Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,114
- 55,535
chako kiwe chako na changu kiwe chetu
Sasa ujipange kufanya nini?
chako kiwe chako na changu kiwe chetu
Sasa ujipange kufanya nini?
Mkuu shida hizo id mie nikajua mwanamke. Basi nisamehe bure.
Fresh sister.Peace![]()
Katoto Bado hujaolewa??Hata ndoa ninayo basi shost? Nipo nipo tu.
Mbona umecharuka kama ngiri mkuu??Samahani asee
Mimi sio shost ,tukiheshiama itukua vizuri zaidi.
Mkuu haujaielewa au?
Achana nae huyo Hawajui ww ni Mke wa mtuSijui ni huu msimamo ndio wanauogopa au ni hicho alichozungumzia huyo jamaa hapo juu kuwa pesa sina na sura sina atanitaka nani![]()
Wanashirikiana kwenye nini?kama umemkuta wanashirikiana utaanza uvuruge siyo.
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Mi nawachora tuu na dharau zao