OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 457
- 773
Achana na hustles za mtaani ndugu zangu, Jamaa yangu alihudhuria mafunzo ya ujasiriamali SIDO ili aweze kupata hela za mkopo ambazo kwa kipindi kile zilikuwa nafuu sana. Basi jamaa alitoa hela ya mafunzo akitegemea hela nyingi sana.
Mafunzo yalikwenda kwa miezi miwili walipomaliza akaambiwa asubiri, aisee alisubiri sana, alisubiri hadi akasahau kuwa kuna sehemu aliweka mchongo wa hela.
Walimpigia simu miezi 9 baadae na kumwambia hela yake ipo tayari akachukue, kipindi hiko hata wazo la biashara alililokuwa nalo awali ashalisahau alikuwa anapiga mishe nyingine. Na kimsingi alisahau kama aliomba hela ilibidi jamaa wajitambulishe.
Aliwajibu tu kwa upole msinipigie simu, namba zangu zifuteni, nisije nikala hela zenu halafu mkanifunga bure. Baadae jamaa aliishi kama wamemuharibia siku hivi.
Kwa ndugu zangu kwenye hustles za kujiajiri mshawahi kutana na kisanga kama hiki?
Mafunzo yalikwenda kwa miezi miwili walipomaliza akaambiwa asubiri, aisee alisubiri sana, alisubiri hadi akasahau kuwa kuna sehemu aliweka mchongo wa hela.
Walimpigia simu miezi 9 baadae na kumwambia hela yake ipo tayari akachukue, kipindi hiko hata wazo la biashara alililokuwa nalo awali ashalisahau alikuwa anapiga mishe nyingine. Na kimsingi alisahau kama aliomba hela ilibidi jamaa wajitambulishe.
Aliwajibu tu kwa upole msinipigie simu, namba zangu zifuteni, nisije nikala hela zenu halafu mkanifunga bure. Baadae jamaa aliishi kama wamemuharibia siku hivi.
Kwa ndugu zangu kwenye hustles za kujiajiri mshawahi kutana na kisanga kama hiki?