Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

wakati frani tuache m2 atoe yakwake ya moyoni nayeye katoa msimamo wake
 
Nilikuwa nawaona UKAWA watu makini kumbe hakuna kitu ni misukule ya Chadema sasa Zitto ana mamlaka gani kwenye hii nchi, mambo yenu ya Chadema mnataka kuyaleta kwenye Katiba.

Makada wa ccm bila shaka mmethibitishia umma kuwa zito ni mwenzenu kabisa maana nimefuatilia ni wanaccm tu ndo wanamtetea kila mahali na ndo wanasema ooh ni mtu makini, ooh ni msomi ooh anapendwa mara anaushawishi.
 
Huyu Zitto naona anatafuta kick huyu baada ya kuona nyota yake kisiasa inaporomoka kwa kasi sana.

The kicks of a dying horse - ndio za huyu
 
Last edited by a moderator:
Akafie mbali Msaliti ambaye mawazo yake yana milikiwa na maccm! atasubir sana kuona UKAWA inaanguka!
 
Kwan usipowakubal inaathiri nin mkuu,huo ni mtazamo wako,by tha way Zitto wakati mwingine haeleweki,mtu gani una kauli mbilimbili?
Haya maneno yako mwambie Mbowe.
 
Makada wa ccm bila shaka mmethibitishia umma kuwa zito ni mwenzenu kabisa maana nimefuatilia ni wanaccm tu ndo wanamtetea kila mahali na ndo wanasema ooh ni mtu makini, ooh ni msomi ooh anapendwa mara anaushawishi.

Janja yao imeshajulikana,watanzania wa leo sio wale,muda utawaambia,halaf siku zote ukiona hasimu wako anakumwagia misifa kuna walakini "wakati mwingine namuoneaga huruma sana zitto"
 
Makada wa ccm bila shaka mmethibitishia umma kuwa zito ni mwenzenu kabisa maana nimefuatilia ni wanaccm tu ndo wanamtetea kila mahali na ndo wanasema ooh ni mtu makini, ooh ni msomi ooh anapendwa mara anaushawishi.
Nilikuwa sifahamu kumbe UKAWA ni tawi la Chadema wanapokea maelekezo kutoka UFIPA.
 
Zito kasema yeye sio mwana UKAWA kwa kauli hiyo tayari ni mbinafsi swali la kujiuliza kwa nini hataki kuungana na UKAWA? Zito wa sasa sio yule wa enzi za buzwagi,ni sahihi kabisa masuala ya UKAWA zito hayamuhusu hivyo hastahili kuyasemea
 
Hivi ni kwamba huyu msaliti Zitto hapiti hapa jamvini?

Msaliti mkuu jamii ya Yuda!
 
Last edited by a moderator:
Viongozi wa UKAWA wamemuonya Mh.Zitto akae kimya asizungumzie mambo ya UKAWA kwa kuwa hayamhusu.

Kauli hiyo imekuja baada ya Zitto kutoa kauli kuwa hana uhakika kama umoja huo utadumu mpaka uchaguzi 2015.

Zitto ametakiwa aendelee na ubinafsi wake awaache UKAWA wawapiganie wananchi.

Source: Mtanzania.

My Take: Zitto acha chokochoko,huna credibility ya kuwanyooshea Ukawa kidole,kwani wewe ni mbinafsi.

Zitto kasema hayupo kundi la UKAWA wala UKACCM ila amedai yupo kundi jipya alilolibuni yeye linaloitwa MARIDHIANO. Sasa kwanini anataka kujifanya msemaji wa ukawa? Aache unafiki wake, akapambane na dhambi yake ya usaliti na undumilakuwili.
 
Viongozi wa UKAWA wamemuonya Mh.Zitto akae kimya asizungumzie mambo ya UKAWA kwa kuwa hayamhusu.

Kauli hiyo imekuja baada ya Zitto kutoa kauli kuwa hana uhakika kama umoja huo utadumu mpaka uchaguzi 2015.

Zitto ametakiwa aendelee na ubinafsi wake awaache UKAWA wawapiganie wananchi.

Source: Mtanzania.

My Take: Zitto acha chokochoko,huna credibility ya kuwanyooshea Ukawa kidole,kwani wewe ni mbinafsi.

waasisi was ukawa wote waligombea urais watanzania wakawakataa .hawana jipya
 
UKAWA haimhusu Zitto!!??

itamhusuje wakati malengo yake nikuua upinzani na si kuimalisha, hivi mtu mwenye nia njema anaweza aakawa anaombea ubaya auwafike watu anao wapenda
ningemwelewa kama angekuwa anatoa ushauri nini ukawa wakifanye ili wazidikuikaba ccm
 
Back
Top Bottom