Msichana wa kazi za ndani

Na mimi natafuta binti kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea mshahara elfu 60
Wewe ndio unaongea kwa mshahara. Watu wengi hawajui namna ya kuishi na wasichana waweze kukaa muda mrefu
1. Umri wa msichana ni muhimu sana
2. Malipo unayompa maana wasichana wa kazi ni sawa na wafanyakazi wa kawaida tunapenda kufahamu anayefanya kazi kama mimi analipwa kiasi gani.
3. Environment ya kazi iwe salama na yenye amani
4. Awe appreciated.

Kwangu ni mwiko kuwa na HG mwenye umri chini ya miaka 23. Mshahara namlipa kiasi hicho 60000/=. Nampa likizo, nampa siku ya mapumziko. K Ninamuheshimu. Kwa nini asikae na mimi miaka mingi? Kila mwaka nampandishia mshahara.
 
Wewe ndio unaongea kwa mshahara. Watu wengi hawajui namna ya kuishi na wasichana waweze kukaa muda mrefu
1. Umri wa msichana ni muhimu sana
2. Malipo unayompa maana wasichana wa kazi ni sawa na wafanyakazi wa kawaida tunapenda kufahamu anayefanya kazi kama mimi analipwa kiasi gani.
3. Environment ya kazi iwe salama na yenye amani
4. Awe appreciated.

Kwangu ni mwiko kuwa na HG mwenye umri chini ya miaka 23. Mshahara namlipa kiasi hicho 60000/=. Nampa likizo, nampa siku ya mapumziko. K Ninamuheshimu. Kwa nini asikae na mimi miaka mingi? Kila mwaka nampandishia mshahara.

Hawa wanao walipa mishahara midogo hawawathamini wafanyakazi.
Alafu kibaya zaidi wanawatenga chakula kikiandaliwa cha boss kama nyama na misosi mingine ya ukweli mfanyakazi anaambiwa ale ugali na maharage cha kushangaza utakula hicho chakula cha boss na familia yake yeye ndo amekiandaa wengine wanasema wakibakisha yaani makombo ndo ale mfanyakazi kwa hiyo anasubili boss na familia yake washibe ndo yeye aje ale makombo hayo.
 
nimesema hivyo ili kuepuka maswali ya mshahara.
Mkuu hiyo ndio mishahara yao wengi wao tukubali tukatae.
Tatizo hapa kwenye keyboard watu tunajifanya wema sana tunajali maslahi ya wengine ila nimeuliza hapo chini, mfanyakazi wa kima cha chini anayelipwa laki 2 unategemea atamlipa hg sh ngapi?.

Anyways, mawazo yako yamesikika.

kosa ni kosa, kwamba linafanywa na wengi hakufanyi kosa kuwa jambo la sawa na kama wewe unadhani unanyonywa na mwajiri wako hiyo haikupi leseni ya wewe kugeuka mnyonyaji.

ni mtazamo tu mkuu!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
heshima mbele...

fikiria mwajiri wako angetaka kukuajiri, uishi nyumbani kwake na kisha akulipe hizo elfu 30 ungejisikiaje?

tufike pahala tujisikie aibu kutangaza vitu kama hivi......hata kama tunafanya basi na iwe kimya kimya..kutangaza ni sawa na kuona tunachokifanya ni sawa..

tufike pahala tuone kuwa ajira ni msingi wa kumfanya mtu aweze kuishi maisha ya kujitegemea na kinyume chake ni unyonyaji.
nadhani ni haki hasa kwamba hivi sasa imekuwa ni dhiki kubwa kupata mabeki tatu...pongezi kwa shule za kata...pamoja na mapungufu yake lakini zimesaidia kupunguza aina hii ya utumikishaji wa watoto walio katika umri wa kwenda shule...ni matumaini yangu kuwa vitoto hivi vitakapotoka katika shule hizo za kata havitakubali ajira za kinyonyaji kama hii na kama ikibidi basi ni kwa maslahi yenye manufaa kwa maisha yao ya baadae.
najua ntawaudhi wengi lakini huu ndiyo mtazamo wangu.
nawakilisha!
Kwa mtu anayejali, mfanyakazi wa ndani huwa si mtumwa wala mtu wa kunyanyaswa, bali ni kusaidiana. Bila ya kuangalia analipwa ngapi, cha muhimu ni "fair treatment". Nimeona waajiri ambao wanasomesha hawa watoto na kuwapa huduma zote kama kwamba ni watoto wao, au tuseme ni watoto wao wa kulea. Inafika wakati wanakuwa ni sehemu ya familia. Kwa hiyo Mkuu, unyanyasaji ni tabia ya mtu lakini haina lazima iwe kila mwajiri wa mhudumu wa ndani ni mnyanyasaji.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
kosa ni kosa, kwamba linafanywa na wengi hakufanyi kosa kuwa jambo la sawa na kama wewe unadhani unanyonywa na mwajiri wako hiyo haikupi leseni ya wewe kugeuka mnyonyaji.<br />
<br />
ni mtazamo tu mkuu!
<br />
<br />
kosa ni kosa sikatai na hilo ni tatizo kulitatua lazima uanzie kwenye chimbuko(source).
 
Kumbuka kuwa huyu anayelipwa 30 elfu anaishi na familia. Na nahisi ni bora huyu anayelipwa 30 kwa kukaa na familia kuliko anayelipwa 100,000 wa kwenda na kurudi. Huko nje hesabu hasikubali kuishi kwa 100,000 kwa mwezi, lakini pale anapata malazi na chakula, (mara nyengine hufaidika na nguo na zawadi nyengine) na hakuna usafiri.
Kwa mfano, kiweka usafiri kwa mwezi (3.00X2X30= 18,000); + chakula tuseme 30,000 kwa wastani wa 1000 kwa siku, kodi ya chumba 30,000 minimum; huyu anayelipwa 30,000 tayari kasevu 78,000 kama angelikuwa wa kwenda na kurudi.
Hata hivyo, sikusudii kusema kuwa 30,000 ni nyingi, la hasha. Hawa wa kukaa na familia walipaswa kulipwa angalau 150,000 na wale wa kwenda na kurudi angalau 300,000 kwa mwezi.


Kuishi na familia isitumike kama hoja sahihi na kwa standards za kibinaadamu, anaeishi nyumbani kwa muajiri anatakiwa kulipwa pesa nyingi zaidi kwa sababu anakuwa hana freedom yake binafsi na hana masaa maalum ya kazi.

Hawa wanaamshwa saa kumi na moja kuchota maji, na hawalali mpaka wasafishe nyumba na kulaza watoto saa tano usiku wakati mwengine. Na ndio msingi hasa nchi za nje, live-in maids are way too expensive na hukuti watu kuwa nao majumbani hata wawe matajiri.

Tunahitaji kubadilika, kama hatu afford kuwa na mfanyakazi wa ndani, na tutafute means nyengine kama wanavyofanywa watu nchi za nje, lakini sio kuendelea kwenye ukandamizaji.
 
naona kazi zimekuzidia.ukirudi hamna umeme maji hayatoki,friji haifanyi kazi,umechoka nguo chafu zilizosafi hazijanyoshwa,majeans ya mzee machafuu halafu mwenyewe umefuga kucha.chakula cha mama ntilie hakipandi,chips umezikinai.napata picha unavyotaabika.pole sana ndg yangu.ikipita wiki hujapata nipm nikupe maujanja lakini inabidi uwe na roho ya mzazi siyo umkataze kula dagaa kwakuwa wewe hauli dagaa.mia
 
<br />
<br />
baada ya kutoa gharama zako zote za mwezi mshahara wako huwa unabaki sh ngapi?

Nafikiri tatizo lipo kwenye nadharia nzima ya tunavyolichukuliwa suala la mshahara wa mfanyakazi wa ndani. Apparently kuna wengine wanaoona kuwa mshahara wa mfanyakazi wa ndani unatakiwa upatikanae baada ya kutoa "gharama zako zote" wakati mwengine mshahara wa mfanyakazi wa ndani ni moja kati ya "gharama zake zote"

Besides "gharama zako zote" zinampaka gani?

Jee ujenzi wa nyumba ambao kila mwezi familia mnaweka 100,000 au zaidi unaingia kwenye gharama zako zote?

Viatu na shopping nyengine za nguo zinaingia kwenye gharama zako zote?

Money for entertainment kama michango ya kitchen party, harusi, eating out, zinaingia kwenye gharama zako zote?

Pesa za salon na mapambo mengine zinaingia kwenye gharama zako zote?

School fees ya watoto katika Special International Schools zinaingia kwenye gharama zako zote?

Nini kikomo cha gharama zako zote?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nafikiri tatizo lipo kwenye nadharia nzima ya tunavyolichukuliwa suala la mshahara wa mfanyakazi wa ndani. Apparently kuna wengine wanaoona kuwa mshahara wa mfanyakazi wa ndani unatakiwa upatikanae baada ya kutoa &quot;gharama zako zote&quot; wakati mwengine mshahara wa mfanyakazi wa ndani ni moja kati ya &quot;gharama zake zote&quot;<br />
<br />
Besides &quot;gharama zako zote&quot; zinampaka gani?<br />
<br />
Jee ujenzi wa nyumba ambao kila mwezi familia mnaweka 100,000 au zaidi unaingia kwenye gharama zako zote? <br />
<br />
Viatu na shopping nyengine za nguo zinaingia kwenye gharama zako zote? <br />
<br />
Money for entertainment kama michango ya kitchen party, harusi, eating out, zinaingia kwenye gharama zako zote? <br />
<br />
Pesa za salon na mapambo mengine zinaingia kwenye gharama zako zote? <br />
<br />
School fees ya watoto katika Special International Schools zinaingia kwenye gharama zako zote? <br />
<br />
Nini kikomo cha gharama zako zote?
<br />
<br />
gharama zako zote bila kikomo bila kusahau matumizi yako yawe ndani ya kipato chako au sawa sawa. Haya endelea.
 
<br />
<br />
gharama zako zote bila kikomo bila kusahau matumizi yako yawe ndani ya kipato chako au sawa sawa. Haya endelea.

Kwa definition hiyo ya gharama zako zote, hutaweza kamwe kutoa mshahara wa haki kwa mfanyakazi wako wa ndani, hata uwe na kipato cha aina gani. Coz gharama zangu zote hazina kikomo, na sina pesa ambayo siwezi kuwa na matumizi nayo.

Heck, gharama zangu zote zinaweza kujumlisha shopping spree at Milano, or a short summer holiday at Venice.


Kimsingi mshahara wa mfanyakazi wa ndani ni ndani ya gharama zako zote, na uwepo juu kwenye list ya hizo gharama zako
 
Kwa definition hiyo ya gharama zako zote, hutaweza kamwe kutoa mshahara wa haki kwa mfanyakazi wako wa ndani, hata uwe na kipato cha aina gani. Coz gharama zangu zote hazina kikomo, na sina pesa ambayo siwezi kuwa na matumizi nayo. <br />
<br />
Heck, gharama zangu zote zinaweza kujumlisha shopping spree at Milano, or a short summer holiday at Venice. <br />
<br />
<br />
Kimsingi mshahara wa mfanyakazi wa ndani ni ndani ya gharama zako zote, na uwepo juu kwenye list ya hizo gharama zako
<br />
<br />
nilichojaribu kumaanisha ni kwamba mshahara anaolipwa hg inabidi iwe ni kiasi anachotakiwa anachobaki nacho baada ya kutoa gharama zake muhimu na matumizi hayawezi kuzidi mapato...
Kama wewe unapokea 1m na unaweza kusave laki1 basi ndivyo inavyotakiwa kwa hg kwamba anacholipwa kiwe ni saving kwake.
Piga mahesabu mfanyakazi wa serikali anayelipwa laki2 kama analipa kodi ya nyumba, bili ya maji, umeme, matibabu mengine mwisho wa siku anabakiwa na sh ngapi.
Kwa hg kama gharama zingine zote muhimu zitakuwa juu yake obvious mshahara lazima ungekuwa juu.
 
<br />
<br />
nilichojaribu kumaanisha ni kwamba mshahara anaolipwa hg inabidi iwe ni kiasi anachotakiwa anachobaki nacho baada ya kutoa gharama zake muhimu na matumizi hayawezi kuzidi mapato...
Kama wewe unapokea 1m na unaweza kusave laki1 basi ndivyo inavyotakiwa kwa hg kwamba anacholipwa kiwe ni saving kwake.
Piga mahesabu mfanyakazi wa serikali anayelipwa laki2 kama analipa kodi ya nyumba, bili ya maji, umeme, matibabu mengine mwisho wa siku anabakiwa na sh ngapi.
Kwa hg kama gharama zingine zote muhimu zitakuwa juu yake obvious mshahara lazima ungekuwa juu.

Tunarudi kule kule "matumizi muhimu" ni yepi?

Mtu mwengine atakwambia school fees za wanawe ni matumizi muhimu (and that's a fact), lakini kumbe ni milioni 24 kwa mwaka kwa watoto wake watatu labda, na mfanyakazi wa ndani anamlipa 30,000 kwa sababu akishatoa "matumizi yake muhimu" habakiwi zaidi na 30,000 ya kumlipa mfanyakazi wa ndani.

Nnachotaka kusema ni kuwa, malipo ya mfanyakazi wa ndani lazima yaingie juu kwenye "matumizi muhimu" with proper mshahara, na ikishindikana kutafutwe means nyengine. Kuendeleza unyonyaji kwa vile serikali inakunyonya sio suluhisho.

Kusema kuwa analipwa 30,000 ambayo ni savings kwa sababu hana gharama nyengine ni wrong kwa kuwa huyu amepokonywa uhuru binafsi wa kuchagua namna ya kuishi.
 
gaijin hebu toa ushauri unaoona unafaa hapa.....husininyo afanye nini???????
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom