Msimu wa kero ya michango ya harusi umewadia, Umejiandaaje?

Msimu wa kero ya michango ya harusi umewadia, Umejiandaaje?

1.Nina kadi ya harusi ya czn wangu tarehr 29/4
2.Nina kadi ya harusi ya kaka wa baba mdogo tarehe 15/ 5
3. Nina kadi ya mtoto wa mjomba anaowa tarehe 29/5
4. Nipo kwenye kamati ya kaka yangu toka ni toka anaowa tare 10/6
5. Staff mwenzetu katupa kadi ndoa mwez 7
6. Staff mwingine send off wiki ya kwanza ya mwez wa 7

7 . Nipo katibu wa kamati ya harusi ya rafiki yangu kipenz mwez wa 8, tunaanza kikao cha
Kwanza after pasaka...

Mshahara wangu take home laki 5.. nisaidieni nafanyaje....

Toa

Ila Usile, usinywe usilipe umeme wala maji na kazini uende kwa miguu
 
Kuna kamchezo wanako wadada, ukianza kumdate tu unapewa na taarifa ya harusi. Akili kumkichwa hapo
 
Tungekuwa tunachangishana ada,matibabu,mitaji na mambo endelevu tungekua mbali sana,unataka kufanya harusi ya mil 10-20 ilhali kipato chako ni 500k kwa mwezi.unapoteza muda kwenye vikao na kukusanya kadi miezi sita alafu unakuja kuichoma yote ndani ya siku moja,pathetic.
Mbaya zaidi harusi zenyewe zote zinafanana skuiz,same ol routine masheups,unnecessary overpriced make ups,matarumbeta,kukata keki,shampagne etc same ol crap.yote kuiga wazungu,ilhali waweza kuwa mbunifu ukafanya harusi ndogo lakini nzuri
 
Mi. Huwa sichangi, yaani uroda ale yeye pesa nitoe mimi!! Haiingi akilini kabisaa !!
 
Tungekuwa tunachangishana ada,matibabu,mitaji na mambo endelevu tungekua mbali sana,unataka kufanya harusi ya mil 10-20 ilhali kipato chako ni 500k kwa mwezi.unapoteza muda kwenye vikao na kukusanya kadi miezi sita alafu unakuja kuichoma yote ndani ya siku moja,pathetic.
Mbaya zaidi harusi zenyewe zote zinafanana skuiz,same ol routine masheups,unnecessary overpriced make ups,matarumbeta,kukata keki,shampagne etc same ol crap.yote kuiga wazungu,ilhali waweza kuwa mbunifu ukafanya harusi ndogo lakini nzuri
Acha tujifirisi, kama kulikabili hili ni woga basi tuendele kuchangia
 
Nina kadi za watu watatu tofauti
1. Send off. 20000
2. Harusi,25000 single
3. Harusi 30000 single.
Sasa Nipo na wife si watanitoa mabega?.
 
Ur not in my cycle kukuchangia sahauuu....kuna watu hata usipowachangia no effect
Na kuna watu they are ur peeps kitambo,mnakutana kila mara nk..usipochanga we mchawi..
 
[emoji3][emoji3]mkuu sasa huna kazi misalaba yote hiyo ya nnachana nayo waambie huna km ni watu wa karibu jitolee kufanya majukumu ambayo hayaitaji pesa
ndio akili iliyobaki kutumia physical strength [emoji123] kuziba economic weakness yangu [emoji32]
 
Mara ya mwisho kuchangia harusi ilikuwa 2011, sahv nimefuta kabisa huo utaratibu wa michango ya harusi, tushirikiane kwenye habari nyingine za kimaendeleo, misiba au ugonjwa, walininunia , wakasema ila mwisho wamekubali,
 
Kuna options pia mfano kuliko kuchanga laki kwa mfano unachangia 20 thou za zawadi za vikundi vile overrr...afu huendi, minimal cost
 
1.Nina kadi ya harusi ya czn wangu tarehr 29/4
2.Nina kadi ya harusi ya kaka wa baba mdogo tarehe 15/ 5
3. Nina kadi ya mtoto wa mjomba anaowa tarehe 29/5
4. Nipo kwenye kamati ya kaka yangu toka ni toka anaowa tare 10/6
5. Staff mwenzetu katupa kadi ndoa mwez 7
6. Staff mwingine send off wiki ya kwanza ya mwez wa 7

7 . Nipo katibu wa kamati ya harusi ya rafiki yangu kipenz mwez wa 8, tunaanza kikao cha
Kwanza after pasaka...

Mshahara wangu take home laki 5.. nisaidieni nafanyaje....
Deal na namba 4. Nyingine potezea
 
Back
Top Bottom