Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
<br />
<br />
HG ni mwanafamilia.mia
ooooookaaay
<br />
<br />
HG ni mwanafamilia.mia
Pls Gaijin hny, tumia mfano wangu! U r a primary skul teacher remember and a single mother erning 200,000 a month!
Don't tell me utapika visheti na kupeleka shule ukawauzie watoto ili uearn extra income. Coz ukiniambia hivyo nitakuuliza when do u andaa next days somo, and mark u shule ina walimu saba tu! Weye una madarasa 4 na masomo 3 unayofundisha!
<br /><br />Dah! Lawyer wa Husninyo kahuzuria na hasira sana. mia
Pls Gaijin hny, tumia mfano wangu! U r a primary skul teacher remember and a single mother erning 200,000 a month!
Don't tell me utapika visheti na kupeleka shule ukawauzie watoto ili uearn extra income. Coz ukiniambia hivyo nitakuuliza when do u andaa next days somo, and mark u shule ina walimu saba tu! Weye una madarasa 4 na masomo 3 unayofundisha!
<br />sometimes ni bora uchague lugha moja tu..<br />
au do valuer hizo lol<br />
jibu my pm
Kwa mtu anayejali, mfanyakazi wa ndani huwa si mtumwa wala mtu wa kunyanyaswa, bali ni kusaidiana. Bila ya kuangalia analipwa ngapi, cha muhimu ni "fair treatment". Nimeona waajiri ambao wanasomesha hawa watoto na kuwapa huduma zote kama kwamba ni watoto wao, au tuseme ni watoto wao wa kulea. Inafika wakati wanakuwa ni sehemu ya familia. Kwa hiyo Mkuu, unyanyasaji ni tabia ya mtu lakini haina lazima iwe kila mwajiri wa mhudumu wa ndani ni mnyanyasaji.
<br />
<br />
nilichojaribu kumaanisha ni kwamba mshahara anaolipwa hg inabidi iwe ni kiasi anachotakiwa anachobaki nacho baada ya kutoa gharama zake muhimu na matumizi hayawezi kuzidi mapato...
Kama wewe unapokea 1m na unaweza kusave laki1 basi ndivyo inavyotakiwa kwa hg kwamba anacholipwa kiwe ni saving kwake.
Piga mahesabu mfanyakazi wa serikali anayelipwa laki2 kama analipa kodi ya nyumba, bili ya maji, umeme, matibabu mengine mwisho wa siku anabakiwa na sh ngapi.
Kwa hg kama gharama zingine zote muhimu zitakuwa juu yake obvious mshahara lazima ungekuwa juu.
gaijin hebu toa ushauri unaoona unafaa hapa.....husininyo afanye nini???????
gaijini
we huoni kuwa husninyo anaweza kuwa anamsaidia pia huyo housegirl
kama kuna watu wanawalipa elfu kumi,na yeye husninyo amejitahidi na kuwalipa 30,000?????
Mkuu kwa vile unalipwa mshahara mdogo isiwe justification ya kumlipa mshahara mdogo housegirl. Mshahara wako mdogo simply means that you're not capable financially to employ another person. Unachotakiwa kufanya ni wewe ku-improve mshahara wako kwanza. Lakini ukitumia mshahara wako mdogo kujustify kumlipa housegirl mshahara mdogo mshahara wako utaendelea kuwa na mshahara mdogo as you won't bother thinking on improving it. Kwa maana nyingine utakuwa unafikiria backwards. Cha maana ni wewe kuongeza kipato chako kwanza ili nawe uweze kuajiri. If you don't have the means to do it, then don't try to do it immorally or possibly illegally.
Gaijin asume you are a single mother, primary school teacher mshahara wako ni 200,000 unaishi jijini Dar! U need a help na jua hakuna day care center mbagala (ulipopanga) na kuna binti katoka Iringa anatafuta kazi za ndani utafanyaje?
Huko nje unapolonganisha, kuna options; kwanza mishahara mizuri, kuna kazi za few hrs, kuna daycare ambazo ziko registered though expensive! Wanaume wako so understanding that wanapeana zamu na wake zao kutake care ya watoto! Hakuna mgao wa Umeme that appliances like washing machines, dish washer etc zinakuwa na meaning that kazi zinapungua! So unappcompare baadhi ya vitu, usiache vingine kwani kila kitu kinaeffect kwa kingine!
<br />Anahitajika housegirl umri wowote. Atakaa kwa mwajiri. Awe msafi. Mshahara elf 30 kwa mwezi.
<br /><br /><br />
<br /><br />
nimesema hivyo ili kuepuka maswali ya mshahara.<br />
Mkuu hiyo ndio mishahara yao wengi wao tukubali tukatae.<br />
Tatizo hapa kwenye keyboard watu tunajifanya wema sana tunajali maslahi ya wengine ila nimeuliza hapo chini, mfanyakazi wa kima cha chini anayelipwa laki 2 unategemea atamlipa hg sh ngapi?.<br />
Anyways, mawazo yako yamesikika.
<br />hahaha,hayo ndo maisha ya keyboard,kila mtu mtakatifu,lol!<br />
;
<br />
nashukuru mkwe wa kambo kwa kuliona hilo. Eti wengine wanadai wasichana wa kazi wanakosa muda wa kupumzika!
Ni suala tu la kupangilia ratiba zake vizuri na muda wa kupumzika wanapata ndio maana wengine mashavu yanawatoka kuliko wenye nyumba.
Hiyo ndio mentality ambayo imejikita Tanzania. Wengi wanafikiri kuwa ile ni charity na sio ajira.
Kama mtu hana uwezo wa kumlipa mtu mwengine mshahara wa haki, basi atafute means nyengine ya kutatua tatizo lake kama wanavyofanya watu nchi za nje.
<br />Hivi kweli mtu analipwa 30,000 tu!
<br />Wanasumbua sana siku hizi,mi binafsi kwa mwaka huu wamepita mabei 3 wanne na wameshalala mbele,ukipata wa bush anaweza kaa kidogo.La sivyo uka hire wa kimjini mjini lakini ndo hawatulii,wako ki mishe mishe.