Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
.
Pole sana... nlikuwa nafikiria ni zile frustrations zetu...Katoto kangu kamoja nilikokazaa kalichukuliwa na Mola on the very same day... Kalikuwa ni katoto ka kiume kalikosheheni kilo za kutosha.
Baada ya kuona safari hasiongi na huyu mwanamke (soley based on what happened) nikamuacha aende zake na hivi sasa keshaolewa na mwanaume mwingine!
Bizness nazo zimekwama. Kila nikiwekeza pesa kwenye biashara zinaliwa tu... Every day nikurudi back to square one!
Kwa kweli mniombee tu! Nina frustration za kutosha...
Mtumaini Mungu kwa jambo lolote, unapopita kwenye magumu, kuna mwingine mambo yake yananyooka. Hata mimi nimekosa pa kuandika magumu yangu katika mwaka huu hadi nitakapovuka magumu haya. Nitaandika hata kitabu.Katoto kangu kamoja nilikokazaa kalichukuliwa na Mola on the very same day... Kalikuwa ni katoto ka kiume kalikosheheni kilo za kutosha.
Baada ya kuona safari hasiongi na huyu mwanamke (soley based on what happened) nikamuacha aende zake na hivi sasa keshaolewa na mwanaume mwingine!
Bizness nazo zimekwama. Kila nikiwekeza pesa kwenye biashara zinaliwa tu... Every day nikurudi back to square one!
Kwa kweli mniombee tu! Nina frustration za kutosha...
Pole sana, ndio maisha hakuna easy life maisha lazima kuwe na changamoto na hasa ukiwa mtoto wa kiume,kutakua na kejeli fedheha,kusimangwa ukishika hili haliendi lile haliendi,ila kumbuka mwenyezi Mungu hawezi kukupa kilema akakukosesha mwendo,huo mtihani mwenyezi mungu anajua kua utaweza,na inshallah utaiweza muombe mwenyezi mungu kwa bidii na kwa dhati na inshallah atakupa hakuna dhiki wa dhiki..Katoto kangu kamoja nilikokazaa kalichukuliwa na Mola on the very same day... Kalikuwa ni katoto ka kiume kalikosheheni kilo za kutosha.
Baada ya kuona safari hasiongi na huyu mwanamke (soley based on what happened) nikamuacha aende zake na hivi sasa keshaolewa na mwanaume mwingine!
Bizness nazo zimekwama. Kila nikiwekeza pesa kwenye biashara zinaliwa tu... Every day nikurudi back to square one!
Kwa kweli mniombee tu! Nina frustration za kutosha...