Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,044
- 5,920
kwahiyo hatujawahi kutawaliwa na mkoloni kwa vile tunaitwa Tanzania sasa?????kwa minajili hiyo ccm sio chama cha ukombozi kilichoitoa nchi yetu mikononi mwa mkoloni mzungu????
Binti Magufuli analeta hoja duni mno kiasi kwamba huenda akasababisha ama thread yake itupiwe kapuni kwa sababu ya milipuko ya wachangiaji au watu wapigwe ban humu ndani.
Vv