TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,564
Presidential posturing.
![]()
Labda akawe rais wa familia yenu!
Presidential posturing.
![]()
Itakua ni Jamhuri ya Vichaa. Then Mchungaji gani anakula ganja kama hana akili nzuri sasa akipiga viroba unadhani inakuaje?
....
......Tanganyika kwanza
Dr.Slaa kafanya urais uwe jambo jepesi sana mpaka Msigwa naye anataka kuwa rais wa Tanzania.
Haa haa haa... ni Kikwete lol. Ndio amefanya hata kina Ngeleja na Makamba wafikirie wanaweza kuwa marais (soma marahisi)Dr.Slaa kafanya urais uwe jambo jepesi sana mpaka Msigwa naye anataka kuwa rais wa Tanzania.
Wana Ukumbi,
Sasa nimethibitisha kuwa CHADEMA ina hali mbaya sana katika kupata mgombea wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Hilo linatokana na kukosa "majembe" ndani ya chama kiasi cha watu wasio na sifa hata za kuwa wabunge (kwa mujibu wa rasimu ya jaji Warioba) nao kuwaza urais.
Mchungaji Msigwa ambae ni mbunge wa Iringa mjini kupitia tiketi ya CHADEMA, ametoa ya moyoni kuwa na yeye ana ndoto za urais kwani ana amini akipewa nafasi hiyo atafanya yale ambayo Watanzania wameyakosa kwa kipindi cha miaka zaidi ya 50 tangu uhuru.
Source: Facebook page ya Mchungaji Msigwa.
My take,
Hivi kweli mtu wa aina ya mchungaji Msigwa aliyekimbiwa na waumini kwenye kanisa lake, leo hii ana staili kufikiria kuongoza nchi!? Hii ni ajabu ya mwaka 2014.
Hivi wee chiz unataka mfananisha Dk slaa na madaktari wako feki hawa
wa ccm vyuo gani walisoma?
Sishangai na sitamshangaa kwa ndoto hizo maana ana haki ya kikatiba kama mtz pili anajilinganisha na waliopo hasa kwa madudu wanayoyafanya kiasi kwamba hata angekuwa rais yeye asingeyafanya!! Kumbuka kuwa maneno ya mwanachadema yeyote si maneno ya chama kiasi cha kuzichukulia hisiia binafsi yawe ni kama maamuzi ya chama!!Wana Ukumbi,
Sasa nimethibitisha kuwa CHADEMA ina hali mbaya sana katika kupata mgombea wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Hilo linatokana na kukosa "majembe" ndani ya chama kiasi cha watu wasio na sifa hata za kuwa wabunge (kwa mujibu wa rasimu ya jaji Warioba) nao kuwaza urais.
Mchungaji Msigwa ambae ni mbunge wa Iringa mjini kupitia tiketi ya CHADEMA, ametoa ya moyoni kuwa na yeye ana ndoto za urais kwani ana amini akipewa nafasi hiyo atafanya yale ambayo Watanzania wameyakosa kwa kipindi cha miaka zaidi ya 50 tangu uhuru.
Source: Facebook page ya Mchungaji Msigwa.
My take,
Hivi kweli mtu wa aina ya mchungaji Msigwa aliyekimbiwa na waumini kwenye kanisa lake, leo hii ana staili kufikiria kuongoza nchi!? Hii ni ajabu ya mwaka 2014.
Anayetaman kuwa Rais wa watu lazima awe mtu, vinginevyo huku ni kudharauliana!!Hahahaha hata paka wangu atatamani urais sasa