Msimamo wangu

Msimamo wangu

Ukionda mwanamke ana masharti mengi kiasi hiki ujue nimbaya wa sura mpaka umbo na pia amelelewa kwenye familia duni mno.
Nakuona mpiga ramli, ila ramli yako haiko mbali na ukweli ujue. Kazana unaweza jiajiri kipande hiyo.
 
Hahahaaa. Uzuri maamuzi ya maisha au misimamo ni ya mtu binafsi, haina uhusiano na sura wala mazingira uliyonayo, inategemea sababu gani zimepelekea afikie hayo maamuzi.
Hahahaaaa!! Ni pale ambapo misimamo yako haiendani na ya wengi, lazima wakutungie matukio.
 
Nilishawai kuishi na mwanamke Mwenye tabia kama zako, alishindwa yeye na nyumba akaiona chungu ingawaje ina jina langu na lake.
Oooh kumbe!! Kuna watu eti wanabisha kuwa hakuna mwanamke wa hivyo, nikawa nimejikuta niko peke yangu.
 
Back
Top Bottom