Msipotoshe, CCM haijatawala Miaka 50

Msipotoshe, CCM haijatawala Miaka 50

Watetezi wengi wa Lowassa ni watoto wa 1990- na ukijumlisha na uvivu wao wa kusoma basi unapata jibu la wanayoyasema haraka tu, ukiwaona wote much know, yaani kila mtu anajua, ila ndo unawaona katika productions zao maeneno tofauti, wanalipua, wanatoa vitu ambavyo ni cheap mno, vichwani weupe zaidi ya sembe ..yaani ni hasara kwa Taifa kama kunakuwepo watu wenye soft minds kiasi hiki

Hivi wanaojikataa wenyewe mchana kweupe, wazazi wao (Lodi Lofa & co) wakiwa bado hai, ndio wanawekwa kundi gani?
 
Huu ndiyo ukweli na ni lazima tuuelezenchama cha mapinduzi hatujaongoza nchi kwa miaka 50 Iko hivi .

1--1961 tulipopata uhuru TANU ndiyo iliongoza Tanganyika na si Tanzania hadi 1977 ni miaka 16.

1964 zanzibar ilifanya mapinduzi matakatifu na ASP ndiyo iliingoza nchi .

2--1964 tuliunganisha nchi kuwa Tanzania lakini vyama viliongoza eneo lake na si chama cha mapinduzi .

3--1977 ndipo tuliunganisha vyama vya TANU na ASP na kuzaliwa CCM hivyo ccm iliiongoza tanzania toka 1977 hadi 1995 tulipofanya uchaguzi wa vyama vingi ni takribani miaka 18 tu na hao wanaojiita wapinzani wakiwemo ndani ya serikali yaCCM.

Hivyo hawana sababu ya kukwepa amma kuzusha amma kuongopa kua hawakuwemo amma kushiriki na kutoa michango yao kwa miaka 34 toka tupate uhurub1961 hadi 1995.

4--Baada ya uchaguzi 1996 ndipo CCM kwa kuaminiwa na wananchi tulikabidhiwa kuwaongoza na kuiongoza nchi ni miaka19 tu na si 50 kama inavyodaiwa na kupotoshwa na vyama na wanachama wa vyama vya upinzani Tanzania.

5--Kwa mtazamo wako kwa akili na busara usikubali kudanganywa na upotoshaji huu usio na tija wala faida hauna takwimu wala tafiti za kweli na za maana zilizofanyiwa kazi kwa umakini nao.

6--Hii ni kuthibitisha kua wanachama wa vyama vya upinzani hawapo tayari kuwaambia watanzania ukweli na kuukubali ukweli sababu wamezoea kupinga na kusema uongo daima.

7--Nawaomba na kuwashauri watanzania kuwa makini kutowasikiliza na kutowapigia kura 25 oktoba sababu nia na madhumuni yao hayapo wazi ni kututumbukiza katika matatizo makubwa.

8--Chagua kilicho bora chagua chama cha mapinduzi na viongozi wake kwa manufaa maendeleo na mustakabali mzuri wa taifa letu kwa amani utulivu upendo na maendeleo.

Mungu awabariki sana muwe na busara na hekima muchague chama cha mapinduzi kuanzia madiwani wabunge na raisi.

9--Mungu ibariki tanzania na watu wake tujaalie afya busara na hekima.

Imetengenezwa nami HALFAN SAIDI DOSI kada wa chama cha mapinduzi.

Mimi sitaki kushiriki katika chama chochote cha siasa kwa kuwa mwanachama au kiongozi.

Na sijawahi kuwa mwanachama au kiongozi wa chama chochote cha siasa.

Je nilikuwa katika CCM kwa kutokuwa mwanachama wa chama chochote?

Kama nilikuwa, kivipi?

Kama sikuwa, nikiwajumuisha wote waliokuwa CCM kama tatizo langu utanikatalia?
 
