Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Ni mrembo hakika, kwa sura na umbo ameumbika. Tatizo hataki kuoga, linapokuja swala la kuoga ni ugomvi mkubwa.
Yeye huwana uso, husugua makwapa, na kuiosha Tukuyu, baada ya hapo ndio Hadi kesho.
Mswaki anapiga vizuri kabisa.
Hana tabia yoyote mbaya, nyumba Safi Kama peponi, adabu ndio mahali pake, upendo na ukarimu ndio sifa zake.
Tatizo ni KWENYE kuoga tu, anasema nimvumilie huo ndio udhaifu wake.
Yeye huwana uso, husugua makwapa, na kuiosha Tukuyu, baada ya hapo ndio Hadi kesho.
Mswaki anapiga vizuri kabisa.
Hana tabia yoyote mbaya, nyumba Safi Kama peponi, adabu ndio mahali pake, upendo na ukarimu ndio sifa zake.
Tatizo ni KWENYE kuoga tu, anasema nimvumilie huo ndio udhaifu wake.