isamilo1982
Member
- Jan 17, 2012
- 55
- 5
- Thread starter
- #21
Jamani WINGU,kwani we huyo uliye naye ulimpata mtaani kwenu?
we Wingu wewe!kha! kwani huyo mpenzi wako imemtoa mtaani kwenu?si mmekutana nanii..... au unadhani sijui?Hapo unapo ishi hamna wanaume mpaka uje huku.Au unataka uwapunguze member wa jf ushindwe na .....
Nicheki chenye simu 0713 64 44 85 and Mail emmanuelvitalis@tanzaniamail.comnahitaji mume mwenzenu,mi sijasoma ila mwaka jana nimefa qt na sasa naendelea na masomo ya sekondari mwaka huu nitafanya mtian wa fm 4 ila nafanya kazi kwenye ofisi moja kama muhudumu ni kazi inayonifanya niweze kujikimu.Nina mtoto m1 mimi ni mkristo nimeokoka,nina miaka 29.Aliye mkristo na ambaye ameokoka :washing:kikweli kweli na angalau awe na mtoto m1,sichagui rangi kabila lolote ila tu asiwe mzaramo.Aliye tayari namkaribisha.Sitanii japo najua wapo watakaonibeza
Hahahahaha kaka umetisha nimecheka sana,MxUNGEKUWA MLOKOLE KWELI USINGEKUWA NA MTOTO WA OFFSIDE...chezea ukuni weeeee
Mzaramo si mtu?
Nicheki chenye simu 0713 64 44 85 and Mail emmanuelvitalis@tanzaniamail.com uwe serious lakini
Watu wengine bana. .
Hapo aliposema alizaliwa akiwa mlokole ni wapi?
Na wewe mtoa mada kama hubagui kabila mbona lipo ulilosema hutaki? Kanisani mnafundishwa ubaguzi siku hizi ehhh?
Huchagui kabila wakati ushasema hutaki Mzaramo!
Mzaramo si mtu?
Hawa waume unaotafuta online, utaishia kupata mtoto wa pili na kuendelea!
Mzaramo si mtu?