Msikilize CAG hapa kuhusu mojawapo ya matatizo ya TANESCO

Hapo hiyo issue ya TANESCO options ni chache tu wananchi tuongezewe bei ya unit kufidia au umeme ushushwe bei kwa mzalishaji anaewauzia tanesco au mkataba uvunjwe au tuachane na huyo muuzaji nk...kweli kazi ya kuiongoza tanzania sio nyepesi!
 
Hawa wanaosaini mkataba wa kununua umeme kwa bei kubwa namna hii (T sh 544.00 bei ya kununua T sh 279.00 bei ya kuuza) sijui huwa wanawaza nini jamani!? Hivi huwa wanajua hawa bei ambayo TANESCO inauza umeme wake kwa wateja wake? Ni kitu cha kushangaza sana.

Hapo hiyo issue ya TANESCO options ni chache tu wananchi tuongezewe bei ya unit kufidia au umeme ushushwe bei kwa mzalishaji anaewauzia tanesco au mkataba uvunjwe au tuachane na huyo muuzaji nk...kweli kazi ya kuiongoza tanzania sio nyepesi!
 
Hapo hiyo issue ya TANESCO options ni chache tu wananchi tuongezewe bei ya unit kufidia au umeme ushushwe bei kwa mzalishaji anaewauzia tanesco au mkataba uvunjwe au tuachane na huyo muuzaji nk...kweli kazi ya kuiongoza tanzania sio nyepesi!
Mkuu ukimsikiliza CAG vizuri ni kama ametoa suluhu katika hilo.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hawa wanaosaini mkataba wa kununua umeme kwa bei kubwa namna hii (T sh 544.00 biy ya kuuza T sh 279.00) sijui huwa wanawaza nini jamani!? Hivi huwa wanajua hawa bei ambayo TANESCO inauza umeme wake kwa wateja wake? Ni kitu cha kushangaza sana.
Nadhani mambo ya kutoana kishkaji ndio yanatufikisha hapa no wonder tanesco wana underperform
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Rais toka namjuwa namuunga Mkono kwa hili la Bandari tu.....ila ukurupukaji ni jambo baya sana likifanywa na mtu ambae ndio mtoa Maamuzi ya mwisho.

Nirudi kwenye Mada....kama Rais Ameshindwa kumwajibisha bashite sitegemei chochote toka kwake
 
Kuna dalili ya Mheshimiwa kutafuta kuungwa mkono nje ya CCM baada ya kuona hali si nzuri ndani ya chama. Tutegemee mabadiliko makubwa toka kwa Mheshimiwa katika siku zijazo.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hili la Bashite nalo linamchafua sana. Sijui kwanini hataki kuliona hili ili akamalizana nalo once and for all.

Rais toka namjuwa namuunga Mkono kwa hili la Bandari tu.....ila ukurupukaji ni jambo baya sana likifanywa na mtu ambae ndio mtoa Maamuzi ya mwisho.

Nirudi kwenye Mada....kama Rais Ameshindwa kumwajibisha bashite sitegemei chochote toka kwake
 
Hivi kwa nini tanesco wasiwekeze kwenye solar farms ili kupata umeme wa jua ambao ni very cheap? Pia kuna wind farms ambapo nchi nyingi zilizoendelea zinazalisha umeme kwa gharama nafuu pia bila kuathiri mazingira.

Serikali inatakiwa iruhusu wazalishaji umeme wadogo wazalishe umeme na kuuza directly kwa wateja ila kuwa na tight regulations kwenye bei ili ziendane na za tanesco au ziwe cheap zaidi. Hii itasaidia sana kuongeza uzalishaji wa umeme na kuwafikia watu wengi zaidi kwa muda mfupi.
 
