Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,194
- 7,029
Maoni yake kwenye nini?watu sasa wanavuka mipaka.
Ni nani mwenye mamlaka ya kumzuia mtanzania asitoe maoni yake?
Maoni yake kwenye nini?watu sasa wanavuka mipaka.
Ni nani mwenye mamlaka ya kumzuia mtanzania asitoe maoni yake?
Huu umoja ni kwajili ya katibaingawa natofautiana na zitto kwenye mambo mengi lakini hapa naungana naye,huu umoja nina mashaka nao kama utafika kokote.
Naona umelewa pilau la janaChadema wanatumia platform ya UKAWA kupambana na Zitto wanazidi kupoteza mweleko UKAWA wanafuata maelekezo kutoka UFIPA hii katiba za ya Mbowe wala Lema muwe makini nyie wapambe wa Mbowe mnaotumwa kuja kufungua uzi JF.
Maoni yake kwenye nini?
Kwa hyo tume ya warioba ilikusanya maoni ya wahuni?nyie kina songoro mnaandika vitu bila kutafakari
Zitto inaonekana anawashwa sana kama siyo kuchanganyikiwa. Jamaa mnafiki na adui wa mabadiliko tunayoyataka.
Akae mbali na ukawa yetu shenzi big time!!
wangekuwa wahuni mbona mnawabembeleza kila leo warudi bungeni
Zitto hana tena credibility ya kuongelea masuala yanayohusu mtanzania mnyonge!! Yeye akae kimya afanye harakati zake za kuhakikisha mabwana zake wanabaki madarakani.
Wanyonge tunasemewa na UKAWA kupitia Bunge la katiba. Zitto kaa kimya huna maana kwa sasa!!
Nyie viumbe wa ajabu sana sasa mnataka kuwafunga watu midomo wasiichambue UKAWA.Naona umelewa pilau la jana
Eti ndo mpewe nchi? Thubutu!! Si mtamnyonga kila mtu atakayewakosoa! Nyie endeleeni tu kupaza sauti, nchi hamtapewa. Hakuna mtanzania ambaye yuko tayari kuongozwa na Matahira Chadema.
Unataka tuendelee kutawaliwa na mapromota kama ilivyo sasa?Eti ndo mpewe nchi? Thubutu!! Si mtamnyonga kila mtu atakayewakosoa! Nyie endeleeni tu kupaza sauti, nchi hamtapewa. Hakuna mtanzania ambaye yuko tayari kuongozwa na Matahira Chadema.
Nilikuwa nawaona UKAWA watu makini kumbe hakuna kitu ni misukule ya Chadema sasa Zitto ana mamlaka gani kwenye hii nchi, mambo yenu ya Chadema mnataka kuyaleta kwenye Katiba.
Nyie viumbe wa ajabu sana sasa mnataka kuwafunga watu midomo wasiichambue UKAWA.
Wewe unadhani Dr.Slaa atakubali Lipumba kuwa mgombea urais wa UKAWA hata nyie Chadema-Kata hamuwezi kukubali.
Hivyo hivyo na CUF hawawezi kukubali Dr.Slaa kuwa mgombea wa UKAWA huo ndiyo ukweli.
Nilikuwa nawakubali UKAWA lakini walivyotekwa na Chadema basi tena ni majungu tu.
Viongozi wa UKAWA au Mbowe ndiyo kasema.
Kwa hilo ukawa wamechemsha! Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni bila kuingiliwa na mtu!
ukweli unaumaviongozi wa ukawa wamemuonya mh.zitto akae kimya asizungumzie mambo ya ukawa kwa kuwa hayamhusu.kauli hiyo imekuja baada ya zitto kutoa kauli kuwa hana uhakika kama umoja huo utadumu mpaka uchaguzi 2015.zito ametakiwa aendelee na ubinafsi wake awaache ukawa wawapiganie wananchi. Source :mtanzania. My take:zitto acha chokochoko,huna credibility ya kuwanyooshea ukawa kidole,kwani wewe ni mbinafsi