Msioolewa bahati iliyoje hii Mshindi wa 'Tuzo' ya Kimataifa 'amechoka' sasa kuwa 'Single' na anamtafuta Mwenza wake wale Kuku!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,912
"Panya Magawa yupo 'single' kwa sasa, kwenye vitengo kuna panya maalum kwa ajili ya kuzalishaji na tunawatambulisha kwamba huyu ndiyo mwenzake kama atakubali sawa maana anaweza kukataa na utaona dalili, na kama wamekubaliana utaona dalili za makubaliano yao," Mkufunzi wa Panya Magawa, Pendo Msegu akizungumza katika kipindi East Africa.

HabariLeo

'Ukiolewa' nae huyu 'Mshindi' wa 'Tuzo' hii ya Kimataifa si tu kwamba nawe utajulikana Kimataifa bali 'Utajiri' Kwako wala hautokuwa mbali kabisa.
 
Back
Top Bottom