Hili la Bashite nalo linamchafua sana. Sijui kwanini hataki kuliona hili ili akamalizana nalo once and for all.
Mkuu inahitajika unyenyekevu na ujasiri wa hali ya juu sana, kumuua mbu anayenyonya damu kwenye ngozi ya korodani, pengine unaweza kujikuta unakosa hata maamuzi ya kumfukuza ukajikuta unamuacha huku ukigugumia maumivu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa mabadiliko haya shukran zmuendee ndg Emanuel elbarik almaarufu kama nay wa mitego nadhan Ujumbe mkuu umemfikia mana c kwa mabadiliko ya ghafla HV..
 
Hivi kwa nini tanesco wasiwekeze kwenye solar farms ili kupata umeme wa jua ambao ni very cheap? Pia kuna wind farms ambapo nchi nyingi zilizoendelea zinazalisha umeme kwa gharama nafuu pia bila kuathiri mazingira.

Serikali inatakiwa iruhusu wazalishaji umeme wadogo wazalishe umeme na kuuza directly kwa wateja ila kuwa na tight regulations kwenye bei ili ziendane na za tanesco au ziwe cheap zaidi. Hii itasaidia sana kuongeza uzalishaji wa umeme na kuwafikia watu wengi zaidi kwa muda mfupi.
Mkuu kama wakithubutu kufata ushauri wa CAG wakaongeza na ujuzi wao basi nafikiri tatizo au muarobaini wa umeme kukatika litakiwa limetatuliwa kama sio kumalizika.
Jamaa kafafanua kwa ustadi sana.
 
Nakuelewa Mkuu lakini haya ni maumivu makubwa sana ambayo yanaitafuna TANESCO na Tanzania taratibu. Ni lazima tu itafutwe jinsi ya kuachana na maumivu haya makubwa.

Mkuu inahitajika unyenyekevu na ujasiri wa hali ya juu sana, kumuua mbu anayenyonya damu kwenye ngozi ya korodani, pengine unaweza kujikuta unakosa hata maamuzi ya kumfukuza ukajikuta unamuacha huku ukigugumia maumivu.
 
Kwa mabadiliko haya shukran zmuendee ndg Emanuel elbarik almaarufu kama nay wa mitego nadhan Ujumbe mkuu umemfikia mana c kwa mabadiliko ya ghafla HV..
Tuvute subra kwanza mkuu, maana mbwa akiwa na kichaa kumtabiri atakuuma au hatokuuma muda gani huwa ni ngumu sana.
 
Mkuu kama wakithubutu kufata ushauri wa CAG wakaongeza na ujuzi wao basi nafikiri tatizo au muarobaini wa umeme kukatika litakiwa limetatuliwa kama sio kumalizika.
Jamaa kafafanua kwa ustadi sana.
Ni kweli kabisa, zama za kuwa na monopoly katika utoaji wa huduma na mashirika ya serikali zimepitwa na wakati. Competition ina boresha huduma na pia kusaidia kushusha bei.
 
Nakuelewa Mkuu lakini haya ni maumivu makubwa sana ambayo yanaitafuna TANESCO na Tanzania taratibu. Ni lazima tu itafutwe jinsi ya kuachana na maumivu haya makubwa.
Mkuu herufi zangu zilihusiana na maamuzi juu ya Bashite, hili la Tanesco ni Kupe au "sundo" kabisa sio mbu, kwa hiyo inahitajika kumngoa na kumsigina.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii ya kuunda timu tatu za uchunguzi na moja haijulikan nimeikubali,

Yaani hapo lazima woote waje na jibu sahihi kbs, otherwise anatumbuliwa mtu hapo
 
Hii ya kuunda timu tatu za uchunguzi na moja haijulikan nimeikubali,

Yaani hapo lazima woote waje na jibu sahihi kbs, otherwise anatumbuliwa mtu hapo
Mkuu wanaweza kuja na majibu sahihi ila wakaja na majibu tofauti yanayotakiwa.
Na hapa Je ni team ipi anaiamini ndio kuzungumkuti, kuona mpaka inaundwa hiyo invisible team.
 
Hao ndio kina Dowans mtoto wa Richmond, mlezi wao Lowasa siku hizi amekuwa malaika wakati wameacha mikataba ya kifisadi kila kona.
 
Back
Top Bottom