Hapo nimejifunza kitu kimoja tu kwamba kumbe eneo la Kabwe pale Mbeya ni legacy ya huyu Wilson Kabwe, basi.Kwa manufaa ya jumuiya wana JF, na watanzania wengine,
Naomba mfahamu hili.
Ndugu Wilson Kabwe ambaye mnapiga kelele humu jamvini kuhusu kutumbuliwa kwake hajaanza ufisadi leo wala jana.
Huyu ni mtu anayepiga dili na watu wakubwa serikalini, na wao ndio humtumia kufanikisha ufisadi. Na mara anapofanikiwa kufisadi sehemu moja basi huamia sehem nyingine.
Usilolijua ni hili hapa:-
1. Bwana Wilson Kabwe ameoa katika familia moja....na aliyekuwa Waziri Mkuu....mzeee wa kulialia machozi...mzee wa kupinda na Zengo....na Pita. Kwa hiyo Wilson Kabwe na waziri mkuu alyestaafu ndugu Mizengo ni kama mtu na ndugu yake....na huyu PM mstaafu ndio aliyekuwa anambeba bwana kabwe muda wote.
2. Kwa wale wakazi wa mbeya wanajua pale kuna eneo maarufu ni kama business center fulani hivi maarufu kwa jina la KABWE....hiyo ilijengwa wakati Wilson Kabwe akiwa mkurugenzi wa jiji la mbeya. Lakini alipofanya ufisadi mbeya...na kupigiwa kelele.....Mizengo pinda akaona isiwe taabu...akamuhamisha mtu wake na kumpeleka mwanza.
Kumbuka kuna kipindi fulani Mh.Sugu (mbunge wa mbeya mjini) alipiga sana kelele kuhusu ufisadi alioufanya Kabwe pale mbeya lakini akalindwa kwa kuhamishwa. na maojawapo ni ile ujenzi wa soko jipya baada ya kuungua moto ulikuwa chini ya kiwango na yeye ndie aliyekula 10% .
3. Akahamishiwa Mwanza...nako akaharibu....akamishiwa dar. Sasa kumbuka kuwa ilikuwa ngumu kumuwajibisha Wilson kabwe kwa sababu aliyekuwa anateua...ni waziri Mkuu.....ambaye by then alikuwa mtu waliye-oa katika familia moja, je unadhani atawajibishwa na nani?? Hata Mkwere alikuwa anajua Kabwe na pinda wameoa familia moja...unadhani rahisi kumuwajibisha?
NB: Usidhani Rais ndio anateua wakurugenzi wa manispaaa, miji au majiji,....Waziri mkuu ndio incharge....na ndipo hapo WILSON KABWE ALIPOBEBWA NA MUME MWENZIE ndugu PM ...a.k. mzee wa kulialia.
Hata sasa huo uchunguzi lazima utamsafisha tu kabwe kwa sababu ni mtu amabaye analindwa na system na ufisadi aliofanya yeye alikuwa ni daraja tu ila amekula na watu wakubwa wa serikali iliyopita.
Kama kuna mengine...karibu muongezee.
Acha kupotosha watu wewe! Jina la kabwe lilikuwepo kabla hata hamjamleta huyo fisadi wenu awe mkurugenzi paleHapo nimejifunza kitu kimoja tu kwamba kumbe eneo la Kabwe pale Mbeya ni legacy ya huyu Wilson Kabwe, basi.
Yah!!! Ni kweli panaitwa hivyo tangu Nyerere na MwinyiHyo Kabwe ya Mbeya unayosema ilikuwepo kabla hata ya huyo Wilson kuwa Mkurugenz wakati huo sugu anasoma pale Sangu hyo Kabwe iko tu usitudanganye bana
Wanapotoshana kweli yaniAcha kupotosha watu wewe! Jina la kabwe lilikuwepo kabla hata hamjamleta huyo fisadi wenu awe mkurugenzi pale
Mkuu mbona povu linakumiminika? Angalia post No. 1 ndio react hapo usinitemee vumbi la mate.Acha kupotosha watu wewe! Jina la kabwe lilikuwepo kabla hata hamjamleta huyo fisadi wenu awe mkurugenzi pale
Hyo Kabwe ya Mbeya unayosema ilikuwepo kabla hata ya huyo Wilson kuwa Mkurugenz wakati huo sugu anasoma pale Sangu hyo Kabwe iko tu usitudanganye bana
Eneo hilo lipo toka mimi napata akili zangu, labda inawezekana kabwe kadumu zaidi ya miongo minne madarakani. Wenye kujua historia vizuri njooni mtuweke sawa.Mwaka 1997 nimekanyaga Mbeya kwa mara ya kwanza nilikuta eneo linaloitwa Kabwe.
Wakati huo Kabwe alikuwa Mkurugenzi wa Mbeya?
UKWELI HUU UNAJULIKANA. NA MJUE ILE HALI ILIYOTOKEA PALE JANA NI HESABU TU YA NJISI YA KUMSHUGHULIKIA JAMAA KWANI ILIKUWA NGUMU KUDEAL NAYE.MAGHUFULI MJANJA ILA WATZ TUNAKIMBILIA KULALAMA BILA KUFIKILIA KWANINI MH RAIS KAFANYA HIVI AU VILE
Yadaiwa kila anakohamishiwa kikazi huzua fujoYou have generalized it too much! Be specific with facts. Cjui mara kaharibu! Kaharibu kwa kufanya nn?
