Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,078
- 25,042
Wale tumepigwaAcha wamsome Zwangendaba na Kinjekitile Ngwale 😅😅
story ya wangoni kutoka South inatusaidia nini? 😀 mimi mchaga nasoma story za wangoni
Wale tumepigwaAcha wamsome Zwangendaba na Kinjekitile Ngwale 😅😅
Ameshaingizwa kwenye cycle of painumeongea kwa uchungu, anyway ngoja nisome comments![]()

Alikuw ana ID tatu zote Zina majina shetani. Ile nyingine ya Ubobo ikafutlie mbali na hii ndio inaitw binadam mtakatifuKumbe amechange jina ? 😅😅
hata me naona, sio kwa mwandiko huu😅Ameshaingizwa kwenye cycle of pain![]()
Kesho ataleta uzi wa 'wanaume tutafute hela'hata me naona, sio kwa mwandiko huu![]()

Unaonaje nikaanza na wewe 😊pole sana, ila pisi bado ziko nyingi mno
Moto hauzimi kaka mkubwaLeejay49 naomba tuwe marafiki. Kama huna shida nakutumia CV zangu mapema![]()

ndo mnakojifichaga huko, utaskia tutafute hela kumbe kashapigwa na kitu kizito 🤣🤣🙌Kesho ataleta uzi wa 'wanaume tutafute hela'![]()
Sifa zangu😅😅🙌, em tuma Kwani nizione
usiniangushe bhana, zote hizi umeshindwa kuopoa hata moja rafiki yangu kweli?😅🙌Unaonaje nikaanza na wewe 😊
Ebu mpe kijana nyapu hiyoTafuta hela...kapuku wewe
Ndo ivo ile hasira wanatushauri tuiweke kwenye vitu vinginendo mnakojifichaga huko, utaskia tutafute hela kumbe kashapigwa na kitu kizito![]()


Point kbsMbuzi wengine hula kwa huruma za mchungaji. Kamba inaweza kuwa ndefu ila kafungwa kwenye uwanja wa basketball
😂😂😂 Mkuu huyo jamaa najua yangu mengi ila bado mwambie ajue na nyingineKumbe amechange jina ? 😅😅
Baki naeNi wa kiume....tunafanyaje sasa...
Tapeli huyo mchaga, njoo usambaani😅😅🙌, em tuma Kwani nizione
Kuna nyingine ukiipata nakupa mdogo wangu bureeAlikuw ana ID tatu zote Zina majina shetani. Ile nyingine ya Ubobo ikafutlie mbali na hii ndio inaitw binadam mtakatifu
Hebu atupie picha tumuone kwanz😀
bora tu hata ungenidanganya rafiki yangu, haaaaa🤣, mi sitaki 🙄🙄🙄Sifa zangu
1 I am married but natafuta mchepuko mzuri wa kunipa mawazo stress hazinitosh
2 Nina kitambi ila sio kikubwa sana
3 Sina kazi ila ninapiga vibarua sema sio vibarua vya kulima😀
4 Nina kiuwaraza ila kina nywele bado hakijasa upara
5 Mkristo
Navyofanania ngoja nitupie picha
View attachment 2593424View attachment 2593425
🤣🤣 mjini kila mtu ni young😀Point kbs
😂😂😂 Mkuu huyo jamaa najua yangu mengi ila bado mwambie ajue na nyingine
Baki nae
Tapeli huyo mchaga, njoo usambaani
Kuna nyingine ukiipata nakupa mdogo wangu buree
Picha yangu 😂😂😂 mkuu mm bado young sana
Gily we jamaa kwanini usingeimba regeSifa zangu
1 I am married but natafuta mchepuko mzuri wa kunipa mawazo stress hazinitosh
2 Nina kitambi ila sio kikubwa sana
3 Sina kazi ila ninapiga vibarua sema sio vibarua vya kulima😀
4 Nina kiuwaraza ila kina nywele bado hakijasa upara
5 Mkristo
Navyofanania ngoja nitupie picha
View attachment 2593424View attachment 2593425
😀😀 utataka tu😀😀😀bora tu hata ungenidanganya rafiki yangu, haaaaa🤣, mi sitaki 🙄🙄🙄
Kaka utavamia kambi ya jeshi 😂Leejay49 naomba tuwe marafiki. Kama huna shida nakutumia CV zangu mapema😀