Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Kuamini mtu in totality ndiko kunakowafanya watu wenye akili ndogo washabikie ccm hata pale wanapotanabahishwa juu ya uhusiano uliopo kati ya maisha magumu & anguko la taifa na ccm.

Hoja nzuri akisema, unachukua, halafu unamwacha na uzabizabina wake kwa sababu uzuri na ubaya havichangamani. Akifanya baya, lisemwe bila kumung'unya na akifanya jema lisemwe bila hila. Lakini usiweke imani yako kwake moja kwa moja kwa sababu ni ndumila kuwili. Hachelewi kugeuka na kuharibu, tena makusudi kwa maslahi yake binafsi na wapambe wake.


Tatizo lake haaminiki....!
Kama alichosema kimetoka moyoni mwake, basi fahamu zake zimerudi nyumbani.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuanzisha uzi mwingine? Well, UKAWA haihitaji kuungwa mkono na Msaliti yeyote yule ... Zitto ni Opportunist mwenye kupima upepo unavyo vuma ... baada ya 2015 life will be very lonely kwake... ameji isolate mwenyewe kwa tama zake za fedha na umaarufu wa kijinga...
Tatizo la Zitto ni umasikini. Ana IQ nzuri tu kwa umri wake lkn hajatulia, kwa sababu ya umasikini anataka kutajirika kwa haraka ili akomboe uzao wake kutoka ktk lindi la umasikini, kitu ambacho hakifai kwa kiongozi
Nyerere alikuwa kiongozi mzuri sana kwa vile hakuwa na tamaa ya kujimbikizia mali. Alijali zaidi nchi yake kuliko mali. Wala familia yake haikuwa ya priority kwake ukilinganisha na taifa.
Zitto angekuwa na element za ki-Nyerere hata ya 1/20 I would have voted him to be my President yesterday, his tender age notwithstanding!! As it is now, Zitto amepoteza all the credibility sisi Watanzania were holding on him due to his treacherous attitude!
 
Tatizo lake haaminiki....!
Kama alichosema kimetoka moyoni mwake, basi fahamu zake zimerudi nyumbani.

Nyie ni mambulula. Mnapima kila kitu kwa muktadha wa chadema. Eti ili uonekana una akili lazima uunge mkono misimamo ya chadema. Ushamba na ujinga wa kisiasa unawasumbua na kuwatesa. Mkikua mtaacha!
 
Tatizo la Zitto ni umasikini. Ana IQ nzuri tu kwa umri wake lkn hajatulia, kwa sababu ya umasikini anataka kutajirika kwa haraka ili akomboe uzao wake kutoka ktk lindi la umasikini, kitu ambacho hakifai kwa kiongozi
Nyerere alikuwa kiongozi mzuri sana kwa vile hakuwa na tamaa ya kujimbikizia mali. Alijali zaidi nchi yake kuliko mali. Wala familia yake haikuwa ya priority kwake ukilinganisha na taifa.
Zitto angekuwa na element za ki-Nyerere hata ya 1/20 I would have voted him to be my President yesterday, his tender age notwithstanding!! As it is now, Zitto amepoteza all the credibility sisi Watanzania were holding on him due to his treacherous attitude!

Mmelishwa sumu ya uzushi na wajinga wenzenu wa chadema. Una hata harufu ya evidence kwamba ZZK ni tajiri au aliwahi kuhongwa au unaimba tu ulichosikia barabarani?
 
Nyie ni mambulula. Mnapima kila kitu kwa muktadha wa chadema. Eti ili uonekana una akili lazima uunge mkono misimamo ya chadema. Ushamba na ujinga wa kisiasa unawasumbua na kuwatesa. Mkikua mtaacha!

ina kuuma nini sasa?
 
Zito,
Class mate wangu hapa umeonyesha ukomavu. Sijawai kuwa mfuasi wako lakini katika hili.... Unaanza kunishawishi!
 
Dogo anatafta popularity kupitia UKAWA!! Zitto, HATUDANGANYIKI kwa kuimba nyimbo za UKAWA!! HATUWEZI SAHAU, WEWE NI MSALITI TU!!
 
Mbona yeye kashindwa kuridhiana na wenzie Chadema?Maridhiano gani anayazungumzia ?Kwanza yeye aridhiane na Chadema ndipo azungumze hayo
 
Kwenye ile orodha yako haikustahili kuweka habari za msiba, kwa maana siamini kwa hali ya kawaida msiba hauwezi kumpoteza MTU na umfanye achanganyiwe, tena mtu mwenyewe Hugo unayemdhania
Nimejirudi kivipi tena? Tatizo huaki kusikia kile masikio yako yasichotaka kusikia.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuanzisha uzi mwingine? Well, UKAWA haihitaji kuungwa mkono na Msaliti yeyote yule ... Zitto ni Opportunist mwenye kupima upepo unavyo vuma ... baada ya 2015 life will be very lonely kwake... ameji isolate mwenyewe kwa tama zake za fedha na umaarufu wa kijinga...

mkuu sidhani kma nimekosea sana kufanya hivi..
 
Mbona yeye kashindwa kuridhiana na wenzie Chadema?Maridhiano gani anayazungumzia ?Kwanza yeye aridhiane na Chadema ndipo azungumze hayo

inawezekana pia anataka kuudhihirishia umma kuwa yeye yuko kitanzania zaidi.
 
Zitto kabwe ni nyoka. Anaingia kwa gear ya kuwa support ili awa trap, kisha awavuruge kwa maslahi ya ccm.

Naona Zitto hana mwisho mzuri. Na mwisho ukifika, hatakuwa na msaidizi wala mfariji. Nguvu anazotumia sasa za ziwani, hazitamsaidia maana zina mwisho.
 
Back
Top Bottom