Msigwa: Ilani ya CCM ni kama Gazeti tu

Msigwa: Ilani ya CCM ni kama Gazeti tu

It seems that you are not well educated regarding Governance in a given country. Kama ilani ya chama ndiyo huongoza kila kitu cha maendeleo nchini, jiulize kwa nini nchi huridhia makubaliano ya kimataifa? kwa nini nchi huwa ni mpango wa maendelao kwa mfano wa 2025 wakati ilani ya chama ni ya miaka mitano tu? kwa mfano tuna mpango wa kimataifa wa maendeleo wa 2030. Kwa nini tuna katiba? kwa nini tuna sheria na miongozo ya kisekta? tena sheria zingine ni za miaka ya nyuma kabisa kabla hata ya hiyo ilani ya juzi tu. Kwa nini tunafanya tafiti za kitaalamu wakati ilani ipo? My friend, for national development, you need to go beyond the mere interest of your party. Kwani daktari inahitaji ilani imuelekeze namna ya kumpasua mgonjwa au utaalamu ndio humuongoza? Mjenzi wa reli ilani inamsaidia nini katika utaalamu wa kuijenga? Ukweli ni kwamba kazi nyingi za maendeleo ya nchi huongozwa na utaalamu na siyo propaganda za ilani ya chama. Mkulima anasaidiwa nini kwenye utaalamu wa kilimo na hiyo ilani? Kwa kweli Ilani ya chama cha siasa ni sehemu ndogo sana ya mambo ya kusimamia kuleta maendeleo kwa sababu haijumuisha mambo mengi kiundani. Party manifesto is not Comprehensive enough to guide practices in development sectors. Tuna sekta nyingi sana za maendeleo ambazo mambo yake muhimu hayawezi kubebwa na kakitabu ka ilani. Ukubwa/ujazo wa ilani huwa ni sawa au mdogo kuliko sera ya sekta moja tu. Ukweli ni kwamba wanasiasa na ilani zao huwa na nafasi ya kusimamia tu yale ambayo wataalamu wameyapanga. Narudia tena kusema Ilani ya uchaguzi ya chama tawala ni sehemu ndogo tu ya kusimamia kuleta maendeleo ya nchi. Hamuwezi kuwagawia watumishi wote wa umma ilani ya uchaguzi mkadhani ndio maendeleo yatakuja. Nasema tena ilani ya chama si jumuishi bali ni ya kakikundi ka watu wa itikadi fulani. Natoa wito tusipoteze muda kuwagawia watumishi wa umma ilani ya chama eti iwaongoze kufanya kazi. Kazi za maendeleo huongozwa na utaalamu usiopatikana kwenye ilani bali kwenye taaluma husika. Hivi Rubani anayeendesha ndege unampa ilani imsaidie nini wakati ndege hurushwa kwa utaalamu? Acheni kupoteza muda na fedha za kurudufisha ilani badala ya kuwapa watu hizo fedha wafanye tafiti, na mengine ya kitaalamu.
Mkuu, umeandika vema sana, tatizo ni huyo unayemuelewesha ameshaoza ubongo.
 
atajuaje umuhimu wakati hata Ukawa waliingia uchaguzi Bila ilani? Kila mgombea alikuwa akibwabwaja tu yanayomjia kichwani akiwemo Msigwa.Hata Chadema wangeshinda kwa haya maneno yake ina maana angetakiwa atekeleze mpango wa miaka mitano ulioandaliwa Na serikali ya CCM.Sababu wakati anaingia madarakani huo mpango upo Na umeandaliwa Na serikali ya CCM inayokabidhi madaraka.Na huo mpango kuutengeneza unautengeneza kwa kuzingatia ilani ya Chama tawala.Hautungwi hewani kama hotuba zake hewa anazotoa.Moja ya sababu ya Mgombea uraisi wa UKAWA Lowasa kukataliwa Na wananchi ilikuwa sababu hakuwa Na ilani.Angeshika nchi angetekeleza ilani ipi? Ya CUF ,ya NCCR au ya Chadema? UKAWA walau wangekuwa Na ilani moja huyu Msigwa asingeita ilani kipeperushi! Hajui umuhimu wa Ilani sababu hajaona Chama chake Na UKAWA wakiitumia.Hushinda kwa maneno ya ulaghai laghai Bila ilani yoyote! Namhurumia.2015 mlikosa uraisi kwa kuwa hamkuwa Na hicho kipeperushi kinachoitwa ilani.UKAWA hamkuwa nacho Na hamna hadi muda huu
Ni ngumu sana kujua Kama una akili.
 
