otsward
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 300
- 244
Ngoja nizame PMNdio yupo huko.
Ngoja nizame PMNdio yupo huko.
Ahsante. Me nishashindikanaNae yupo huku, labda yy tutawezana
sidanganyiki.
Hapo umeamka kunyonyesha baby wako, then saa tisa tena utaamka. Bado chako ni chako tu? Isije kuwa mshahara wako jamaa ndio anauchukua kupangia matumizi ya home![]()





Hahaha, hakyanani you're nuts! I know you were having fun with us. I believe you're a decent woman and your man is so proud to have you, japo bado unashikilia misimamo yako
Ili nimkomeshe zaidi nitaacha kazi ili vyake viwe vyetu vizuri.



Da hatar, fanya connection bas.
Ahsante. Me nishashindikana
Pasua kichwa hulali tu?
Anakuonea huruma hapo ujue. Katafute tu connection nyingineDa hatar, fanya connection bas.
Haa haa, ntajitahid
Hahaha, hakyanani you're nuts! I know you were having fun with us. I believe you're a decent woman and your man is so proud to have you, japo bado unashikilia misimamo yako![]()




Hahaha, utamtokea ndotoni hadi atoe talaka, dah! Ulifanya tukatokwa na mapovu humu hararious, wakati huenda ukipenda haswa unampa man wako ile ATM kadi yako akae nayo
Kasome nimeupdate msimamo mmoja, ikiongezeka nitakuwa naupdate zaidi.



Hahaha, utamtokea ndotoni hadi atoe talaka, dah! Ulifanya tukatokwa na mapovu humu hararious, wakati huenda ukipenda haswa unampa man wako ile ATM kadi yako akae nayo![]()






Hahaha, utamtokea ndotoni hadi atoe talaka, dah! Ulifanya tukatokwa na mapovu humu hararious, wakati huenda ukipenda haswa unampa man wako ile ATM kadi yako akae nayo![]()






Lete pesa.
Hebu tulia nikule pesa kwanza ndio ukatae. Unakataaje mapema hivyo![]()