Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
kama ripoti ya Nape kaikataa atashindwa nini kuzifungia kwenye kabati ripoti ambazo hazitamfurahisha hasa kwa Tume atakazoziunda mwenyewe?
Haya si ndio mambo ya escrow na PAP kaka. Kila mamvi ndio matufikisha huku. Sasa serikali lazima subsdize. Yaani hiyo tofauti inalipwa na kodi zetuInasikitisha sana kusikia wanakubali kusaini kununua umeme kwa bei kubwa kiasi hicho huku wao wakiuza kwa hasara ya shilingi 265 kwa kila unit! Hii ni hasara kubwa sana.
Mkuu mahakama ya mafisadi ipo jirani na Ubungo hapo au huna taarifa? Na unaye muita fisadi yupo ndani ya nchi hii, sijajua nini kimeshindikana mpaka leo kutoshitaki?Hao ndio kina Dowans mtoto wa Richmond, mlezi wao Lowasa siku hizi amekuwa malaika wakati wameacha mikataba ya kifisadi kila kona.
Tena alimtumbua mtu alivyotaka kupandisha bei ya UmemeHuyo raisi wenu nsikivu na mchukia rushwa,muulizeni kashifa ya Lugumi vipi? Au kumtoa uwaziri Kitwanga ndio basi mambo mswano?!
Tanesco kununua umeme kwa shs 500 na kuuza jwa sha 270 kwani hajui?
ccm ni shida,unadhani ccm hainufaiki kwenye hesabu hizi?Hawa wanaosaini mkataba wa kununua umeme kwa bei kubwa namna hii (T sh 544.00 bei ya kununua T sh 279.00 bei ya kuuza) sijui huwa wanawaza nini jamani!? Hivi huwa wanajua hawa bei ambayo TANESCO inauza umeme wake kwa wateja wake? Ni kitu cha kushangaza sana.
At least leo watanzania wamejua ukweli, ikiwa unafanya biashara na haujafika kwenye operational expenses una hasara ,ni lazima ufikie maamuzi ya yule mtumbuliwaji wa Tanesco.Tena alimtumbua mtu alivyotaka kupandisha bei ya Umeme
Huwa analewa kila anapoona jina la mtu limeanza na either na Dr au Prof. flani anaamini ndio watu wanaojua vitu vyote kuliko raia wengine wa Tanzania.Labda sasa mtaona point ya kwanini wengine walikuwa wanasema ni wazimu TANESCO kushusha bei za umeme.
Utafanya semina siku nzima tatizo la mianya ya ufisadi na poor services ni unqualified managers at all levels kupewa taasisi na technical position za serikari za mitaa hapo ndio kwenye tatizo.
Na wengi anawateua yeye mwenyewe raisi.
we WA wapi? Mbona kiswahili Ni ShidaNimependa sana hii kitu. Kuna vyingi sana baadhi ya viongozi wetu mpaka raia wa kawaida na wasomi wetu tukajifumza kitu kupitia kwake. Kwanza inaonesha yupo makini sana na kazi yake, pia anfanya presentation ya kuvutia kuendelea kumsikiliza jinsi anavyochambua taarifa zake.
Ni azina ya kipekee katika taifa. Naomba Mungu hasije haribiwa na wana siasa.
Sakata la kutumbuliwa kwa Nape kisha akashangiliwa na wananchi na wanahabari (kwa kumchoka Bashite) vimemfumbua macho.CAG Prof. Mussa J. Assad ameongea kama mtaalamu anayejiamini kuhusu majukumu yake na ripoti yake kwa ufupi mbele ya Mh. Rais John Pombe Magufuli ambaye ameonesha ameguswa.
Viongozi wengine waache uoga maana Mh. Rais leo ''amebadilika'' ameaanza kusikiliza maoni ya wataalamu, sijui ni nini kimetokea hadi Rais kuonesha ''kuguswa''. Ila ni mategemeo Mh. Rais ataendelea na hali hii ya ''mabadiliko na kuguswa'' ili kupata nafasi kusikiliza maoni ya wataalamu na wananchi wa kawaida kwa faida ya taifa.
mara nyingi watu wa miandiko ya aina hii huwa ni vilaz.!Inchi ? = Nchi√
Ukiyasika ? =ukiyasikia√
Husitoke ? =usitoke √
Siyo hivo. Bei ya kuuza ndiyo ilitakiwa itembee kuikuta bei ya kununa na hata iipite ipate kidogo ya kijikimu na kuwekeza miradi endelevu. Lakini waziri Muongo aliwakatalia nyongeza ya tariff iliyokubaliwa na EWURA. Tena kawambia washushe bei pale bei ya mafuta soko la dunia iliposhuka. Na vijiji kasema TANESCO wajenge bure "ili kuwasaidia wananchi wanyonge:. Sijui watu kama hawa walisoma wapi.Inasikitisha sana kusikia wanakubali kusaini kununua umeme kwa bei kubwa kiasi hicho huku wao wakiuza kwa hasara ya shilingi 265 kwa kila unit! Hii ni hasara kubwa sana.
By Athuman Mtulya Mtulya amtulya@tz.nationmedia.com
Dar es Salaam. Three months since President John Magufuli blocked the hiking of power tariffs, the Controller and Auditor General (CAG), Prof Mussa Asad, yesterday warned that current charges were costly to the state-run power firm, Tanesco.
The CAG tabled his 2015/16 financial year audit report in Parliament and noted, among other issues, that Tanesco had a huge accumulation of debts in form of capacity and energy charges from five Independent Power Producers (IPPs)/Emergency Power Producers (EPPs).
Tanesco buys power at an average price of Sh544.65 per unit and sells it at Sh279.35
Tanesco is bound to make losses, CAG report shows