Msigwa anatamani urais kwa kuwa anaona nchi inavyoongozwa kiubabaishaji. Niliwahi kuona hotuba yake akichangia bungeni kuwa serikali kila wakati inakuja na mipango ileile ambayo haionyeshi matumaini ya kutukwamua kutoka hapa tulipo.
Na akatoa mapendekezo mazuri tu!
Tanzania tunahitaji kiongozi mwenye upeo mkubwa na aliyejitoa kutukomboa kutoka kwenye umaskini wetu. Sio kupigana vijembe bila hoja yoyote.
Na akatoa mapendekezo mazuri tu!
Tanzania tunahitaji kiongozi mwenye upeo mkubwa na aliyejitoa kutukomboa kutoka kwenye umaskini wetu. Sio kupigana vijembe bila hoja yoyote.