Msitiri anahitajika (MUME)

Kuwa na subra utapata tu!, km ulivyokuwa ukitafuta kazi hatimae ukapata sasa imani ile ielekezee kule ili upewe mume sahihi. Kila raheli madame! am still young tungesaidiana lakin gap ni kubwa sana. Pata kazi pata mume

Nashukuru sana kwa kunipa moyo!
 

ukhti sifa zote nnazo ila mie LOFA,,,,nakuombea Allah umpate mwenye sifa zote ulizozibainisha bibie GCM_RCM
 
Last edited by a moderator:

Pm yangu naona inagoma best yangu mm sifa zangu ni kama ifuatavyo
Elimu-diploma
Kazi-nimejiajili
Umri-30
Umbo- si mwembaba sana
Rangi-maji ya kunde
Urefu-172
dini-musli
Sifa kubwa nilionayo-mcheshi sana
Makazi-dar
 

Pm yangu naona inagoma best yangu mm sifa zangu ni kama ifuatavyo
Elimu-diploma
Kazi-nimejiajili
Umri-30
Umbo- si mwembaba sana
Rangi-maji ya kunde
Urefu-172
dini-musli
Sifa kubwa nilionayo-mcheshi sana
Makazi-dar es salaam
 
kama dini ina stiri usingetafuta mtu mume kuusitiri utu wako wa kike.

Kumbuka na pia tumia akili kuelewa kuwa huolewi na dini bali unaolewa na mwanamume.

"when you are ridding to the road dont complicate your mind"

punguza dharau (elimu)

kwa maana mume anapenda kunyenyekewa.

kwa kuwa wewe ndiye msaka mume ungefanya jambo jema zaidi kama ungeweka ahadi mezani ili mtarajiwa avutike i.e hutasumbuliwa na past za mumeo, mapato chako hakitakuwa nyanyaso kwake kwa namna yoyote, utakuwa mvumilivu kwenye mchakamchaka wa maisha ya kifamilia (ambayo ni mageni kwako kama sio kwenu)
N.K
 
this sounds serious... kila la kheri dada, upate atae kufaa!!!
 
usijari nilikua nakuchemsha tu! kiukweli mimi nina sifa zote ulizotaja isipokuwa dini ndio tofauti, na kwa maandishi yako unaonekana ni mwanamke mwelewa sijui tunafanye rafiki yangu ili tuweze kusitiriana, niko serious katika hili!

Hapana shaka Kayaman, nimejua kwamba ni mzaha tu.
Jamani dini hapo kazi kwelikweli, yani imani ni kitu muhi kweli kwangu. Najua utapata mwingine mwema haswaa na ambae mtapendana kwa dhati ya nyoyo zenu. Ubarikiwe sana!
 
Pm yangu naona inagoma best yangu mm sifa zangu ni kama ifuatavyo
Elimu-diploma
Kazi-nimejiajili
Umri-30
Umbo- si mwembaba sana
Rangi-maji ya kunde
Urefu-172
dini-musli
Sifa kubwa nilionayo-mcheshi sana
Makazi-dar

Nimekuelewa bwana Kikoozi, ila mbona umri wako ni mdogo sana. Tafadhali usinielewe vibaya ila hiyo tofauti ni kubwa. Nakuombea upate ambae utakuwa umemzidi kidogo jamani, sisi wanawake tunachoka haraka sana na hivyo ni muhim kuoa ambae ni mdogo kwako ili mzeeke wote mkiwa na nguvu.

Nashukuru kwa kuonyesha nia KIkoozi na Mungu akujalie upate mwenza mwema wa nje na ndani ya roho!
 

mh! haya ndugu nimekuelewa. Nashukuru kwa muda na ushauri wako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…