Msile vyote mtuachiage na sisi

Msile vyote mtuachiage na sisi

hizi sifa zinawafaa sana Analyse na Half american wana vizizi vya kupata mademu
Kwakweli watupe mbinu
Hakuna cha peke yako ndugu.

Mke wako ni demu wa mwenzako kama ilivyo demu wako ni mke wa kidume mwingine.

As long as hagongwi mbele yako maana hiyo itakuwa dharau, wewe endelea na yako tu. Ukipewa kula mengine yaache yapite.

Ukimchunguza bata sana hutomla.
Sawaaa
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
Kwakweli
Atumie dk zake 2 vizuri, afu apite hivi...
Wewe mm cwez tumia dk 2
 
Hakuna cha peke yako ndugu.

Mke wako ni demu wa mwenzako kama ilivyo demu wako ni mke wa kidume mwingine.

As long as hagongwi mbele yako maana hiyo itakuwa dharau, wewe endelea na yako tu. Ukipewa kula mengine yaache yapite.

Ukimchunguza bata sana hutomla.
So bro akikuletea ukimwi utajisikiaje?
Assume we ni mwanaume huna tabia za kimalaya , we ni mwendo wa kulala na mkeo basi, mtu yeyote ukihisi ndivyo sivyo mchunguze tu, magonjwa ni mengi mno.
 
So bro akikuletea ukimwi utajisikiaje?
Assume we ni mwanaume huna tabia za kimalaya , we ni mwendo wa kulala na mkeo basi, mtu yeyote ukihisi ndivyo sivyo mchunguze tu, magonjwa ni mengi mno.
Kuna kipindi katika maisha inabidi uishi kwa matumaini tu kutarajia yaliyo na heri maana moyo wa mtu ni kiza kinene.

Hakuna unaloweza fanya kumzuia mtu kuchepuka akitaka kuchepuka. Ndio maana nikasema as long as hafanyi mbele yako na huna shaka kuwa anafanya lolote baya basi unaishi kwa kujipa moyo tu.

Ikitokea ukaletewa ngoma basi hayo ndio majaaliwa yako.

Itakuwa uzembe kupata maradhi ikiwa unajua anazini nje ila kama hujui ni ajali kazini.
 
Kuna kipindi katika maisha inabidi uishi kwa matumaini tu kutarajia yaliyo na heri maana moyo wa mtu ni kiza kinene.

Hakuna unaloweza fanya kumzuia mtu kuchepuka akitaka kuchepuka. Ndio maana nikasema as long as hafanyi mbele yako na huna shaka kuwa anafanya lolote baya basi unaishi kwa kujipa moyo tu.

Ikitokea ukaletewa ngoma basi hayo ndio majaaliwa yako. Itakuwa uzembe kupata maradhi ikiwa unajua anazini nje ila kama hujui ni ajali kazini.
Mhhhhh
 
🤣🤣🤣🤣 aisee we Fala sana

Aliyekwambia nina 48 years nani? watu wa 48 nawaamkia shikamoo🤣🤣🤣 unavuta bangi sana we dogo🤣🤣
😂🤣 namba haziongopi mkuu
 
Back
Top Bottom