Msimamo wangu

Msimamo wangu

Duuh..huu uzi huu..miaka 5..
Natamani kupata mrejesho kutoka kwa mtoa mada....je alimpata mwenza kwa masharti hayo...na kama alimpata basi sie wanaume wenzake tumfanyie matanga aiseee..manake maisha kama hayo ni sawasawa na kupigwa kafuti maisha yote
 
Duuh..huu uzi huu..miaka 5..
Natamani kupata mrejesho kutoka kwa mtoa mada....je alimpata mwenza kwa masharti hayo...na kama alimpata basi sie wanaume wenzake tumfanyie matanga aiseee..manake maisha kama hayo ni sawasawa na kupigwa kafuti maisha yote
Wewe hebu kuwa serious basi, mambo marahisi kabisa hayo unayashindwaje?
 
Kwa masharti na misimamo hiyo umpatie wapi. Watu tunataka mwanamke atakae kuwa a patner, a friend, a soulmate. Sio headmistress au discipline master.
Hivi huoni kuwa huyo ndio the best patner and a friend to have?
 
Kwa misimamo kama hii hakikisha unavutia uwe na tako zuri maana akili huna ndio utampelekesha mwanaume kiasi hicho unachotaka.Kama huna tako nenda kaloge ndio utapata zezeta wa kumpelekesha unavyotaka
 
ashumu miaka 5 iliyopita kama ulikuwa binti wa miaka 25 leo hii 30
 
Back
Top Bottom