Msigwa: Nilipokuwa CHADEMA nilikuwa Mjinga

Msigwa: Nilipokuwa CHADEMA nilikuwa Mjinga

Mchungaji Msigwa alienda ccm baada ya Dalali mbowe kumnyang'anya haki zake . Ila hakwenda ccm kwa ajiri ya madaraka ..... lakini hata alipokuwa ccm bado alikuwa mkweli hakuwa chawa .... nakumbuka aliulizwa kuhusu Tundu Lisu akasema " Lisu ni Kiongozi mzuri sana anaubongo mzuri natamani siku moja aje kuwa Kiongozi wa Serikali aisaidie nchi " hakuna mwana ccm mwenye udhubutu huo .... kwa upande wangu nimefurahi sana kumuona akirejea CHADEMA. MSIGWA ni Asset kwa wapigania haki , Uhuru na mapambano ya kudai Katiba mpya . CHADEMA bado inahitaji watu kama hawa . Hata Halima Mdee naye aje aongeze nguvu kwenye mapambano haya . Sawa hakuna binadamu mkamilifu ila please wasihukumiwe bali watiwe moyo kwani safari ya siasa ya sasa ya nchi hii inahitaji moyo wa chuma na ukimuona mwana siasa anakuja CHADEMA hasa kwa nyakati hizi ujuwe kaja kwa moyo mmoja kabisa .
 
Wala Msigwa asilaumiwe kuwa mpinzani Tanzania unapaswa kuwa na Roho ngumu sana na ikiwezekana uwe na vyanzo vya siri vya kukuingia mapato la sivyo unakufa njaa ndiyo maana hata CVID 19 mimi siwalaumu kabisa na wakimaliza mda wao wa ubunge wakitaka kurudi waruhusiwe kwani pamoja walifanya makosa lakini hawakutoka nje ya misingi.
Nakuunga mkono 100% . Kwa hali ya siasa za sasa za nchi hii ( kutekwa , kuuwawa, kufilisiwa , kufungwa na kuumizwa ) lakini ukiona bado kuna mwanasisa anakuja CHADEMA basi ni shujaa haswa . Na apewe heshima sana . Mfno Msigwa ni shujaa sana . Dam za wa Tanzania na Laana haiwezi kupata
 
Nakuunga mkono 100% . Kwa hali ya siasa za sasa za nchi hii ( kutekwa , kuuwawa, kufilisiwa , kufungwa na kuumizwa ) lakini ukiona bado kuna mwanasisa anakuja CHADEMA basi ni shujaa haswa . Na apewe heshima sana . Mfno Msigwa ni shujaa sana . Dam za wa Tanzania na Laana haiwezi kupata
Vp kama ndo katumwa na CCM
 
Wala Msigwa asilaumiwe kuwa mpinzani Tanzania unapaswa kuwa na Roho ngumu sana na ikiwezekana uwe na vyanzo vya siri vya kukuingia mapato la sivyo unakufa njaa ndiyo maana hata CVID 19 mimi siwalaumu kabisa na wakimaliza mda wao wa ubunge wakitaka kurudi waruhusiwe kwani pamoja walifanya makosa lakini hawakutoka nje ya misingi.
Covid19 ukiwalaum utakuwa unawaonea Tu, kipindi kile magu hakuwa anatania, akina Lissu walipona Tu sababu Wana connection ulaya
 
Back
Top Bottom