mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Mkuu mwenyekiti wako mbowe alitoa tamuko la kuwatetea hawa mafisadi.Mmh, uongo mwingine wa wazi mno. UKAWA wanawatetea vp mafisadi? kwani wana serikali au polisi? Acha kupindisha maneno: Kama kuna mafisadi, waambie wenye mamlaka wachukue hatua. Achana na visingizio vya UKAWA katika hili.