Msichana wa kazi za ndani

gaijin hebu toa ushauri unaoona unafaa hapa.....husininyo afanye nini???????

Boss siwezi kutoa ushauri kwa sababu sijui lifestyle yake wala kipato chake. Options zipo, lakini bila kujua uhalisia wa maisha yake hazitaweza kumfaa.

Mimi binafsi nimewahi kuwa "house girl" (for lack of a better word) nyumbani kwa mama yangu. Ni miaka 12 nyuma na nilikuwa nalipwa 50,000 mwisho wa mwezi kwa sababu hiyo ndio market value ya mtu aliyemaliza form 4 kiajira kwa wakati huo.

It was a win-win situation kwake na kwangu, coz mama alipata mtu anaemuamini, kumfundisha mwanawe kushughulikia nyumba yake na mimi nilipata ajira ambayo sikulazimika ku commute na pia kujifunza kuhudumia nyumba.

Ni option ambayo sio watu wengi wanaiona japo kuwa ipo. So it all depends on the lifestyle ya mtu
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Tunarudi kule kule &quot;matumizi muhimu&quot; ni yepi? <br />
<br />
Mtu mwengine atakwambia school fees za wanawe ni matumizi muhimu .
matumizi muhimu yanajulikana gaijin na tuache kupindisha ukweli.. Ni nani anayeweza kulipia school fees huku hana chakula, au anayeishi dampo ili alipe school fees? Anayeweza kutembea uchi ili amudu ada?
Tunajua kabisa watu wengi hawasomi lakini wanakula, wanavaa na wana pa kuegesha ubavu hata kama huduma zote hawazipati kwa viwango/ubora unaostahili. Mahitaji muhimu hapo ushayaona.
 
Boss siwezi kutoa ushauri kwa sababu sijui lifestyle yake wala kipato chake. Options zipo, lakini bila kujua uhalisia wa maisha yake hazitaweza kumfaa.

Mimi binafsi nimewahi kuwa "house girl" (for lack of a better word) nyumbani kwa mama yangu. Ni miaka 12 nyuma na nilikuwa nalipwa 50,000 mwisho wa mwezi kwa sababu hiyo ndio market value ya mtu aliyemaliza form 4 kiajira kwa wakati huo.

It was a win-win situation kwake na kwangu, coz mama alipata mtu anaemuamini, kumfundisha mwanawe kushughulikia nyumba yake na mimi nilipata ajira ambayo sikulazimika ku commute na pia kujifunza kuhudumia nyumba.

Ni option ambayo sio watu wengi wanaiona japo kuwa ipo. So its all depend na lifestyle ya mtu

from that experience unafikiri kwa leo
house girl alipwe kiasi gani....in house maid
na wale wa kuja na kuondoka...
so far wahindi wanalipa hiyo 50,000 leo hii kwa wale wa kuja na kuondokaa.....

nimeona umekubaliana na fidel kwa 60,000 kwa in house maid....is it?
 
Elfu 30000! Duh.
&lt;br /&gt; &lt;br / inatokana na mshahara wa bosi wake kw mdogo, mf: bosi analipwa laki 2 kwa mwezi atoe 1.nauli ya kazini 18,000 2.kodi ya vyumba v2. 50,000 3. Umeme na maji10,000 4.chakula 80,000 (ugali wa kulumangia) 5.msichana 30,000 6.matibabu 10,000 7. 2000 mengineyo km dawa za meno, kiwi nk
 
Nitahojiwa na CNN jioni ya leo kutoa msimamo wangu kuhusu Libya, kama hauna TV nenda kwa jirani yako! mwisho wa kipindi nitaipa ujiko JF. mia
 
Boss siwezi kutoa ushauri kwa sababu sijui lifestyle yake wala kipato chake. Options zipo, lakini bila kujua uhalisia wa maisha yake hazitaweza kumfaa.<br />
<br />
Mimi binafsi nimewahi kuwa &quot;house girl&quot; (for lack of a better word) nyumbani kwa mama yangu. Ni miaka 12 nyuma na nilikuwa nalipwa 50,000 mwisho wa mwezi kwa sababu hiyo ndio market value ya mtu aliyemaliza form 4 kiajira kwa wakati huo. <br />
<br />
It was a win-win situation kwake na kwangu, coz mama alipata mtu anaemuamini, kumfundisha mwanawe kushughulikia nyumba yake na mimi nilipata ajira ambayo sikulazimika ku commute na pia kujifunza kuhudumia nyumba. <br />
<br />
Ni option ambayo sio watu wengi wanaiona japo kuwa ipo. So its all depend na lifestyle ya mtu
<br />
<br />
if you are talking of market value then haina haja ya kuconsider life style, ability.......whatever, maana we have to comply with.
Ok then, tell us the market price for housegirl....
 
