Msigwa amehamia CCM, tayari Lissu amezira

Msigwa amehamia CCM, tayari Lissu amezira

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
817
Reaction score
2,091
Tundu Lissu ameamua kuzira na kwa kiburi cha Mbowe asitarajie chochote kubadilika.

Mbowe aliwahi kumtoa Lissu kwenye Uenyekiti wa Kanda ya Kati kwa kumdhalilisha hivi hivi kama Msigwa Lissu akavumilia ila safari hii uvumilivu unaweza kumshinda.
 
Nashauri Lissu na wote, waondoke chadema wamwachie chadema mbowe na sugu, maana mbowe amekwisha kipasua chama!,
N. B,
Msigwa asipoueleza umma juu ya wizi, ubinafsi, rushwa za kina mbowe na genge lake na majumba waliyonunua dubai na S. A, kwa fedha za ruzuku hataeleweka!
 
Nashauri Lissu na wote, waondoke chadema wamwachie chadema mbowe na sugu, maana mbowe amekwisha kipasua chama!,
N. B,
Msigwa asipoueleza umma juu ya wizi, ubinafsi, rushwa za kina mbowe na genge lake na majumba waliyonunua dubai na S. A, kwa fedha za ruzuku hataeleweka!
Ruzuku ipi???
 
kwa heshima aliyonayo Lisu ikitokea anaachana na Chadema ajiweke pembeni na siasa, asiende upande wa pili, itamshushia heshima.
kani chadema anaheshima gani anavyo dhalilishwa na mbowe akataka kuonja sumu akwahishwa hospital@erythrocite
 
Nashauri Lissu na wote, waondoke chadema wamwachie chadema mbowe na sugu, maana mbowe amekwisha kipasua chama!,
N. B,
Msigwa asipoueleza umma juu ya wizi, ubinafsi, rushwa za kina mbowe na genge lake na majumba waliyonunua dubai na S. A, kwa fedha za ruzuku hataeleweka!
Lissu unamjua vizuri kqeli akitaka kuhama siyo staili ya Msigwa anajitambua ataitisha press na kutangaza straight. Acheni uzushi.
 
Nashauri Lissu na wote, waondoke chadema wamwachie chadema mbowe na sugu, maana mbowe amekwisha kipasua chama!,
N. B,
Msigwa asipoueleza umma juu ya wizi, ubinafsi, rushwa za kina mbowe na genge lake na majumba waliyonunua dubai na S. A, kwa fedha za ruzuku hataeleweka!
🚮🚮🚮
Mtasubiri sana nyie timu chawa, siyo kila mtu ananunulika
 
Tundu Lissu ameamua kuzira na kwa kiburi cha Mbowe asitarajie chochote kubadilika.

Mbowe aliwahi kumtoa Lissu kwenye Uenyekiti wa Kanda ya Kati kwa kumdhalilisha hivi hivi kama Msigwa Lissu akavumilia ila safari hii uvumilivu unaweza kumshinda

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Na unajiona bado upo sawasawa kichwani?
 
Tundu Lissu ameamua kuzira na kwa kiburi cha Mbowe asitarajie chochote kubadilika.

Mbowe aliwahi kumtoa Lissu kwenye Uenyekiti wa Kanda ya Kati kwa kumdhalilisha hivi hivi kama Msigwa Lissu akavumilia ila safari hii uvumilivu unaweza kumshinda

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Punguza uongo. Halafu Lissu yupo nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom