Msimu wa kero ya michango ya harusi umewadia, Umejiandaaje?

Msimu wa kero ya michango ya harusi umewadia, Umejiandaaje?

Mie sasa hivi nimebakiza kuchangia KANISA tu hasa kwenye issue za UINJILISTI.

Kwingine mtanisamehe..! Nikikupa buku 20 ya harusi mshukuru Mungu na sio kulalamika.
 
1.Nina kadi ya harusi ya czn wangu tarehr 29/4
2.Nina kadi ya harusi ya kaka wa baba mdogo tarehe 15/ 5
3. Nina kadi ya mtoto wa mjomba anaowa tarehe 29/5
4. Nipo kwenye kamati ya kaka yangu toka ni toka anaowa tare 10/6
5. Staff mwenzetu katupa kadi ndoa mwez 7
6. Staff mwingine send off wiki ya kwanza ya mwez wa 7

7 . Nipo katibu wa kamati ya harusi ya rafiki yangu kipenz mwez wa 8, tunaanza kikao cha
Kwanza after pasaka...

Mshahara wangu take home laki 5.. nisaidieni nafanyaje....
Iliwai nitokea mwaka jana na hapo nikawa pia nadaiwa na mtu kama laki na nusu, nilichofanya nikaenda nikachukua mshahara wote nikaanza kumgawia kila mtu sawa na nilivoona sio kadi yake ilivoona, roho ilikuwa inauma nikajifanya Chizi maarifa nokatoa pesa yote mkononi nikabaki na 6000/= tu. Nikaandika wote kwenye kumbukumbu zangu nikasahau. Matukio yakapita, nikawa nimeshiriki social issues na yakapita.

Mwaka huu napitia kumbukumbu zangu namfata mmoja mmoja nyumba kwa nyumba its a time to repay my money.
 
Tangu nije duniani nishawahi kuhudhuria harusi 3 tu

Moja ilikuwa ya Dada yangu

Pili ilikuwa ya kaka yake bosi wangu

Tatu ilikuwa ya rafiki yangu,

Hizi zingine natoaga michango tu, lkn sihudhuriagi,

Kwa mwaka huu waolewaji na waoaji watanisamehe kidogo, maana sitatoa mchango wowote kutokana na upotevu wa pesa mfukoni
 
Iliwai nitokea mwaka jana na hapo nikawa pia nadaiwa na mtu kama laki na nusu, nilichofanya nikaenda nikachukua mshahara wote nikaanza kumgawia kila mtu sawa na nilivoona sio kadi yake ilivoona, roho ilikuwa inauma nikajifanya Chizi maarifa nokatoa pesa yote mkononi nikabaki na 6000/= tu. Nikaandika wote kwenye kumbukumbu zangu nikasahau. Matukio yakapita, nikawa nimeshiriki social issues na yakapita.

Mwaka huu napitia kumbukumbu zangu namfata mmoja mmoja nyumba kwa nyumba its a time to repay my money.
Hà ha haaaaaa du
 
Nina bahati ya kupishana nazo sana.
Wakizileta nazipokea halafu nazipotezea.
Akinuna shauri yake.
Maisha ameyataka mwenyewe halafu awasumbue wengine?
Wakishaoana huwaoni.
Hachangii mtu hapa.
Tungekuwa na upendo kama ule unaoonyeshwa na aliekupa kadi wakati wa madai tungeishi vzr sana! Maana asbh, mchana, usiku unasalimiwa na kukumbushwa dead line ya tarehe! Subiri watu wafunge ndoa hata huoni msg ya kukujulia hali! Jitoe akili usiiishi kitumwa! Changa ukiona una hela haina kazi, km huna kula nunda
 
Tungekuwa na upendo kama ule unaoonyeshwa na aliekupa kadi wakati wa madai tungeishi vzr sana! Maana asbh, mchana, usiku unasalimiwa na kukumbushwa dead line ya tarehe! Subiri watu wafunge ndoa hata huoni msg ya kukujulia hali! Jitoe akili usiiishi kitumwa! Changa ukiona una hela haina kazi, km huna kula nunda
Ni kweli mkuu.
Watu wasiojali sana ni mara chache kuishi kwa stress.
Unamjali na kumthamini mtu kumbe mwenzio anakuvizia tu akukamue.
Akifanikiwa anatupa jongoo na mti wake.
Nawachangia ndugu zangu tu, tena wasinipangie.
Watanipangia kuchangia michango ya kumsomesha mtu au kumfanyia matibabu, sio harusi.
 
Ni kweli mkuu.
Watu wasiojali sana ni mara chache kuishi kwa stress.
Unamjali na kumthamini mtu kumbe mwenzio anakuvizia tu akukamue.
Akifanikiwa anatupa jongoo na mti wake.
Nawachangia ndugu zangu tu, tena wasinipangie.
Watanipangia kuchangia michango ya kumsomesha mtu au kumfanyia matibabu, sio harusi.
Nice desicion...tuchangie matibab na shule sio kwichi kwichi....hiyo hata tusipochangia miguu inapanuliwa tu tena kwa kasi ya 4G.
 
Nikijumlisha madai ya michango yote hadi July ni zaidi ya 700,000, kipato changu kuanzia sasa hadi July ni 1,800,000. Nikisema nilipe hiyo michango ni sawa na kutumia zaidi ya 1/3 ya kipato changu kwa ajiri ya sherehe za watu! Usengele huu!
 
mi nilijua kero hii IPO kwangu tu!!!!

Mi ni mwenyekiti wa kamati ya harusi ya rafiki yangu,inatakiwa nitoe tsh 120,000 mwisho mwez 5,pia nna kadi mbili za tsh 50000@ wafanyakaz wenzangu wanaoa!

jumla -tsh 220,000,inatakiwa nitoe isipite mwezi Wa 5!!!!!

hapa nahisi lazma kuna urafiki unaenda kuvunjika!!!!!
 
Ninazo 4 mpaka sasa. April, May, June, July and August. Ninavyoona kuna kununiwa maana kuna mbili sitachangia hata thumni. [emoji53]
 
Nina bahati ya kupishana nazo sana.
Wakizileta nazipokea halafu nazipotezea.
Akinuna shauri yake.
Maisha ameyataka mwenyewe halafu awasumbue wengine?
Wakishaoana huwaoni.
Hachangii mtu hapa.
Ha ha ha haaa!
Mbeya kuna ukumbi mpya ndio umeshika chat kwa sasa unaitwa TUGHIMBE. Sherehe siku moja sh. mil 3! Lakini ukienda leo kukodi utaambiwa nafasi imejaa mpaka mwezi julai!
Hela zote hizo eti zitoke kwenye kadi za michango? Shit! Utakuta bwana arusi na familia yake wameandaa mil 2 tu zingine zote kadi za michango! Unashangaa harusi nzima inaenda kwenye mil 20. Wakati mwingine send off ukumbi huo hup na arusi ukumbi huo huo. Watu wanapenda ufahari wa kupuuzi aisee.
 
Kwangu yule aliyenichangia tu ndo ataiona hela yangu na kwa kiwango kile kile sio tofauti na hivyo,sometimes huwa hata najuta kwanini niliwachangisha watu maana kuna wakati zinagongana kadi inatakiwa ndani ya miezi minne nitoe 500,000/=na hali hii ya Magu unaweza kugoma kutoa ukaonekana m'baya.
Aseee me kiukweli japo nilichangiwa ilaa kutokanaa na halii mtu anakulaa 20 nmejikazaa sanaa au kutokana na uzito wa mtuu nampa 30 alafuu wambuzii ukinunaa nashkuru umenipunguziaa mashida mjin maana ukishaoa mtazaa utataka mchango wa ubatizo sijui kumtoa mtoto njee
 
1.Nina kadi ya harusi ya czn wangu tarehr 29/4
2.Nina kadi ya harusi ya kaka wa baba mdogo tarehe 15/ 5
3. Nina kadi ya mtoto wa mjomba anaowa tarehe 29/5
4. Nipo kwenye kamati ya kaka yangu toka ni toka anaowa tare 10/6
5. Staff mwenzetu katupa kadi ndoa mwez 7
6. Staff mwingine send off wiki ya kwanza ya mwez wa 7

7 . Nipo katibu wa kamati ya harusi ya rafiki yangu kipenz mwez wa 8, tunaanza kikao cha
Kwanza after pasaka...

Mshahara wangu take home laki 5.. nisaidieni nafanyaje....
Dont give what you dont have
 
1.Nina kadi ya harusi ya czn wangu tarehr 29/4
2.Nina kadi ya harusi ya kaka wa baba mdogo tarehe 15/ 5
3. Nina kadi ya mtoto wa mjomba anaowa tarehe 29/5
4. Nipo kwenye kamati ya kaka yangu toka ni toka anaowa tare 10/6
5. Staff mwenzetu katupa kadi ndoa mwez 7
6. Staff mwingine send off wiki ya kwanza ya mwez wa 7

7 . Nipo katibu wa kamati ya harusi ya rafiki yangu kipenz mwez wa 8, tunaanza kikao cha
Kwanza after pasaka...

Mshahara wangu take home laki 5.. nisaidieni nafanyaje....
Jifunze kuwa na budgeting weka bahasha mbalimbali kama savings, expense, investing, social issues ofcourse Religious issues. Kama hela kwenye social envelope imeisha dont stress to find from other envelope. Hiyo ndo discipline ya fedha. Tanzania bila umasikini inawezekana.
 
Back
Top Bottom