Msigwa: Nina ndoto za urais!

Msigwa: Nina ndoto za urais!

Ameweza Kikwete atashindwaje Msigwa? Msigwa amejilinganisha na Kikwete akaona anao uwezo mkubwa wa kuongoza kuliko Kikwete na ukitaka kuamini angalia uwezo wa watu jimbo la Chalinze na Iringa Mjini.
 
ndoto ni ndoto na kia mtu ana haki ya kuota japokuwa naamini MSIGWA anawazidi kwa umbali wote waloonesha nia ukiacha mmoja tu SALIM AHMED SALIM!
 
Uraisi wetu siku hizi hata machizi wanautaka sijuwi wananchi wakoje wakishanza kuongozwa na machizi
 
MSIGWA ni bora zaidi kuliko hao VIBAKA wenu wa CCM wanaokesha wakizunguka kwenye nyumba za ibada wakitafuta uungwaji mkono!
 
Duh, kila mtu anataka Urais, kweli hii bongoland.

Yaani kama jk amefauru kukaa pale ikulu hata mimi nafaa kukaa ikulu na mtanzania mwingine anaweza kukaa ikulu na kutawala watanzania
 
Wana Ukumbi,

Sasa nimethibitisha kuwa CHADEMA ina hali mbaya sana katika kupata mgombea wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Hilo linatokana na kukosa "majembe" ndani ya chama kiasi cha watu wasio na sifa hata za kuwa wabunge (kwa mujibu wa rasimu ya jaji Warioba) nao kuwaza urais.

Mchungaji Msigwa ambae ni mbunge wa Iringa mjini kupitia tiketi ya CHADEMA, ametoa ya moyoni kuwa na yeye ana ndoto za urais kwani ana amini akipewa nafasi hiyo atafanya yale ambayo Watanzania wameyakosa kwa kipindi cha miaka zaidi ya 50 tangu uhuru.

Source: Facebook page ya Mchungaji Msigwa.

My take,

Hivi kweli mtu wa aina ya mchungaji Msigwa aliyekimbiwa na waumini kwenye kanisa lake, leo hii ana staili kufikiria kuongoza nchi!? Hii ni ajabu ya mwaka 2014.

tehe tehe tehe na wassira je?
 
kwa uwezo gani? kazi ya kushawishi maandamano yasiyo na tija kwa taifa ndo tumpe kura? asahau
 
Wana Ukumbi,

Sasa nimethibitisha kuwa CHADEMA ina hali mbaya sana katika kupata mgombea wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Hilo linatokana na kukosa "majembe" ndani ya chama kiasi cha watu wasio na sifa hata za kuwa wabunge (kwa mujibu wa rasimu ya jaji Warioba) nao kuwaza urais.

Mchungaji Msigwa ambae ni mbunge wa Iringa mjini kupitia tiketi ya CHADEMA, ametoa ya moyoni kuwa na yeye ana ndoto za urais kwani ana amini akipewa nafasi hiyo atafanya yale ambayo Watanzania wameyakosa kwa kipindi cha miaka zaidi ya 50 tangu uhuru.

Source: Facebook page ya Mchungaji Msigwa.

My take,

Hivi kweli mtu wa aina ya mchungaji Msigwa aliyekimbiwa na waumini kwenye kanisa lake, leo hii ana staili kufikiria kuongoza nchi!? Hii ni ajabu ya mwaka 2014.

Kwani Msigwa anatokea mikoa ya kasikazini mpaka afikirie kugombea urais kwa tiketi ya chagadema?
Safari yake ya kukaa cdm inakaribia kufikia tamati.
 
Kigezo cha kikatiba cha kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, uwe ni raia wa kuzaliwa ndani ya Tanzania. Uwe na umri usiopungua miaka 40, uwe walau na shahada ya chuo kikuu....aliyenavyo yeyote aweza kuingia katika seti ya kinyang'anyiro hicho.

Ni kweli kabisa. Hiyo ndiyo sheria yetu inavyosema. Hata kama huyo mtu anapenda michezo ya kitoto potelea mbali.
ImageUploadedByJamiiForums1398316917.707978.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
katibu mkuu wa chadema sasa hivi ni padri, anaefuata mchungaji.. kwa hiyo ukatibu mkuu wa chadema ni kwa viongozi wa makanisa tu?

Wewe unarahana za kuuza Jimbo kubwa jinga wewe... uliyemuuzi sasa naibu waziri wewe unasanga makario tuuu.
 
Huyu ameshajua ubunge iringa basi. Juzi ameshuhudiwa Mwakalebela akifanya mambo yake vijana wote wanamshangilia. Sasa hiyo ya kutaka urais ni ile vijana wa mjini wanasema nitokeje!!
 
Peter Msigwa.

Kuna mjinga MMOJA kule jamii forum kanisingizia kuwa nimetangaza kugombea urais, naona jambo Hilo sio bure, ni mkakati wa makusudi wa kujaribu kanisingizia,.. naomaba habari hiyo ipuuzwe, kwa nguvu zote, na bila Shaka tutarajie mengine ,kwani dhamira ni kujaribu kunichafua mbele ya jamii. Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na KITU ,na furaha ya bwana ndio nguvu yangu. I HAVE GOD, I HAVE THE POWER!
 
Back
Top Bottom