Ukweli ni kuwa UKAWA hawana sera, kila wakiulizwa tofauti ya serikali tatu na mbili na moja ni ipi au inamanufaa gani jibu ni serikali tatu zitaleta maendelea na zitaondoa wizi wa CCM na eti mbili imechakaa wanahitaji usasa. Wakiulizwa serikali tatu zitayaondoaje hayo au zitaletaje maendeleo wanasema umetumwa na ccm. Akimaanisha mtu yoyote anayetaka seriakali mbili ni ccm bila kujiuliza anayetaka serikali tatu ni ukawa, chaedema, nccr au cuf? Ukweli unabaki palepale kua nia na dhamira ya ukawa ni kuua muungano nothing else.
Tuache Majungu, Zitto ametoa mtazamo wake kama raia mwingine yoyote, au kwasababu ametoa msimo tofauti na wao? Tukumbuke hapo mwanzo lisu na wezie walisema tume ya warioba haina weledi na wote ni mamluki wa ccm na tukumbuke Prof. Baregu alitaka kufanya nini alipoambiwa ajitoe kwenye tume, Leo namshangaa polepole kujidanganya kuwa ukawa wako nao bega kwa bega, hebu wawaambie basi kwakua rasimu ni maoni ya wananchi basi tuifanye hii rasimu iwe ndiyo katibba uone maneno yatakavyowaruka ka wehu.
Ili katiba mpya ipatikane inahitajika nia ya dhati si tu kwakua ccm amesema hivi basi lazima nipingane nae au chadema kasema vile basi sikikubali. Na ndiyo maana wanaaswa warudi bungeni kufanya maridhiano. si mtu anatukanaaaa weeee akiishiwa matusi wakimrudia kidogo anakimbilia kwa wananchi kutafuta huruma yao, mwisho mtachokwa.