Msilikizeni Zitto Kabwe, Clouds FM muda huu

Msilikizeni Zitto Kabwe, Clouds FM muda huu

Status
Not open for further replies.
Do not make any judgement/decision when you are angry.
Haya maneno walisema wazee wa kale
 
mwanaume kumsifia mwanaume mwenzako kwa style hiyo kuna shida kidogo hata kamaa unampenda punguza mahaba

anyway msikilizeni mtuambie anaongea nini wengine tuna allegy na sauti ya kibonde mzee wa chini ya meza

Umejuaje kama Shy land mwanaume
 
Last edited by a moderator:
Kwani huyu shai land ni mwanaume?
mwanaume ndio..
YMxy1Vjej 1JQzJznVK4UFBQUFBQUswUlVwoKCgoKilnmvwH Ur56tPMPagAAAABJRU5ErkJggg==
 
Mwanaume muda siyo mrefu atauguruma kwenye spika za Clouds muda huu. Mtanzania msikilize mwanaharakati SIMBA wa nyika mpenda watanzania na
mpigania haki za wanyonge.

Mwanaume kwako kwa kuwa anakuvua chupi..kwetu zzk ni pimbi tu
 
Nadhani Zitto akaimarishe ACT yao maana kama ana ndoto za kisiasa hasa ubunge 2015 anahitaji kujipanga na kusubiri bunge livunjwe rasmi!?
 
Mwanaume muda siyo mrefu atauguruma kwenye spika za Clouds muda huu. Mtanzania msikilize mwanaharakati SIMBA wa nyika mpenda watanzania na
mpigania haki za wanyonge.

Mwanaume kwako, mie namuona ni bidada flani mwenye shobo za kiboya
 
Kwa washauri wa Zitto mwambieni atulie aache kutokota. Haya mambo aliyataka mwenyewe and since he is over 18 years acha ayabebe. Huwezi kushindana na sauti ya wanyonge ukapona. Alishavuna pesa nyingi kwa kuiuza na kutaka kuiangamiza kabisa CDM sasa ameshindwa na CDM ni pendwa kila kukicha. Ni fundisho kwa wasaliti wote. Ahamie CCM au akajiunge na ACT agombee urais October na hapo ndipo ataaibika kimoja. Alijiona kuwa yeye Zitto hakuna wa kumfikia ila kwa unafiki wake ameumbuka, tena vibaya.
 
gharama ya kesi ataweza lipa kweli? afu kiinua mgongo ndo hvyo tena...wenye hesabu tafadhari.
 
we dada mleta mada kuna siku zito ashakuvua pichu?

kama uko nae close mshauri aimarishe chama chake kipya ACT na agombee urais huko kigoma tu!
 
Kwa washauri wa Zitto mwambieni atulie aache kutokota. Haya mambo aliyataka mwenyewe and since he is over 18 years acha ayabebe. Huwezi kushindana na sauti ya wanyonge ukapona. Alishavuna pesa nyingi kwa kuiuza na kutaka kuiangamiza kabisa CDM sasa ameshindwa na CDM ni pendwa kila kukicha. Ni fundisho kwa wasaliti wote. Ahamie CCM au akajiunge na ACT agombee urais October na hapo ndipo ataaibika kimoja. Alijiona kuwa yeye Zitto hakuna wa kumfikia ila kwa unafiki wake ameumbuka, tena vibaya.

Hivi ilikwisha wahi kudhibitishwa kwamba huyu jamaa alihongwa au bado ni tetesi
 
Waha sijui warundi akili zao ndogo sana hata kutulia akafikiri kwa mapana ameshindwa
 
Hivi ilikwisha wahi kudhibitishwa kwamba huyu jamaa alihongwa au bado ni tetesi

Kama wewe ni mfuatiliaji wa JF walishaweka evidence hapa mkuu. Waombe wataalam wakufufulie thread hizo. Ni mnafiki nambari one Zitto Kabwe. Ameumbuka.
 
ZITTO ebu tumia akili kidogo tu....OMBA MSAMAHA YAISHE...Kila mwenye akili timamu anajua nguvu kubwa na mchango wako ktk CHADEMA lakini kujijengea jina baada ya chama huo ni utoto, usaliti wa vijiela vya usalama wa taifa na kuitumikia CCM sio sawa ata kidogo....Una maadui wengi ndani yaCCM na serikalini hasa wale ulioziba mianya ya ufisadi wao hivyo kwahatua hii kwao ni sherehe hasa ESCROW victims....ni mengi yakukushauri ila ili zingatia OMBA MSAMAHA YAISHE KWANI NDOTO YAKO IPO NDANI YA CHADEMA OVER
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom