Msimamo wangu

Msimamo wangu

Naona huu uzi mchachu kwa wanaume wengi!


Ila hiyo avatar yako tho:-*:-*
 
Hii mara ya pili sasa..Nn shida?
We si ulinifungiaga vioo, ukasema hata nikiitaji child support nimtume mtoto!!
Kukuona hadi upite njiani ndio angalau nijikombe kombe kukusalimia. Sawa tu.
 
imeshathibitisha kwa kiasi fulani jinsi nilivyokuwa nakupicture kichwani
Walaaaaaa sifanani nayo hata kidogo, niliipenda tu kutoka huko mitandaoni nikaichukua.
 
Hivi hamjionei huruma! Au kwa vile hivyo vidude mmepewa bure...halafu huo ndio mdomo wako hapo juu?
 
Back
Top Bottom