Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

zitto anaenda kigoma wewe unataka aende wapi.
 
tatizo sio kuwa neutral ni hoja ya msingi. Je hapo kuna hoja? Kama kuna hoja ya msingi tuijadili.

kama umeshindwa hata kujua kuwa ndani yake kunahoja ya msingi utaweza kujadili.
 
'''Rais mmoja wa Jamhuri ya Muungano, Mkuu wa Serikali Zanzibar na Mkuu wa Serikali Bara''

Mkuu wa Serikali maana yake nini? - Ukishamwambia mtu ni ''mkuu wa serikali'', tayari atajitwisha Urais na anachokiogopa Zitto kitatokea.


 
'''Rais mmoja wa Jamhuri ya Muungano, Mkuu wa Serikali Zanzibar na Mkuu wa Serikali Bara''

Mkuu wa Serikali maana yake nini? - Ukishamwambia mtu ni ''mkuu wa serikali'', tayari atajitwisha Urais na anachokiogopa Zitto kitatokea.



Tatizo sio jina mkuu wa serikali,,bali ni mgawanyo wa madaraka,, anachotaka kumaanisha ni kwamba madaraka makubwa yawe kwa Rais wa muungano
 
Tatizo zito anatabia za ubinafsi, kiburi na maringo vinavyompelekea kujitenga na wengine kwa kususa kama toto jinga.

Yeye anaona kuuza sura kwenye media kwamba anataka serikali tatu lakini majina tofauti ya yaliyoandikwa kwenye rasimu ya warioba ni wazo tofauti?

Nimekutana na wajumbe wengi wa BMK hapa Dodoma, hata wanaotoka ccm sipendi kuwataja kwa ajili ya usalama wao ndani ya chama; na pia nimebahatika kuzungumza na baadhi ya wajumbe walionje ya BMK kwa kuheshimu maazimio ya umoja wao wa UKAwa, kwa nyakati tofauti wamekuwa na haya ya kusema.

1. Tatizo kubwa limetokana na ccm kuwaburuza na kubadili misingi ya rasimu bila kutoa nafasi ya kupata ufafanuzi sahihi kutoka kwenye tume na kuwapa fursa kuchanganua namna gani Serikali tatu ziboreshwe.

2. Aidha wabunge wawili wanaotoka UKAWA wao wanasema, kama rasimu ya II ingejadiliwa, walikuwa na hoja za namna gani Muundo wa serikali tatu uboreshwe zaidi ili kuondola uwezekano wa kutoka mwanya wa mmomonyoko wa Muungano. Pila likiwemo suala la majina ya hizo mamlaka kuu tatu katika uendeshaji wa nchi ili kuweka bayana supremacy ya Seriakli kuu, kwa hizi seriakli za zanzibar na Tanganyika.

3.Mmoja aliniambia tunahitaji kuboresha mfumo wa seriakli tatu kwa kuangalia Mamlaka ya kila serikali, mahusiano ya hizi serikali na kuweka sheria za uwajibikaji wake kwa maslahi ya Tanzania Imara. Wenzetu wameonesha hofu ya majina ya uongozi kwamba itakuwaje wakawa maraisi watatu, we can call these guys anyhow, kikubwa ni mmlaka gani wanasimamia.

My take, hayo ndiyo maboresho yaliyotakiwa kufanyika na BMK, ili kuondoa utata na kuimarisha zaidi rasimu and si kuandika rasimu mpya.

Zito Kabwe kwa kupenda masifa, ndiyo anakwenda mitandaoni kujibainisha kwamba hawezi kushirikiana na watu wenye mawazo tofauti na yake. Huu ni ubinafsi wa ovyo na unaonyesha ni namna gnai hafuai kuwa kiongozi.

Hakuna kiongozi anayeweza kuongoza kama hana uwezo wa kuunganisha hoja na mitazamo tofauti ili kupata kitu kilichobora kwa ajili y akufikia malengo yalokusudiwa. Zito hafai kwenye uongozi hata chembe.
 
pumba tupu cjaona hata cha maana alichosema huyu marehemu wa kisiasa
 
zitto is becomeing useless like hamad rashid hamad. Rashid siku hizi baada ya kurudi ccm kwa mgongo wa nyuma hana hoja. the same applies kwa zitto amerudi ccm kwa mgongo wa ACT.na hana hoja hata kidogo. hii alishauliwa na mfadhili wake asirudi bungeni ili apoteze lengo kwamba ni mpinzani wa kweli. amekuwa akiambiwa vitu vya kuongea against serikali ili watanzania wamwamini eti anawajali kumbe anatimiza wajibu wa bosi wake
 
Hoja ya zitto ina mashiko kwa kiasi flani.. kuna wakati ni bora ukabaki neutral

Kitu kimoja ni bayana kwa upande wetu sisi watu wa Tanganyika. Tuko tayari tuwe na Rais wa JMT, Kiongozi Mkuu wa Tanganyika( kwa jina lolote lile) lakini kwa upande wa Zanzibar hawataki jina lingine bali ni Rais wa SMZ, rejea mahojiano ya Maalim Seif na Star TV, alisema wazi kabisa kwa upande wa Tanganyika ni hiari yao kumtafutia jina la mkuu wa eneo lao lakini kule Zanzibar hawataki kusikia hicho anachosema mh ZZK.Wanachojua kule ni Rais na Serikali1 pia hawataki kusikia. Kimsingi kuna mambo mengi ni shida!!!*"!!"!!
 
Hakuna hoja zaidi ya kujifanya yy shekhe Y. Husein tu. Anabashiri okey nani ambae hautaki muungano kati ya Ukawa na kamati ya Warioba?.wao ukawa wanaitaji ijadiliwe rasimu ya kamati sababu inaaminiwa inatokana na wananchi kupitia kamati maalumu,sasa wa ng"ambo ya pili hawataki wanapuuza maoni ya wananchi kupiti S.Sitta.Hivyo bac asemavyo ni utabili tuu. Kamati ya mon hawako ukawa wale.Hivyo hoja haina mashiko
 
Zito siwezi kumwamini hata mara moja ni sheedah! hata sakata la IPTL kumbe kelele zote zile sio UZALENDO ni kwa kuwa alikosa 'MGAO' wenzake wakalamba hadi 1 bilioni ndio unamuumaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! na mbado!
 
Amejiua mapema mno kisiasa! RIP Zito, Undumi la kuwili ni kitu kibaya sana hata vitabu vya dini vinakataza!
 
Back
Top Bottom