Nami nilitaka kumwambia the same.Hyo Kabwe ya Mbeya unayosema ilikuwepo kabla hata ya huyo Wilson kuwa Mkurugenz wakati huo sugu anasoma pale Sangu hyo Kabwe iko tu usitudanganye bana
Akiwa mkurugenzi wa jiji la Mwanza alipiga dili nyingi ambazo vijana wa njini wanasema 'za usoni kabisa' akawa analelewa tu.. Kupitia dili hizo alijenga vitega uchumi kadhaa ikiwemo Hoteli ya kifahari ya "Royal Sunset Beach" kule Luchelele!
na huko ndiko (inadaiwa) alipeleka pampu za kusukuma maji za gari mojawapo la zimamoto la halmashauri ya jiji la Mwanza ili zitumike kusukuma maji hotelini/kwenye mabwawa ya samaki hotelini hapo kutoka ziwani.
Kwa muda mfupi niliomfahamu Wilson Kabwe, amewasikitisha sana watu wa Mwanza, miongoni mwa mengi aliyoharibu ni kwamba, amepiga dili katika uuzaji na Ujenzi wa Klinic Makongoro mwanza, ambayo Ujenzi wa clinic tunaambiwa ni zaidi ya billion 2 zimetumika wakati hospital haina hadhi hiyo, lkn pia ameacha vilio vingi ktk ugawaji wa viwanja Luchelele, watu walijiuliza kiburi hiki jamaa anakitoa wapi chakutafuna hela za watanzania bila aibu. Tunauomba uchunguzi usiyaache haya tafadhali.Kwa manufaa ya jumuiya wana JF, na watanzania wengine,
Naomba mfahamu hili.
Ndugu Wilson Kabwe ambaye mnapiga kelele humu jamvini kuhusu kutumbuliwa kwake hajaanza ufisadi leo wala jana.
Huyu ni mtu anayepiga dili na watu wakubwa serikalini, na wao ndio humtumia kufanikisha ufisadi. Na mara anapofanikiwa kufisadi sehemu moja basi huamia sehem nyingine.
Usilolijua ni hili hapa:-
1. Bwana Wilson Kabwe ameoa katika familia moja....na aliyekuwa Waziri Mkuu....mzeee wa kulialia machozi...mzee wa kupinda na Zengo....na Pita. Kwa hiyo Wilson Kabwe na waziri mkuu alyestaafu ndugu Mizengo ni kama mtu na ndugu yake....na huyu PM mstaafu ndio aliyekuwa anambeba bwana kabwe muda wote.
2. Kwa wale wakazi wa mbeya wanajua pale kuna eneo maarufu ni kama business center fulani hivi maarufu kwa jina la KABWE....hiyo ilijengwa wakati Wilson Kabwe akiwa mkurugenzi wa jiji la mbeya. Lakini alipofanya ufisadi mbeya...na kupigiwa kelele.....Mizengo pinda akaona isiwe taabu...akamuhamisha mtu wake na kumpeleka mwanza.
Kumbuka kuna kipindi fulani Mh.Sugu (mbunge wa mbeya mjini) alipiga sana kelele kuhusu ufisadi alioufanya Kabwe pale mbeya lakini akalindwa kwa kuhamishwa. na maojawapo ni ile ujenzi wa soko jipya baada ya kuungua moto ulikuwa chini ya kiwango na yeye ndie aliyekula 10% .
3. Akahamishiwa Mwanza...nako akaharibu....akamishiwa dar. Sasa kumbuka kuwa ilikuwa ngumu kumuwajibisha Wilson kabwe kwa sababu aliyekuwa anateua...ni waziri Mkuu.....ambaye by then alikuwa mtu waliye-oa katika familia moja, je unadhani atawajibishwa na nani?? Hata Mkwere alikuwa anajua Kabwe na pinda wameoa familia moja...unadhani rahisi kumuwajibisha?
NB: Usidhani Rais ndio anateua wakurugenzi wa manispaaa, miji au majiji,....Waziri mkuu ndio incharge....na ndipo hapo WILSON KABWE ALIPOBEBWA NA MUME MWENZIE ndugu PM ...a.k. mzee wa kulialia.
Hata sasa huo uchunguzi lazima utamsafisha tu kabwe kwa sababu ni mtu amabaye analindwa na system na ufisadi aliofanya yeye alikuwa ni daraja tu ila amekula na watu wakubwa wa serikali iliyopita.
Kama kuna mengine...karibu muongezee.
kuna kipindi JK alikuwa mwanza sijui akizindua daraja flani hivi akasema kuwa anajua mwanza kuna MCHWA wa kutafuna fedha sasa sijui mr. dhaifu alichukulia poa tuKwa muda mfupi niliomfahamu Wilson Kabwe, amewasikitisha sana watu wa Mwanza, miongoni mwa mengi aliyoharibu ni kwamba, amepiga dili katika uuzaji na Ujenzi wa Klinic Makongoro mwanza, ambayo Ujenzi wa clinic tunaambiwa ni zaidi ya billion 2 zimetumika wakati hospital haina hadhi hiyo, lkn pia ameacha vilio vingi ktk ugawaji wa viwanja Luchelele, watu walijiuliza kiburi hiki jamaa anakitoa wapi chakutafuna hela za watanzania bila aibu. Tunauomba uchunguzi usiyaache haya tafadhali.
We chizi nini...mbona hueleweki ulichokiandika.Nashukuru sasa vijana wa Ukawa wamejapambanua katika rangi yao halisi kua ni watetezi wa mafisadi ..kumbe zile kelele ulikuwa unafiki na uzandiki..Haya na Meya wa municipal ya Ilala anayetokana na Ukawa amewasimamisha kazi wahandisi wanne haya nategemea vujana wa ufipa ...kuja kulaani hatua ya meya wao hahaha.