TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,564
Ndugu yangu nadhan unajambo la kujifunza kuhusu huu ubadhilifu wa tanzania, ni kweli haya yote yamekuwa kero kwa wananchi na ccm kwa kulitambua hilo wameamua kufanya mabadiliko makubwa kabisa kuwahi kutokea kwa kuwaondoa mafisad papa ambao ndio ilikuwa ajenda ya upinzan sasa leo hao manyangumi ndio wamekuwa vinara wa mabadiliko ni aibu kubwa pamoja na kuwa kwa uwezo wako umetizama ukaona ccm kizazi cha nyoka lakin amin usiamin mambo hayo ndo yatakuwa kwa upinzani
I was about to be duped by this so called transformation happening within CCM party but then I discovered that what's happening is just smoke screen and mirror. Dr Magufuli is just a figurehead, there's still big boys (Kikwete,Mkapa,many filthy guys) who will still be pulling the string for him.We need to get rid of current rotten and dysfunctional system (CCM) and begin from the scratch, don't be duped by Dr Magufuli cleanness nonsense.