It seems that you are not well educated regarding Governance in a given country. Kama ilani ya chama ndiyo huongoza kila kitu cha maendeleo nchini, jiulize kwa nini nchi huridhia makubaliano ya kimataifa? kwa nini nchi huwa ni mpango wa maendelao kwa mfano wa 2025 wakati ilani ya chama ni ya miaka mitano tu? kwa mfano tuna mpango wa kimataifa wa maendeleo wa 2030. Kwa nini tuna katiba? kwa nini tuna sheria na miongozo ya kisekta? tena sheria zingine ni za miaka ya nyuma kabisa kabla hata ya hiyo ilani ya juzi tu. Kwa nini tunafanya tafiti za kitaalamu wakati ilani ipo? My friend, for national development, you need to go beyond the mere interest of your party. Kwani daktari inahitaji ilani imuelekeze namna ya kumpasua mgonjwa au utaalamu ndio humuongoza? Mjenzi wa reli ilani inamsaidia nini katika utaalamu wa kuijenga? Ukweli ni kwamba kazi nyingi za maendeleo ya nchi huongozwa na utaalamu na siyo propaganda za ilani ya chama. Mkulima anasaidiwa nini kwenye utaalamu wa kilimo na hiyo ilani? Kwa kweli Ilani ya chama cha siasa ni sehemu ndogo sana ya mambo ya kusimamia kuleta maendeleo kwa sababu haijumuisha mambo mengi kiundani. Party manifesto is not Comprehensive enough to guide practices in development sectors. Tuna sekta nyingi sana za maendeleo ambazo mambo yake muhimu hayawezi kubebwa na kakitabu ka ilani. Ukubwa/ujazo wa ilani huwa ni sawa au mdogo kuliko sera ya sekta moja tu. Ukweli ni kwamba wanasiasa na ilani zao huwa na nafasi ya kusimamia tu yale ambayo wataalamu wameyapanga. Narudia tena kusema Ilani ya uchaguzi ya chama tawala ni sehemu ndogo tu ya kusimamia kuleta maendeleo ya nchi. Hamuwezi kuwagawia watumishi wote wa umma ilani ya uchaguzi mkadhani ndio maendeleo yatakuja. Nasema tena ilani ya chama si jumuishi bali ni ya kakikundi ka watu wa itikadi fulani. Natoa wito tusipoteze muda kuwagawia watumishi wa umma ilani ya chama eti iwaongoze kufanya kazi. Kazi za maendeleo huongozwa na utaalamu usiopatikana kwenye ilani bali kwenye taaluma husika. Hivi Rubani anayeendesha ndege unampa ilani imsaidie nini wakati ndege hurushwa kwa utaalamu? Acheni kupoteza muda na fedha za kurudufisha ilani badala ya kuwapa watu hizo fedha wafanye tafiti, na mengine ya kitaalamu.
Mipango hata iwe ya kimataifa huwemo kwenye ilani sio Kila kitu ndani ya ilani huwa ni Short term kuna kipengele vingine huwa open ended mfano unakuta kuna kipengele kinaongelea kulinda mazingira kinasema tukipata ridhaa tutalinda mazingira.Mtaalamu wa mipango ukienda unachukua hicho kipengele ukijua Tanzania ina mazingira Ambayo ina share Na nchi zingine mfano maziwa tunashare Na nchi zingine,uchafuzi wa hali ya hewa nk ndio una incorporate kipengele cha mipango ya kimataifa kuwa serikali itashirikiana Na mataifa mengine mfano ya Africa mashariki kuhakikisha tatizo la mazingira la magugu maji na uvuvi haramu maziwa yote linakwisha ifikapo 2025.Tatizo la Wataalamu wetu wengi husahau ruling parties ndio unakuta mpango ume fail . Huwezi acha ruling political party manifesto ukajiita mtaalamu wakati unajua kuna political risk how do you mitigate that political risk kwenye mpango ili uwe successful ? lazima ilani uwe nayo karibu kama tool ya mipango yako ili ipate political support.
 
