Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Ukawa sio Chama, ni Umoja wa Katiba ya Wananchi, hata katika CCM wamo Ukawa, na watajulikana wakati wa kupiga kura ambapo watapiga kura ya siri.
 
Umeona eeh!!!!! He is all over the place about this issue. Bora lakini kajitambua ila isije tena next week akatoa kauli nyingine fyongo kuhusu UKAWA.

Ameanza kuweweseka,mara sina uhakika na UKAWA kama utadumu
 
Mtatafuta wachezaji wa kuazima mpaka mchoke naona leo amekuwa siyo msaliti tena chadema bana.
 
Mijitu mingine kama michizi vile hiv hum tupige kura nan anataka selikal tatu na nan anataka serikali mbili serikali mbili watakuwa weng kweli acha umbumbu wewe
 
Ccm watupe takwimu zinazoonyesha wananchi tulipendekeza selikali mbili! Mashetani wakubwa hawa!
 
Umeona eeh!!!!! He is all over the place about this issue. Bora lakini kajitambua ila isije tena next week akatoa kauli nyingine fyongo kuhusu UKAWA.

sahivi anaspidi kweli na media

#NimesemaTu #
 
Zitto ni kichwa ndio maana huwa hasukumwi kufanya jambo na mtu,huwa anaamini na kukisimamia ipasavyo kile anachokiona ni sahihi.Hakuna kioongozi makin kama zzk
 
Ukawa sio Chama, ni Umoja wa Katiba ya Wananchi, hata katika CCM wamo Ukawa, na watajulikana wakati wa kupiga kura ambapo watapiga kura ya siri.

Mkuu wanataka kupiga kura iwe ya wazi kusudi wanafiki wasikisaliti chama cha akina 6
 
Back
Top Bottom