Hata kama ingetutawala wiki moja tu, bado kwa matendo ya muda wa Utawala wake, tunaiondoa madarakani!!
sis watanzania ni wa ajabu sana maana maana unaposema hivyo wewe umekumbwa na mkumbo na hivyo kura yako itapigwa kwa mkumbo
hebu tuweni japo na akili za kawaida tu ili basi mtu asijekutuendesha kias hicho siasa ikaendelea kutuharibu
 
Kwa sasa vijana tuliowengi kimsingi tumekumbwa na mahaba ya mabadiliko bila kujali aina ya mabadiliko
japo ni vyema pia tukajua maana ya usemi wa mwl nyerere
hivyo ni vyema kama wananchi tupige kura si kwa kigezo cha kuiondoa ccm bali kupata kiongozi bora
 
Miaka yote hiyo wananchi wameshuhudia Tembo wakiisha, Dhahabu inatoweka, almasi kwishnei, Gas nayo wanalazimisha iwanufaishe wazungu ... CCM kizazi cha nyoka
Ndugu yangu nadhan unajambo la kujifunza kuhusu huu ubadhilifu wa tanzania, ni kweli haya yote yamekuwa kero kwa wananchi na ccm kwa kulitambua hilo wameamua kufanya mabadiliko makubwa kabisa kuwahi kutokea kwa kuwaondoa mafisad papa ambao ndio ilikuwa ajenda ya upinzan sasa leo hao manyangumi ndio wamekuwa vinara wa mabadiliko ni aibu kubwa pamoja na kuwa kwa uwezo wako umetizama ukaona ccm kizazi cha nyoka lakin amin usiamin mambo hayo ndo yatakuwa kwa upinzani
 
Hivi kwani mtu ukibadili jina lako na umri wako nao unabadilika?
ni vyema uelewe kuwa ccm haikutokana na Tanu kubadilisha jina la hasha bali ilitokana na Muunganiko wa vyama viwili vyenye sera tofauti, yaani ASP naTANU na vilikuwa na uongozi tofauti na ndio maana wapo waliopoteza uongozi kwenye muunganiko huu
maana hiyo ccm ilizaliwa rasmi 1977 kwenye mfumo wa chama kimoja ambapo kila mtanzania alikuwa mwana Tanu akiwemo mbowe, lowassa,mtei na wengine wengi chini ya rais nyerere ambapo kwa wakati ule ilipigania uhuru wa africa mpaka ukapatikana
Pamoja na hayo yote 1992 baada ya mfumo wa vyama vingi awamu za ccm toka 1995 zimekuwa chini ya watendaji wakuu watatu
FREDRICK SUMAYE
EDWARD LOWASSA
MIZENGO PINDA
Kati ya hao wawili wapo upinzan wakisema ccm haijafanya kitu, swali lakujiuliza wao kama mawaziri wakuu walikuwa wanafanyaje?
halafu hapohapo wanasema tumejenga shule za kata na chuo kikuu Udom je hayo wameyafanya wakiwa chama gan?
ndio maana nkakuambia unahaja ya kujifunza acha kukurupuka

 
Je mwaka 1961 kulikuwa na Chama cha CCM?
Ni kama vile Useme ukawa ilikuwepo tokea 2010 kwa kuwa tu vyama vya umoja huo vilikuwepo miaka hiyo.

Jiongezee

CCM ikikuwepo toka Uhuru, nikuwa 1977 ilibadili jina kutoka TANU kuwa CCM.
Ndio maana hata Mali zote za TANU zilirithiwa na CCM,kama ingekuwa TANU ndio imekufa pale basi Mali zingekuwa zimerejeshwa kwa wananchi na ccm ingeanza a fresh kwa kila kitu.
Usitudanganye wakati hata watumishi waliendelea na nyazifa zao zilezile toka Tanu kwenda ccm

Chakaza wewe ukiwa haupo nyumbani, lazima watotowako lazima watakuwa wanakuita Mr.Zero...
Asante Binti Magufuli
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwani mtu ukibadili jina lako na umri wako nao unabadilika?