Mipango hata iwe ya kimataifa huwemo kwenye ilani sio Kila kitu ndani ya ilani huwa ni Short term kuna kipengele vingine huwa open ended mfano unakuta kuna kipengele kinaongelea kulinda mazingira kinasema tukipata ridhaa tutalinda mazingira.Mtaalamu wa mipango ukienda unachukua hicho kipengele ukijua Tanzania ina mazingira Ambayo ina share Na nchi zingine mfano maziwa tunashare Na nchi zingine,uchafuzi wa hali ya hewa nk ndio una incorporate kipengele cha mipango ya kimataifa kuwa serikali itashirikiana Na mataifa mengine mfano ya Africa mashariki kuhakikisha tatizo la mazingira la magugu maji na uvivu haramu maziwa yote linakwisha ifikapo 2025.Tatizo la Wataalamu wetu wengi husahau ruling parties ndio unakuta mpango ume fail . Huwezi acha ruling political party manifesto ukajiita mtaalamu wakati unajua kuna political risk how do you mitigate that political risk kwenye mpango ili uwe successful ? lazima ilani uwe nayo karibu kama tool ya mipango yako ili ipate political support.
Nchi zinazoendekeza siasa kila mahali na kuminya utaalamu na tafiti za kitaalamu ndio hizi zetu ambazo zinaitwa nchi maskini. Hizi ni nchi maskini hata katika mipango yao. Zinaweka siasa kuwa ndio kipaumbele kuliko utaalamu. Ona hata wewe unasema ili upate support lazima ukubaliane na ilani ya chama. sasa kwa nini wanasiasa hawataki kufuata utaalamu? Kwa nini wao tu ndio wanataka wataalamu wawasikilize wao na siasa zao? Hizo siasa badala ya utaalamu zimetufikisha wapi? Badilika ndugu yangu. Soma kila mahali uone What are the tenets for country development uone kama kipaumbele ni siasa na ilani ya chama.
 
Hivi ilani ya Chadema bado ipo mtandaoni?
Haipo ilikuwa Na kipengele cha kupambana Na ufisadi Lowasa alivyoingia Chadema wakaiondoa pamoja Na Lust of shame iliyokuwemo website ya Chadema ambamo Lowasa alitajwa kama fisadi.website ya Chadema Lowasa alipoingia waliifunga moja kwa moja.Sasa hivi chadema haina website yake ina blog tu Na yenyewe wameikana hiyo blog kuwa sio ya Chama ni ya watu binafsi diaspora.Kifupi waliifuta website yote Chadema haina website Wala blog Lowasa alivyoingia Chadema ikafutwa rasmi Na Kila kikichokuwa kwenye hiyo website.Chadema matapeli wakubwa wa kisiasa.Ukiingia mtandaoni hamna website ya Chadema Wala blog .Hiyo blog iliyoandikwa Chadema wameikana kuwa sio ya Chama
 
U
It seems that you are not well educated regarding Governance in a given country. Kama ilani ya chama ndiyo huongoza kila kitu cha maendeleo nchini, jiulize kwa nini nchi huridhia makubaliano ya kimataifa? kwa nini nchi huwa ni mpango wa maendelao kwa mfano wa 2025 wakati ilani ya chama ni ya miaka mitano tu? kwa mfano tuna mpango wa kimataifa wa maendeleo wa 2030. Kwa nini tuna katiba? kwa nini tuna sheria na miongozo ya kisekta? tena sheria zingine ni za miaka ya nyuma kabisa kabla hata ya hiyo ilani ya juzi tu. Kwa nini tunafanya tafiti za kitaalamu wakati ilani ipo? My friend, for national development, you need to go beyond the mere interest of your party. Kwani daktari inahitaji ilani imuelekeze namna ya kumpasua mgonjwa au utaalamu ndio humuongoza? Mjenzi wa reli ilani inamsaidia nini katika utaalamu wa kuijenga? Ukweli ni kwamba kazi nyingi za maendeleo ya nchi huongozwa na utaalamu na siyo propaganda za ilani ya chama. Mkulima anasaidiwa nini kwenye utaalamu wa kilimo na hiyo ilani? Kwa kweli Ilani ya chama cha siasa ni sehemu ndogo sana ya mambo ya kusimamia kuleta maendeleo kwa sababu haijumuisha mambo mengi kiundani. Party manifesto is not Comprehensive enough to guide practices in development sectors. Tuna sekta nyingi sana za maendeleo ambazo mambo yake muhimu hayawezi kubebwa na kakitabu ka ilani. Ukubwa/ujazo wa ilani huwa ni sawa au mdogo kuliko sera ya sekta moja tu. Ukweli ni kwamba wanasiasa na ilani zao huwa na nafasi ya kusimamia tu yale ambayo wataalamu wameyapanga. Narudia tena kusema Ilani ya uchaguzi ya chama tawala ni sehemu ndogo tu ya kusimamia kuleta maendeleo ya nchi. Hamuwezi kuwagawia watumishi wote wa umma ilani ya uchaguzi mkadhani ndio maendeleo yatakuja. Nasema tena ilani ya chama si jumuishi bali ni ya kakikundi ka watu wa itikadi fulani. Natoa wito tusipoteze muda kuwagawia watumishi wa umma ilani ya chama eti iwaongoze kufanya kazi. Kazi za maendeleo huongozwa na utaalamu usiopatikana kwenye ilani bali kwenye taaluma husika. Hivi Rubani anayeendesha ndege unampa ilani imsaidie nini wakati ndege hurushwa kwa utaalamu? Acheni kupoteza muda na fedha za kurudufisha ilani badala ya kuwapa watu hizo fedha wafanye tafiti, na mengine ya kitaalamu.
Ungetulia na kusoma uliyemjibu nadhani ungemuelewa vizuri labda nikukumbushe alichoandika kwa uchache amesema huwezi tengeneze bila kusoma au kutazama ilani ya chama tawala
 
Mipango hata iwe ya kimataifa huwemo kwenye ilani sio Kila kitu ndani ya ilani huwa ni Short term kuna kipengele vingine huwa open ended mfano unakuta kuna kipengele kinaongelea kulinda mazingira kinasema tukipata ridhaa tutalinda mazingira.Mtaalamu wa mipango ukienda unachukua hicho kipengele ukijua Tanzania ina mazingira Ambayo ina share Na nchi zingine mfano maziwa tunashare Na nchi zingine,uchafuzi wa hali ya hewa nk ndio una incorporate kipengele cha mipango ya kimataifa kuwa serikali itashirikiana Na mataifa mengine mfano ya Africa mashariki kuhakikisha tatizo la mazingira la magugu maji na uvivu haramu maziwa yote linakwisha ifikapo 2025.Tatizo la Wataalamu wetu wengi husahau ruling parties ndio unakuta mpango ume fail . Huwezi acha ruling political party manifesto ukajiita mtaalamu wakati unajua kuna political risk how do you mitigate that political risk kwenye mpango ili uwe successful ? lazima ilani uwe nayo karibu kama tool ya mipango yako ili ipate political support.
Hivi mwenye jibu sahihi la namna ya kukabiliana na uchafuzi wa mazingira ni mtaalamu wa mazingira au mwanasiasa?
 
U

Ungetulia na kusoma uliyemjibu nadhani ungemuelewa vizuri labda nikukumbushe alichoandika kwa uchache amesema huwezi tengeneze bila kusoma au kutazama ilani ya chama tawala
Hivi daktari mtaalamu wa upasuaji anatazama ilani ya chama ili imwambie namana ya kupasua au utaalamu wake wa upasuaji ndio unamwongoza? Msituaminishe kwamba siasa za ilani ndio dira ya utaalamu/ Hiyo si kweli. Hata hao wanaoandaa ilani hudonoa tu kwenye mambo waliyoyapanga wataalamu na bahati mbaya hawawezi kuyaweka mambo yote ya kitaalamu kwenye ilani zao. Hata kama chama kina madaktari na maprofesa watakaoandaa ilani lakini hawatumii upenzi wao wa chama bali wanatumia utaalamu walionao ambao umepatikana kwa kusoma au kujifunza na siyo kwa sababu ni wana chama wa chama fulani. Bila utaalamu hakuna cha ilani wala siasa zitakazoleta maendeleo kwenye sekta za maendeleo. Labda kwenye propaganda za majukwaani.
 
Nchi zinazoendekeza siasa kila mahali na kuminya utaalamu na tafiti za kitaalamu ndio hizi zetu ambazo zinaitwa nchi maskini. Hizi ni nchi maskini hata katika mipango yao. Zinaweka siasa kuwa ndio kipaumbele kuliko utaalamu. Ona hata wewe unasema ili upate support lazima ukubaliane na ilani ya chama. sasa kwa nini wanasiasa hawataki kufuata utaalamu? Kwa nini wao tu ndio wanataka wataalamu wawasikilize wao na siasa zao? Hizo siasa badala ya utaalamu zimetufikisha wapi? Badilika ndugu yangu. Soma kila mahali uone What are the tenets for country development uone kama kipaumbele ni siasa na ilani ya chama.
Sasa wewe mtaalamu kama huzingatii utaalamu kupata political support utafika wapi? Mfano una mpango mzuri wa kilimo lakini wanakijiji hawataki huo mpango wako .Nani wa kukusaidia zaidi ya politician Ku wa convince waukubali ? Sababu wewe kazi yako kujifungia tu makataba Na kuishi maeneo ya wazito Hujui namna ya ma lay men unavyoweza washawishi wakubali mpango wako.Mpango wowote usiposhirikisha ruling party itoe accent hesabu maumivu umekesha bure kuuandaa.ukiandaa uwe Na kipengele kinachoongelea utafanyaje ili mpango wako upate political support ya ruling party nje Na ndani ya bunge.Usipojali sio kesi Hayo machapisho yako ya mpango yachane kayatumie kama toilet paper wewe Na familia yako
 
Hivi mwenye jibu sahihi la namna ya kukabiliana na uchafuzi wa mazingira ni mtaalamu wa mazingira au mwanasiasa?
Chambua mtaalamu lakini pata political support ukitaka ufanikiwe.Vinginevyo utaishia kuwa frustrated kusoma ni pamoja Na kuwa na convincing power kwa wasio Wataalamu wawe wanasiasa nk kama huna rudi darasani katafute.Vinginevyo mipango ya mazingira hutafika nayo mbal hata uandike kitaalamu vipi Kuuandika mpango ni kitu kimoja kuunadi ukubalike ni kitu kingine.Lazima uwe Na kujua utaunadije mpango ukubalike Vinginevyo utaishia maktaba
 
Msigwa yupo sahihi sana. Mpango wa maendeleo wa Taifa ndio unaotekelezwa na siyo ilani ya chama. Wanaosema tunatekeleza ilani ya chama fulani, wamekosa uelewa.

Ilani inatumika katila kuomba kuchaguliwa. Chama kikichaguliwa hutumia ilani kupeleka mapendekezo ya mpango wa maendeleo kwenye Bunge.

Ilani inatakiwa iishie kwenye vikao vya CCM. Kama Taifa kinachotekelezwa ni mpango wa maendeleo wa Taifa na siyo ilani ya chama cha siasa.
Ilani ndio mkataba baina yetu wenyenchi na Serikali iliyopo nothing less nothing more.
 
Kumbe Mch. Msigwa Mweupe Sana kichwani

Mpango wa Maendeleo wa Miaka mitano unatengenezwa Kwa kutumia Ilani ya chama kilichoshika dola

Ndani ya Mpango ule wa Miaka mitano ukishauandaa ndio unazalisha Bajeti ya Mwaka mmoja mmoja ( Annual budget )


Sasa ukisema hutaki Ilani ya CCM Ila unataka Mpango wa Miaka mitano Ni Sawa Na kusema humtambui Rais ila unatambua cabinet yake
Anadhani mpango wa maendeleo hautokani na ilani
 
Sasa na huyu naye anayetembea na kakitabu kila aendeko....
 
Hivi daktari mtaalamu wa upasuaji anatazama ilani ya chama ili imwambie namana ya kupasua au utaalamu wake wa upasuaji ndio unamwongoza? Msituaminishe kwamba siasa za ilani ndio dira ya utaalamu/ Hiyo si kweli. Hata hao wanaoandaa ilani hudonoa tu kwenye mambo waliyoyapanga wataalamu na bahati mbaya hawawezi kuyaweka mambo yote ya kitaalamu kwenye ilani zao. Hata kama chama kina madaktari na maprofesa watakaoandaa ilani lakini hawatumii upenzi wao wa chama bali wanatumia utaalamu walionao ambao umepatikana kwa kusoma au kujifunza na siyo kwa sababu ni wana chama wa chama fulani. Bila utaalamu hakuna cha ilani wala siasa zitakazoleta maendeleo kwenye sekta za maendeleo. Labda kwenye propaganda za majukwaani.
Umetoa mfano wa upasuaji mfano uko eneo ambalo watu huamini mtu akipasuliwa anakufa hawataki operation ya uzazi Wala nini.Wako tayari kufa wakijifungulia nyumbani huo mpango usiposhirikisha wanasiasa hata upewe fund ya mabilioni ya marekani Na vifaa vya upasuaji Na madaktari bingwa toka ulaya Na hospital ya kisasa ya upasuaji hufiki popote.Utabaki unatweta Na utaalamu wako.Wanasiasa wana polisi , mahakama nk kuhakikisha zoezi lako linafamikiwa .Ukiwa huna support wanakuacha Na li hospital lako ,Na mavyombo yako ya upasuaji Na madaktari wako.Utajijua.Si wahusika hawataki Na wewe hutaki kushirikiana Na wanasiasa.utajijua Na utaalamu wako
 
atajuaje umuhimu wakati hata Ukawa waliingia uchaguzi Bila ilani? Kila mgombea alikuwa akibwabwaja tu yanayomjia kichwani akiwemo Msigwa.Hata Chadema wangeshinda kwa haya maneno yake ina maana angetakiwa atekeleze mpango wa miaka mitano ulioandaliwa Na serikali ya CCM.Sababu wakati anaingia madarakani huo mpango upo Na umeandaliwa Na serikali ya CCM inayokabidhi madaraka.Na huo mpango kuutengeneza unautengeneza kwa kuzingatia ilani ya Chama tawala.Hautungwi hewani kama hotuba zake hewa anazotoa.Moja ya sababu ya Mgombea uraisi wa UKAWA Lowasa kukataliwa Na wananchi ilikuwa sababu hakuwa Na ilani.Angeshika nchi angetekeleza ilani ipi? Ya CUF ,ya NCCR au ya Chadema? UKAWA walau wangekuwa Na ilani moja huyu Msigwa asingeita ilani kipeperushi! Hajui umuhimu wa Ilani sababu hajaona Chama chake Na UKAWA wakiitumia.Hushinda kwa maneno ya ulaghai laghai Bila ilani yoyote! Namhurumia.2015 mlikosa uraisi kwa kuwa hamkuwa Na hicho kipeperushi kinachoitwa ilani.UKAWA hamkuwa nacho Na hamna hadi muda huu

Kwa kawaida mipango ya miaka 5 inaanza mwaka wa fedha unaofuatia mwaka wa uchaguzi mfano mpango wa sasa ni (2016-20210) na tayari ulishatungiwa sharia sasa mabadiliko yeyote ya ilani kwa sasa hayawezi kuwa kwenye mpango wa miaka 5. na kwa sasa kinachotekelezwa ni mpango wa miaka mitano sio ilani tena.

sawa na mtu anaenda kutoa mahari (bnti anaitwa mchumba) unafunga ndoa badala ya kumuita mke (unaendelea kumuita mchumba)
 
It seems that you are not well educated regarding Governance in a given country. Kama ilani ya chama ndiyo huongoza kila kitu cha maendeleo nchini, jiulize kwa nini nchi huridhia makubaliano ya kimataifa? kwa nini nchi huwa ni mpango wa maendelao kwa mfano wa 2025 wakati ilani ya chama ni ya miaka mitano tu? kwa mfano tuna mpango wa kimataifa wa maendeleo wa 2030. Kwa nini tuna katiba? kwa nini tuna sheria na miongozo ya kisekta? tena sheria zingine ni za miaka ya nyuma kabisa kabla hata ya hiyo ilani ya juzi tu. Kwa nini tunafanya tafiti za kitaalamu wakati ilani ipo? My friend, for national development, you need to go beyond the mere interest of your party. Kwani daktari inahitaji ilani imuelekeze namna ya kumpasua mgonjwa au utaalamu ndio humuongoza? Mjenzi wa reli ilani inamsaidia nini katika utaalamu wa kuijenga? Ukweli ni kwamba kazi nyingi za maendeleo ya nchi huongozwa na utaalamu na siyo propaganda za ilani ya chama. Mkulima anasaidiwa nini kwenye utaalamu wa kilimo na hiyo ilani? Kwa kweli Ilani ya chama cha siasa ni sehemu ndogo sana ya mambo ya kusimamia kuleta maendeleo kwa sababu haijumuisha mambo mengi kiundani. Party manifesto is not Comprehensive enough to guide practices in development sectors. Tuna sekta nyingi sana za maendeleo ambazo mambo yake muhimu hayawezi kubebwa na kakitabu ka ilani. Ukubwa/ujazo wa ilani huwa ni sawa au mdogo kuliko sera ya sekta moja tu. Ukweli ni kwamba wanasiasa na ilani zao huwa na nafasi ya kusimamia tu yale ambayo wataalamu wameyapanga. Narudia tena kusema Ilani ya uchaguzi ya chama tawala ni sehemu ndogo tu ya kusimamia kuleta maendeleo ya nchi. Hamuwezi kuwagawia watumishi wote wa umma ilani ya uchaguzi mkadhani ndio maendeleo yatakuja. Nasema tena ilani ya chama si jumuishi bali ni ya kakikundi ka watu wa itikadi fulani. Natoa wito tusipoteze muda kuwagawia watumishi wa umma ilani ya chama eti iwaongoze kufanya kazi. Kazi za maendeleo huongozwa na utaalamu usiopatikana kwenye ilani bali kwenye taaluma husika. Hivi Rubani anayeendesha ndege unampa ilani imsaidie nini wakati ndege hurushwa kwa utaalamu? Acheni kupoteza muda na fedha za kurudufisha ilani badala ya kuwapa watu hizo fedha wafanye tafiti, na mengine ya kitaalamu.
Nadhani kuna shida ya kuelewa maana ya ilani na mpango mkakati. Uandikaji wa ilani unaangalia mambo mengi sana ikiwemo marejeo ya mikataba ya kimataifa, ya kimkoa(East Africa customs union), sera za nchi kama sera ya afya,sera ya madini n.k.Ilani pia inaanglia vipaumbele vya wananchi. Ilani inaweza kuondoa hata vision za nchi, mikataba ya kimataifa na hata baadhi ya sheria kama siyo vya manufaa kwa wananchi. Ilani ni bidhaa ya chama kwa kipindi husika na bidhaa hii inapelekwa sokoni kupitia kampeni. Wanachi wakiridhika na hii bidhaa wanainunua kwa kupitia sanduku la kura.
 
Kwa kawaida mipango ya miaka 5 inaanza mwaka wa fedha unaofuatia mwaka wa uchaguzi mfano mpango wa sasa ni (2016-20210) na tayari ulishatungiwa sharia sasa mabadiliko yeyote ya ilani kwa sasa hayawezi kuwa kwenye mpango wa miaka 5. na kwa sasa kinachotekelezwa ni mpango wa miaka mitano sio ilani tena.

sawa na mtu anaenda kutoa mahari (bnti anaitwa mchumba) unafunga ndoa badala ya kumuita mke (unaendelea kumuita mchumba)
Sio kweli mipango huwa inakuwa reviewed kwanza Kila mwaka mfano umetengeneza mpango wa miaka mitano donor ka hi commit kuleta hela mwaka wa kwanza tu haleti pesa anasema mpaka ukubali ushoga Na usagaji ndio nikupe unagoma anasema basi sababu umegoma sikupi anarudi kufanya review.Mipango yetu ni rolling sio static Kila mwaka unafanya review.Mfano mpango ulisema Chadema watapewa ruzuku ya bilioni tatu Kila mwezi wakahama wote kuhamia CCM mwaka wa kwanza huwezi acha ule wa miaka mitano ubaki lazima ufanye review.Msigwa Na wewe mambo ya mipango kaeni mbali upeo wenu mdogo.Mleta mada Na log out sijadili tena.Niliyochangia yanatosha
 
Back
Top Bottom