Msimamo wangu

Msimamo wangu

Waliokuja usiku wamekuja na matusi, hawajapevuka kiakili, ni wa kuwanyamazia tu.
 
Wewe ni MMACHAME na mbaya zaidi umetendwa,pole sana ila sio wanaume wote wabaya.

Mweeeee! Oooh poor wamachame wanasingiziwa kweli yaani!!! Hebu usichume dhambi bureeee.
 
Yaan nikikutana na mchumba kama huyu nitalazimika kudelete tu, hakuna namna

Si mpaka ukutane nae, birds of the same feathers flies together, utakutana na hao hao ulowazoea, super woman like this utaishia kumuota tu, hutaki kaa kimya.
 
Uwe na masharti ivo lakin uwe vizur bas, madem wa ivo ndo unakuta maku imejaa maji yan lol!!

Hata kama, huo ndio msimamo, fullstop. Kisichokufaa wewe kinamfaa mwenzio.
 
Iko poa bt upunguze ubinafsi maana siku yakikugeuka hao ndungu hawatakuangalia usoni.lakin pia hayo yanakuwa applicable kutokana na nature ya mwanaume ulienae au utakayekuwa nae.huwezi kudisplay hizo tabia kwa mwanaume ambaye ni honest.

Mungu atakupa wa kufanana na wewe!!
 
kweli wake walishaishaga. siku iz kuna wauza papuch kwente ndoa.
kwenu nyie mna mali?
wewe una miliki sh ngap?

Mali za kwetu au zangu zinakuhusu nn??? Hahahaaaaa hv ulikuwa hujui kumbe? Ulitoa mahari ya kazi gani?
Basi mwanaume inabidi aendelee kuwa mwanaume, kuniuliza mali zangu kutakudissqualify.
 
Ila mara nyingi misimamo kama hii huwa ipo kwa mademu wa chuo(kichuochuo).wanapokuwa kwenye mijadala yao.kuimplement kwenye maisha halis ndio issue.

Kwa mtazama wako sio? Basi sawaaa.
 
Una uchi wa dhahabu nini... au umejiumba mwenyeww.... au haubleed labda..!?

Viroba vingine ni gongo ujue!!! Kunywa kupita kiasi ni hatari kwa afya yako
 
Mali za kwetu au zangu zinakuhusu nn??? Hahahaaaaa hv ulikuwa hujui kumbe? Ulitoa mahari ya kazi gani?
Basi mwanaume inabidi aendelee kuwa mwanaume, kuniuliza mali zangu kutakudissqualify.

kwenu usikute hamna ata baiskel maisha ya mboga moja alaf unataka kutajirikia kwa mwanaume.
nyie ndo wale mnaua wanaume mnak na mali.
watu wenye pes wanaoa wanawake wenye futute kiongeza power.
huna pesa utapata wa hadhi yako
 
Kwani wewe ni mnini? Teeeh!!

Weee eli wewe! Endeleeni kubahatisha, maana nshapachikwa makibila hapa ya kila aina, kila mtu kwa mtazamo wake, mie ni mtanzania.
 
Kumbe wakati mwingine unajitia uchizi wakati unajua mwanaume ni nani.nadhani hapa hoja imetakuwa imepata ufumbuzi.

Hahahaaaaa! Eti najitia uchizi!!! Wanaume wamebaki wachache sana na wanajitambua.
 
Back
Top Bottom