isamilo1982
Member
- Jan 17, 2012
- 55
- 5
nahitaji mume mwenzenu,mi sijasoma ila mwaka jana nimefa qt na sasa naendelea na masomo ya sekondari mwaka huu nitafanya mtian wa fm 4 ila nafanya kazi kwenye ofisi moja kama muhudumu ni kazi inayonifanya niweze kujikimu.Nina mtoto m1 mimi ni mkristo nimeokoka,nina miaka 29.Aliye mkristo na ambaye ameokoka :washing:kikweli kweli na angalau awe na mtoto m1,sichagui rangi kabila lolote ila tu asiwe mzaramo.Aliye tayari namkaribisha.Sitanii japo najua wapo watakaonibeza