from that experience unafikiri kwa leo
house girl alipwe kiasi gani....in house maid
na wale wa kuja na kuondoka...
so far wahindi wanalipa hiyo 50,000 leo hii kwa wale wa kuja na kuondokaa.....

nimeona umekubaliana na fidel kwa 60,000 kwa in house maid....is it?


Unajua boss mimi ninacholilia ni kulazimisha kuwa na wafanyakazi wa ndani wakati kumbe uwezo hatuna na hivyo kulazimika kuingia kwenye kundi la wanyonyaji. Hivi vima vya chini vilivyowekwa na serikali are not there for nothing. Tungelikuwa tunalichukulia hili la wafanyakazi wa ndani kama ajira nyengine basi nakuhakikishia tungetafuta solutions nyengine kama walivyotafuta nchi za nje.

Siafiki in-house maids to begin with, but if a person cant live without one, amlipe walau kima cha chini.
 
<br />
<br />
if you are talking of market value then haina haja ya kuconsider life style, ability.......whatever, maana we have to comply with.
Ok then, tell us the market price for housegirl....

Mlipe kima cha chini. Na chama cha wafanyakazi kilio chao kikijibiwa, kima cha chini kikipandishwa, nawe mshahara wake itabidi umpandishie.
 
Mlipe kima cha chini. Na chama cha wafanyakazi kilio chao kikijibiwa, kima cha chini kikipandishwa, nawe mshahara wake itabidi umpandishie.
<br />
<br />
kima cha chini sh ngapi?
 
Mlipe kima cha chini. Na chama cha wafanyakazi kilio chao kikijibiwa, kima cha chini kikipandishwa, nawe mshahara wake itabidi umpandishie.

gaijini
we huoni kuwa husninyo anaweza kuwa anamsaidia pia huyo housegirl
kama kuna watu wanawalipa elfu kumi,na yeye husninyo amejitahidi na kuwalipa 30,000?????
 
gaijini
we huoni kuwa husninyo anaweza kuwa anamsaidia pia huyo housegirl
kama kuna watu wanawalipa elfu kumi,na yeye husninyo amejitahidi na kuwalipa 30,000?????

To me its not about what other people are doing, its about doing whats right. Its about humanity. Its about putting yourself in that person's shoes.

a. Will you like to live with your employer 24/7 ?

b. If not, how much do you deserve as inconvenience allowance and how much you deserve as a basic salary?

c. Would you work at another person's house and be happy with 30,000 take home?
 
Kumbuka kuwa huyu anayelipwa 30 elfu anaishi na familia. Na nahisi ni bora huyu anayelipwa 30 kwa kukaa na familia kuliko anayelipwa 100,000 wa kwenda na kurudi. Huko nje hesabu hasikubali kuishi kwa 100,000 kwa mwezi, lakini pale anapata malazi na chakula, (mara nyengine hufaidika na nguo na zawadi nyengine) na hakuna usafiri.<br />
Kwa mfano, kiweka usafiri kwa mwezi (3.00X2X30= 18,000); + chakula tuseme 30,000 kwa wastani wa 1000 kwa siku, kodi ya chumba 30,000 minimum; huyu anayelipwa 30,000 tayari kasevu 78,000 kama angelikuwa wa kwenda na kurudi.<br />
Hata hivyo, sikusudii kusema kuwa 30,000 ni nyingi, la hasha. Hawa wa kukaa na familia walipaswa kulipwa angalau 150,000 na wale wa kwenda na kurudi angalau 300,000 kwa mwezi.
<br />
<br />
hii hesabu nimeikubali kwa hiyo hawa wa nyumbani ndio wako cheap kuliko wa day safi sana..
 
To me its not about what other people are doing, its about doing whats right. Its about humanity. Its about putting yourself in that person's shoes.

a. Will you like to live with your employer 24/7 ?

b. If not, how much do you deserve as inconvenience allowance and how much you deserve as a basic salary?

c. Would you work at another person's house and be happy with 30,000 take home?


in that case if the girl is happy with the arrangement.....its okay...
trust me,some of these girls...will jump for the offer....
 
