Avatar yako nimeipenda ni wewe huyu?Mimi na cover yangu.
Salama kabisa mkuu, kweli kitambo sana aisee!!Teh teh...Mambo vipi braza..Kitambo sana aisee..Kwema??
Hahaaaa unavyonipenda sidhani kama huo mnuno uta-last longer, teh!Nimekununia officialy![]()
![]()
![]()
Ni kweli kwamba huna huruma na pesa ya mpenzi wako, unampenda kweli?Hapana mkuu, ni picha tu nimekutana nayo huko mtandaoni.
Usijali dadaangu nitakurushia tigopesa muda si mrefu, mzima lakini?Hadi unipe hela ndio utaisha.
Unafaa sana, akikuacha tuu nishtue nimreplace maana me ukitumia pesa zangu bila huruma na mimi napitisha tinga tinga langu kwa vurugu humo barabaraniNampenda mno ndio maana sina huruma na pesa yake. Nina huruma nae ila sio na pesa zetu.
Si ujibu tu!Haahhaaaa!! Ex darling kwani hii ni interview?
Hivi huyu mtoto siku hizi yuko wapi?!True hasa hapo kwa mwanaume bahili hadi kwa vtu vya muhimu sipendi ka nini yani na ukute ana honga
Ilibaki kidogo Dada yako akusanye rambi rambi..Bora umeonekanaSalama kabisa mkuu, kweli kitambo sana aisee!!
Jamani jamani kwahiyo unataka kuniambia huu msimamo utayeyuka!!Nijuavyo mimi kila mtu ana rules zake ila mnapoingia kwenye ndoa kuna rules zitabadilika au kuachwa kabisa ili muweze kuishi. Wewe unadhan utampata mwanaume gan ambaye hana rules zake? kila mtu akingุุ'ang'ania kubaki na rules zake mtaishije? Tena watu wenye maneno kama spy hua hawana shida kabisa, ukimkuta kwenye ndoa huwez kuamini kama ni yeye