Msigwa: Nina ndoto za urais!

Msigwa: Nina ndoto za urais!

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,830
Wana Ukumbi,

Sasa nimethibitisha kuwa CHADEMA ina hali mbaya sana katika kupata mgombea wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Hilo linatokana na kukosa "majembe" ndani ya chama kiasi cha watu wasio na sifa hata za kuwa wabunge (kwa mujibu wa rasimu ya jaji Warioba) nao kuwaza urais.

Mchungaji Msigwa ambae ni mbunge wa Iringa mjini kupitia tiketi ya CHADEMA, ametoa ya moyoni kuwa na yeye ana ndoto za urais kwani ana amini akipewa nafasi hiyo atafanya yale ambayo Watanzania wameyakosa kwa kipindi cha miaka zaidi ya 50 tangu uhuru.

Source: Facebook page ya Mchungaji Msigwa.

My take,

Hivi kweli mtu wa aina ya mchungaji Msigwa aliyekimbiwa na waumini kwenye kanisa lake, leo hii ana staili kufikiria kuongoza nchi!? Hii ni ajabu ya mwaka 2014.
 
....

......Tanganyika kwanza

Tanganyika Kwanza huku rais akiwa Msigwa.

Kweli nimeamini ni vyema kukubali kuongozwa na vichaa milele kuliko kuwapa CHADEMA madaraka hata kwa DK 3.
 
Tanganyika Kwanza huku rais akiwa Msigwa.

Kweli nimeamini ni vyema kukubali kuongozwa na vichaa milele kuliko kuwapa CHADEMA madaraka hata kwa DK 3.

.......mkiwa watatu halafu wenzako wakaondoka ukabaki peke yako then unaanza kuongea pekeyako tena kwa kupayuka...hiyo ni dalili tosha ya mental-disability !!!


tafakari .....
 

.......mkiwa watatu halafu wenzako wakaondoka ukabaki peke yako then unaanza kuongea pekeyako tena kwa kupayuka...hiyo ni dalili tosha ya mental-disability !!!


tafakari .....

Wewe ni wa kupuuzwa tu.
 
hahahahahahahahahahaa naona sasa mpaka vichaa watatamani urais.........
 
Dr.Slaa kafanya urais uwe jambo jepesi sana mpaka Msigwa naye anataka kuwa rais wa Tanzania.

Dr Slaa alishawahi kuwa rais! Hahahahahahaha sema nafsi yako inakusuta ila ukweli unaujua kuwa m.kwere kashindwa kuongoza nchi hadi kila mtu anafikiri kuwa rais.
 
Kwani kuna tofauti gani ya msigwa na jk? Mbona wote ni walewale tu?

We huwezi kufananisha nyoka na chatu hivi msigwa mzima kweli? Ha ha ha ha urais hadi unatamaniwa hata na msigwa!!!!!!??? Kweli dunia ina vituko
 
Msigwa anajijua watu wanavyomchukulia huku mtaani au haambiwi ukweli? Siku akiambiwa hata ubunge hatatamani kurudi tena sembuse urais.
 
hahahahahahahahahahaa naona sasa mpaka vichaa watatamani urais.........
huwezi jua anataka urais upi ila kama ni rais wa vijana tayari kuna Nyoshi-El-sadaat, kama ni rais wa wasafi kuna Diamond, kama ni rais wa Tz basi tunamtegemea Edo/Dr slaa, kama ni wa TFF tayari kuna malinzi, labda awe rais wa wazee
 
huwezi jua anataka urais upi ila kama ni rais wa vijana tayari kuna Nyoshi-El-sadaat, kama ni rais wa wasafi kuna Diamond, kama ni rais wa Tz basi tunamtegemea Edo/Dr slaa, kama ni wa TFF tayari kuna malinzi, labda awe rais wa wazee

Rais wa wabeba takataka
 
Back
Top Bottom