Msimamo wangu

Msimamo wangu

Wanatetea hoja kwa hisia. Ipo hivi...
Kwenye mdahalo huwa tunakubaliana kutokubaliana, sasa ukiona mtu badala ya hoja anatumia makusudi maneno mabaya unajua tu huyu kaguswa yeye kabisa.
Kuna watu humu wanajibu tu hoja haijalishi inawahusu au haiwahusu.
Ila kuna watu wanajibu kwa hisia unaona kabisa tungekua tunaonana wangepigana.
Umenielewa eeh..?

Naemagine matusi ya jf yangekuwa mawe!! Teh teh teh teh

Yaani mtu anakurupuka huko kapanik utadhani ndio mume wangu, khaaaaa!
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

Naomba nikuoe
 
Habari ndo hiyo
 

Attachments

  • 1431521463412.jpg
    1431521463412.jpg
    18 KB · Views: 82
huyo mwanaume unaemtaka hayupo tz labda um google aisee utasubir cn nd maan hamuolewi mnasingizia mmelogwa kumbe mnajiloga wenyewe
 
huyo mwanaume unaemtaka hayupo tz labda um google aisee utasubir cn nd maan hamuolewi mnasingizia mmelogwa kumbe mnajiloga wenyewe

Hahahaaaa!! Ndio maana hamuendelei kila siku mnawaza impossible tuuuuu!!! Mbona mie ninae
 
Wanatetea hoja kwa hisia. Ipo hivi...

Kwenye mdahalo huwa tunakubaliana kutokubaliana, sasa ukiona mtu badala ya hoja anatumia makusudi maneno mabaya unajua tu huyu kaguswa yeye kabisa.

Kuna watu humu wanajibu tu hoja haijalishi inawahusu au haiwahusu.

Ila kuna watu wanajibu kwa hisia unaona kabisa tungekua tunaonana wangepigana.

Umenielewa eeh..?


Nimekuelewa mae! Natamani haya yote ungeninong'oneza Da Pretty...teh!!
 
Last edited by a moderator:
Sawa mae! Mimi najua mbona....yani nitale kutongoza mtu nisijue anatokea wapi....aaaah

Si ndo hapo sasa, mie nilikuwa nakuchora tu! Alafu unajua hii haiwezi kuwa coinsidence!!
 
atoto kumbe ulianzaga zamanieeee....!
 
Last edited by a moderator:
vingine upo sahihi ila vingine impossible kw wanaume mf

swala la mali iwe na jina lalko na mumewe au watt hapo cwa maan kuna ndg washenzi cna km jamaa akifa

lakini hii ya chache changu changu changu hii haiwezekani asee.

swala mtu kuw bahil kwl hili sio powa mbaya zaidi km anahonga kwingine

hayo ni baadhi tuu
 
Back
Top Bottom