Mashoga mna kazi usipotaka jina la kamanda wa CDM HATA MMOJA HULIPWI? Yaani MTEI AKAONGEE NA JANGILI? Tukutane mahakaman tushasema.
Kama una ushahidi wa tuhuma zako nenda kampelekee Msigwa, maana yeye mambo yamemkaba koo huko kwani hana ushahidi wa kuthibitisha juu ya kesi hiyo.
Nikutumie mawasiliano ya Msigwa ili umpe matumaini?
Mwenzako ana akili ndio maana ameona hatma ya hii kesi ni 'defamation', fidia yake si chini ya Tshs 1 billion, sasa kama una ushahidi fanya umsaidie au lah atafilisiwa yeye na CHADEMA yake.
hiyo kesi imekalia msigwa pabaya. tatizo ni kwamba mtei hana sifa ya usuluhishi. ni dikteta na hana busara
dada hamy c ukafanye kazi hata za saluni zitakulipa tu inakuaje unangaika usku na mchana kuhusu chadema
Nafanya haya yote kwa mapenzi mema niliyo nayo kwa nchi yangu, nimekataa kazi zenye reputation ili nije hapa jukwaani kuzifungua fikra za watu wa aina yako.
Kingine, naisema chadema kwa kuwa naogopa nchi yangu kuja kutawaliwa na majambazi na wauaji.
Hamy kunawatu hawajafundishwa kujua ukweli hata uko wazi kiasi gani wangebisha tu.
Mashoga mna kazi usipotaka jina la kamanda wa CDM HATA MMOJA HULIPWI? Yaani MTEI AKAONGEE NA JANGILI? Tukutane mahakaman tushasema.
Mburula wewe kwa hiyo JF ni yakukupandisha chati kwamba unatukana Dr Slaa na chadema muombe awe baba yako basi manake inaelekea hukupata malezi utotoni kutukana kwako unaona umepata degreeTatizo wewe U-CHADEMA umekuzidi, yaani kuweka taarifa za kueleza ukweli juu ya chama chako nimekuwa mtoto?
Kama mlidhani JF ni mahala pa kukuta taarifa za kumpamba Dr Slaa basi kwa sasa mtazi-miss sana, maana hana zuri la kuweza kupambwa yule babu. Tutaweka maovu yote mpaka database yetu itakapo isha ndio tutakapo acha, hakuna kulala mpaka CHADEMA ibaki uchi.
Mburula wewe kwa hiyo JF ni yakukupandisha chati kwamba unatukana Dr Slaa na chadema muombe awe baba yako basi manake inaelekea hukupata malezi utotoni kutukana kwako unaona umepata degree
Wewe binti mbona una fujo hivyo? nyinyi ndio mnajiwekea ndoa zenu lehani, kwani hakuna mwanamme ambae atakuwa tayari kupata shida na mwanamke machepele kama wewe, CHADEMA imetuaribia mpaka dada zetu sasa, yani una fujo kama Lema?