Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
umeongea kwa uchungu, anyway ngoja nisome comments 😅🙌Wanaume wenzangu msile mazao na mbegu bana sisi watoto wenu tutapanda na kula nini?
Yani sasa hivi hata kama nimekaa tu na washkaji kwa jinsi pisi zinavyoliwa najua tu hata nikioa wataliwa tu alafu wanawake wanapenda mizagamuano yani sijui na bahati mbaya mademu wangunwote wanapenda
Ila mimi ni normal tu nafanya kwa kumiss sio chakula inapelekea kuwa na feelings na pressure
Kinachoniuma ni hawa kaka zetu wanapiga miguu yote vikongwe mpaka watoto sasa sisi tule nini?
Acheni hizo bana
....tunafanyaje sasa...