudi uraiani na mtatafuta mpaka mchoke muache na kusahau. Mafwele kama kawaida akiwa kinara na kikosi kazi chake ndio wana lead genge hili chini ya Maelekezo ya Bashite akipokea maelekezo kutoka juu
 
Lango lake kuu pana barrier ndipo alipo ponea Msaidizi wa Tundu Lisu, msitu unaosimamiwa na TIS na kulindwa kwa zamu na askari wa kikosi maalumu kuhakikisha hakuna mtu anaingia huko kama hajatekwa nyara au kwa maelekezo maalumu. Yes ni hapa Tanzania Bunju huko tutakuja na google stalite view soon !! Panatumika kutesa na kuua watu na wengi wakipotezwa wakaingizwa mle hawarudi uraiani na mtatafuta mpaka mchoke muache na kusahau. Mafwele kama kawaida akiwa kinara na kikosi kazi chake ndio wana lead genge hili chini ya Maelekezo ya Bashite akipokea maelekezo kutoka juu
Please send the coordinates accompanied with satellite image if possible.
 
Lango lake kuu pana barrier ndipo alipo ponea Msaidizi wa Tundu Lisu, msitu unaosimamiwa na TIS na kulindwa kwa zamu na askari wa kikosi maalumu kuhakikisha hakuna mtu anaingia huko kama hajatekwa nyara au kwa maelekezo maalumu. Yes ni hapa Tanzania Bunju huko tutakuja na google stalite view soon !! Panatumika kutesa na kuua watu na wengi wakipotezwa wakaingizwa mle hawarudi uraiani na mtatafuta mpaka mchoke muache na kusahau. Mafwele kama kawaida akiwa kinara na kikosi kazi chake ndio wana lead genge hili chini ya Maelekezo ya Bashite akipokea maelekezo kutoka juu
nonsense 🐒
 
Lango lake kuu pana barrier ndipo alipo ponea Msaidizi wa Tundu Lisu, msitu unaosimamiwa na TIS na kulindwa kwa zamu na askari wa kikosi maalumu kuhakikisha hakuna mtu anaingia huko kama hajatekwa nyara au kwa maelekezo maalumu. Yes ni hapa Tanzania Bunju huko tutakuja na google stalite view soon !! Panatumika kutesa na kuua watu na wengi wakipotezwa wakaingizwa mle hawarudi uraiani na mtatafuta mpaka mchoke muache na kusahau. Mafwele kama kawaida akiwa kinara na kikosi kazi chake ndio wana lead genge hili chini ya Maelekezo ya Bashite akipokea maelekezo kutoka juu
Good toa Google map watu waombe satellites images
 
Nilijiuliza maswali kama Djumbe hao vibaka walikaa nae saa 2 amerudi vile napo ni baada ya vijana waendesha pikipiki kuwakimbiza wale vibaka ambao walishakubaliana wakammalize.

Vipi akina Soka, Mdude , Polepole walipitia mateso kiasi gani kabla ya kuuwawa?
 
Back
Top Bottom