Msigwa: Mtandao wa X tumejadiliana nao sana hatukuelewana tumeamua kuzima katika anga letu

Msigwa: Mtandao wa X tumejadiliana nao sana hatukuelewana tumeamua kuzima katika anga letu

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Kwa mara ya kwanza, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amefunguka kuhusu sababu ya mtandao wa kijamii X (zamani Twitter) kutopatikana nchini Tanzania.

"X tumejadiliana nao sana juu ya mtindo wao wa kuruhusu maudhui yasiyofaa kurushwa katika anga letu, baada ya mazungumzo ya muda mrefu hatukuelewana, tumeamua kuzima katika anga letu. Wameweka vitu ambavyo vinaruhusu kutengeneza maudhui ya kudhalilisha watu kwenye jukwaa lao, tumejitahidi kuwaambia hili hatukubaliani nalo hawakutusikiliza"

 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Sasa mbona Taasisi za serikali akiwemo na Mama mwenyew wanapost kila siku matukio yao huko.
Mnatumia VPN.

Yaan hamueleweki
Hivi mtamgazaji hakumuhoji hili swali, tungependa kufahamu kuhusu hilo kwa kweli
 
Sasa mbona Taasisi za serikali akiwemo na Mama mwenyew wanapost kila siku matukio yao huko.
Mnatumia VPN.

Yaan hamueleweki
Watanzania tuache uoga na hii ni kwa kuwa hatuko halisi kwenye yale tumayosema na hata yale tunayofanya na hivyo tunaogopa kuambiwa ukweli wala sii sababu nyingine.
 
Mtu mzima unampangiaje maudhui yakuangalia? X wanakigezo cha umri au ID au selfie kudhibitisha uko above age na unaweza angalia sensitive content.
 
Tuna bahati mbaya sana kama taifa kuongozwa na watu wa aina ya msigwa na wenzake,
Imagine anasema serikali imezima X wakati taasisi za serikali zinapost huko X
Na kiongozi wao wa manyumbu na mang'ombe aka utu na kazi mwenyewe anapost huko
 
Hio Twitter ya kuongea nao ili wafanye mnachotaka nyie itakuwa Twitter tena ?!! Bora muifungie isiwepo au kama nyie ndio mnaona mnaweza sana mfungue yenu
1760427973088.png
 
Wakati huo taasisi za serikali zikiongozwa na IKULU kila siku zinatuma jumbe kupitia X, kama wamezima wanatuma huko kumhabarisha nani?

Hizi akili zetu watanzania zinahitaji kupigwa chini.
 
Back
Top Bottom