1.) Tukiangalia upande wa mlalahoi ambae hana pa kulala na anaishi kwa oxygen ya kukopa na anatafta sehem at least agaiwe ugali wa bure tu------- Husninnyo yupo right na anahitaji medali kwa kumkomboa mlalahoi kwa kumgaia elfu 30000 kwa mwezi ilihali yeye kamshahara kake ni laki na nusu na hela ya vocha anagaiwa na klorokwini.

2.) Tukiangalia human right (ambayo Tanzania ni ndoto) na kumjengea future houzigeli wa husninyo ili angalau na yeye siku ya harusi yake avae shela rangi ya udongo----------- Gaijin yupo right na anahitaji medali kwa kutetea haki sawa kwa wote mpaka mahauzigeli, (nashauri serikali ianzishe wizara ya mahauzigeli halaf Gaijin akuwe minister shadow au waziri kivuli)

Gaijin na Husninyo nyote mnastahili azabu kwa kupoteza muda wa lawyer klorokwini kwenye majibishano ya kizembe sana!

Sred Klosed
signed by: Klorokwini
seconded by: Paw
Witness: mchumbaangu cookie
 
in that case if the girl is happy with the arrangement.....its okay...
trust me,some of these girls...will jump for the offer....

Its not if the girl is happy with the arrangement, is it the right arrangement?

Kuna ile kesi Mwanamke wa Kitanzania alikubaliana na Mzungu kuingiliwa na Mbwa......she was happy with it, but was it a just arrangement?

A 14 year old who have a sexual relation with a 60 year old,.......she is happy, is it a just arrangement?

A grown woman in an abusive relation................she is happy, is it a just arrangement?

People are using job desperation as a loop hole for these arrangements, " I give you thirty, take it or go to somebody else who will give you ten".

It still wont make you a righteous person. You are both grazing on the wrong side of the field
 
Sisi wengine hatuyawezi haya ya wadada wasaidizi wa kazi za nyumbani. Hata kuwaita ma-house girl tu sipendi. Nawaoneaga huruma sana. Na sijawahi na wala sitegemei kuwa siku moja nitaajiri mdada au mkaka wa kazi za nyumbani kwa sababu yote wanayofanya hao wasaidizi naweza kufanya mwenyewe. Ni kupangilia muda wako vizuri tu na utaweza kufanya. Angalau kwangu hili linawezekana sasa sijui kwa wengine.

Ila kuna watu wengine naonaga kabisa kuwa huwa hawahitaji hao "house girls" lakini unakutata anaye. Tena anaye na anaishi humo humo ndani ya nyumba. Kwangu inasikitisha sana.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kima cha chini sh ngapi?
<br />
<br />
Ni 22,800 kwa wanaokaa kwa muajiri kwa maana huduma zote hadi medical ziko juu ya muajiri! Sh 60,000 kwa wanarudi makwao! Ila Market price ya Dar ni 40,000 upwards!
 
1.) Tukiangalia upande wa mlalahoi ambae hana pa kulala na anaishi kwa oxygen ya kukopa na anatafta sehem at least agaiwe ugali wa bure tu------- Husninnyo yupo right na anahitaji medali kwa kumkomboa mlalahoi kwa kumgaia elfu 30000 kwa mwezi ilihali yeye kamshahara kake ni laki na nusu na hela ya vocha anagaiwa na klorokwini.<br />
<br />
2.) Tukiangalia human right (ambayo Tanzania ni ndoto) na kumjengea future houzigeli wa husninyo ili angalau na yeye siku ya harusi yake avae shela rangi ya udongo----------- Gaijin yupo right na anahitaji medali kwa kutetea haki sawa kwa wote mpaka mahauzigeli, (nashauri serikali ianzishe wizara ya mahauzigeli halaf Gaijin akuwe minister shadow au waziri kivuli)<br />
<br />
Gaijin na Husninyo nyote mnastahili azabu kwa kupoteza muda wa lawyer klorokwini kwenye majibishano ya kizembe sana!<br />
<br />
Sred Klosed<br />
signed by: Klorokwini<br />
seconded by: Paw<br />
Witness: mchumbaangu cookie
<br />
<br />
khaaaaaaaaaaaa!!
Huku pm unampigia pande sister wako halafu hapa unazuga.
Ok, mwambie sister wako ajiandae kwa interview.
 
Back
Top Bottom