Ama kweli ndo maana huwa nasema huwezi ukawa na akili timamu halafu bado ukawa unaiunga mkono CCM.

Kimfumo inafika kwani kulikuwa ni muendelezo wa sera zilezile ila majina ya chama yalikuwa yanabadilika tu

taratibu naona mmeanza kukataa chimbuko na uhalisia wenu mnajidai kuwa ni chama kipya kumbe genge la wahuni na mafisadi. Hakuna namna watanzania wameshasema ccm kwaheri karibu ukawa.

Mtasema UKAWA una zaidi ya miaka 20 simply b'se ni muunganiko wa vyama ambavyo vina zaidi ya miaka 20? Wakuu, mnaongea uharo zaidi ya ule wa stendi
 
Huu ndiyo ukweli na ni lazima tuuelezenchama cha mapinduzi hatujaongoza nchi kwa miaka 50 Iko hivi .

1--1961 tulipopata uhuru TANU ndiyo iliongoza Tanganyika na si Tanzania hadi 1977 ni miaka 16.

1964 zanzibar ilifanya mapinduzi matakatifu na ASP ndiyo iliingoza nchi .

2--1964 tuliunganisha nchi kuwa Tanzania lakini vyama viliongoza eneo lake na si chama cha mapinduzi .

3--1977 ndipo tuliunganisha vyama vya TANU na ASP na kuzaliwa CCM hivyo ccm iliiongoza tanzania toka 1977 hadi 1995 tulipofanya uchaguzi wa vyama vingi ni takribani miaka 18 tu na hao wanaojiita wapinzani wakiwemo ndani ya serikali yaCCM.

Hivyo hawana sababu ya kukwepa amma kuzusha amma kuongopa kua hawakuwemo amma kushiriki na kutoa michango yao kwa miaka 34 toka tupate uhurub1961 hadi 1995.

4--Baada ya uchaguzi 1996 ndipo CCM kwa kuaminiwa na wananchi tulikabidhiwa kuwaongoza na kuiongoza nchi ni miaka19 tu na si 50 kama inavyodaiwa na kupotoshwa na vyama na wanachama wa vyama vya upinzani Tanzania.

5--Kwa mtazamo wako kwa akili na busara usikubali kudanganywa na upotoshaji huu usio na tija wala faida hauna takwimu wala tafiti za kweli na za maana zilizofanyiwa kazi kwa umakini nao.

6--Hii ni kuthibitisha kua wanachama wa vyama vya upinzani hawapo tayari kuwaambia watanzania ukweli na kuukubali ukweli sababu wamezoea kupinga na kusema uongo daima.

7--Nawaomba na kuwashauri watanzania kuwa makini kutowasikiliza na kutowapigia kura 25 oktoba sababu nia na madhumuni yao hayapo wazi ni kututumbukiza katika matatizo makubwa.

8--Chagua kilicho bora chagua chama cha mapinduzi na viongozi wake kwa manufaa maendeleo na mustakabali mzuri wa taifa letu kwa amani utulivu upendo na maendeleo.

Mungu awabariki sana muwe na busara na hekima muchague chama cha mapinduzi kuanzia madiwani wabunge na raisi.

9--Mungu ibariki tanzania na watu wake tujaalie afya busara na hekima.

Imetengenezwa nami HALFAN SAIDI DOSI kada wa chama cha mapinduzi.
Unakunya na kula kinyesi chako mwenyewe!!!!! Ni punguani peke yake ndo anaweza kufanya hivyo. Kajipange urejee upya.
 
Ndugu yangu nadhan unajambo la kujifunza kuhusu huu ubadhilifu wa tanzania, ni kweli haya yote yamekuwa kero kwa wananchi na ccm kwa kulitambua hilo wameamua kufanya mabadiliko makubwa kabisa kuwahi kutokea kwa kuwaondoa mafisad papa ambao ndio ilikuwa ajenda ya upinzan sasa leo hao manyangumi ndio wamekuwa vinara wa mabadiliko ni aibu kubwa pamoja na kuwa kwa uwezo wako umetizama ukaona ccm kizazi cha nyoka lakin amin usiamin mambo hayo ndo yatakuwa kwa upinzani
Ndugu yangu utakuwa na kiharusi kwenye AKILI yako siyo bureeeeee. Ukinijibu ipasavyo juu ya watu hawa ndani ya ccm ambao wamekuwa wakihusika katika kila dili za kuhujumu nchi nitaamini mafisadi papa wameondoka ccm.
1. Mh: Endrew Chenge
2. Mh: Ngereja
3. Mh: Rais JMK (Rejea List of shame na (escrow, EPA n.k)
4. Mh Kinana (ujangiri wa meno ya Tembo)
5. Mh Anna Tibaijuka.
Hao wachache kati ya wengi waliopo huko. Niambie walipo ndugu yangu ili na mie nipevuke.
 
Kwa sasa vijana tuliowengi kimsingi tumekumbwa na mahaba ya mabadiliko bila kujali aina ya mabadiliko
japo ni vyema pia tukajua maana ya usemi wa mwl nyerere
hivyo ni vyema kama wananchi tupige kura si kwa kigezo cha kuiondoa ccm bali kupata kiongozi bora
Kiongozi bora ni Mh: EDWARD NGOYAI LOWASSA. FULL STOP.
 
Kuna wakati mwingine inabidi tu tusome na tupite pasipo kuandika chochote...

Thread kama hii inatia uvivu hata kujibu...
 
Ukiona historia ya mgonjwa inarejewa ujue hali ya huyo mgonjwa ni mbaya sana,
 
Ok Binti Magufuli, tuchukulie ni miaka 19. Hii inatutia hamasa zaidi kuiondoa CCM kwa vile kama kwa miaka kumi na tisa imebomoa na kuharibu maendeleo yote yaliyofanywa na TANU, kuna sababu gani ya kuendelea kuwaacha madarakani!
Wewe katika miaka 19 ondoa miaka 10 ya Sumaye waziri mkuu na pia ondoa miaka 3 ya Lowasa waziri mkuu, unabaki na miaka 6, kwa sababu utetezi wetu ukawa tunasema hawa wawili walifanya mambo ya kueleweka sio au? Kwa hiyo tuiadhibu ccm kwa miaka 6 tuu. Ina maana hata hii miaka 6 hakuna kikichofanyika, ?? Embu tuwe fair. Asilimia 85 ya miaka hiyo 19 ilikuwa chini ya uongozi wa wagombea wetu kina Lowasa. Je bado unasema hawakufanya kitu? ? Na kama hawakufanya kitu kwa uwezo wao woote tutegemee miujiza gani sasa! Ndii maana tunaitwa wapumbavu na malofa. Na mimi nasema sawa kabisa nakubali.
 
Last edited by a moderator:
Je mwaka 1961 kulikuwa na Chama cha CCM?
Ni kama vile Useme ukawa ilikuwepo tokea 2010 kwa kuwa tu vyama vya umoja huo vilikuwepo miaka hiyo.

Jiongezee

Nadhani wewe huelewi hata contest nzima kwa nini watu wanasema ccm kwa ujumla bila kutaja Tanu, ccm ilirithi kuanzia viongozi, itikadi, sera hadi mfumo mzima wa uongozi kutoka Tanu, huwezi ukaifananisha na ukawa ambayo ina viongozi tofauti ambao wana itikadi tofauti, sera tofauti na mifumo tofauti
 
Mtasema UKAWA una zaidi ya miaka 20 simply b'se ni muunganiko wa vyama ambavyo vina zaidi ya miaka 20? Wakuu, mnaongea uharo zaidi ya ule wa stendi

Great thinker awezi toa majibu ya kishenzi kama hyo yako. Ulitakiwa ujibu hoja kwa hoja nzito na sio midhaa au kupanic kwa kushindwa kujibu hoja. Anyway sikushangai ata ivyo viongozi wenu wa ccm huwa ndio majibu Yao hyo kwa hyo utakuwa umemezeshwa au kichwani kwako utakuwa umepakwa huo uharo na mijizccm. Oct 25 ni mwendo wa mabadiliko.
 
Great thinker awezi toa majibu ya kishenzi kama hyo yako. Ulitakiwa ujibu hoja kwa hoja nzito na sio midhaa au kupanic kwa kushindwa kujibu hoja. Anyway sikushangai ata ivyo viongozi wenu wa ccm huwa ndio majibu Yao hyo kwa hyo utakuwa umemezeshwa au kichwani kwako utakuwa umepakwa huo uharo na mijizccm. Oct 25 ni mwendo wa mabadiliko.
Mimi sijajiita Great Thinker...Sasa wewe ambaye ni great thinker hebu jibu hilo swali nililouliza...Unaweza kusema UKAWA ina zaidinya miaka 20 eti kwasababu vyama shirikishi vina zaidi ya miaka 20? Bila shaka we mzee ulikimbia umande!
 
Huu ndiyo ukweli na ni lazima tuuelezenchama cha mapinduzi hatujaongoza nchi kwa miaka 50 Iko hivi .

1--1961 tulipopata uhuru TANU ndiyo iliongoza Tanganyika na si Tanzania hadi 1977 ni miaka 16.

1964 zanzibar ilifanya mapinduzi matakatifu na ASP ndiyo iliingoza nchi .

2--1964 tuliunganisha nchi kuwa Tanzania lakini vyama viliongoza eneo lake na si chama cha mapinduzi .

3--1977 ndipo tuliunganisha vyama vya TANU na ASP na kuzaliwa CCM hivyo ccm iliiongoza tanzania toka 1977 hadi 1995 tulipofanya uchaguzi wa vyama vingi ni takribani miaka 18 tu na hao wanaojiita wapinzani wakiwemo ndani ya serikali yaCCM.

Hivyo hawana sababu ya kukwepa amma kuzusha amma kuongopa kua hawakuwemo amma kushiriki na kutoa michango yao kwa miaka 34 toka tupate uhurub1961 hadi 1995.

4--Baada ya uchaguzi 1996 ndipo CCM kwa kuaminiwa na wananchi tulikabidhiwa kuwaongoza na kuiongoza nchi ni miaka19 tu na si 50 kama inavyodaiwa na kupotoshwa na vyama na wanachama wa vyama vya upinzani Tanzania.

5--Kwa mtazamo wako kwa akili na busara usikubali kudanganywa na upotoshaji huu usio na tija wala faida hauna takwimu wala tafiti za kweli na za maana zilizofanyiwa kazi kwa umakini nao.

6--Hii ni kuthibitisha kua wanachama wa vyama vya upinzani hawapo tayari kuwaambia watanzania ukweli na kuukubali ukweli sababu wamezoea kupinga na kusema uongo daima.

7--Nawaomba na kuwashauri watanzania kuwa makini kutowasikiliza na kutowapigia kura 25 oktoba sababu nia na madhumuni yao hayapo wazi ni kututumbukiza katika matatizo makubwa.

8--Chagua kilicho bora chagua chama cha mapinduzi na viongozi wake kwa manufaa maendeleo na mustakabali mzuri wa taifa letu kwa amani utulivu upendo na maendeleo.

Mungu awabariki sana muwe na busara na hekima muchague chama cha mapinduzi kuanzia madiwani wabunge na raisi.

9--Mungu ibariki tanzania na watu wake tujaalie afya busara na hekima.

Imetengenezwa nami HALFAN SAIDI DOSI kada wa chama cha mapinduzi.

Hivi ukibadili dini kutoka Uislamu kwenda Ukristu na kuwa askofu utasema hukuwahi kwenda msikitini kwakuwa wewe sasa ni askofu?what a childish reasoning!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom