KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
ngoja nikajione
Afu ulete jibu naweza kukukwamua na umasikini but hakikisha uhard desire wa kichagga uache huko..
ngoja nikajione
mwalimu nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
Mirija yote ya za kuhonga inakatwa.aisee kwa awamu hii a tano ngumu kumeza
Warembo wanapenda machekibob,ambao ni watoto wa mama
duh nipo kama bibiAfu ulete jibu naweza kukukwamua na umasikini but hakikisha uhard desire wa kichagga uache huko..
duh nipo kama bibi
duh, hatari xana mana juzi kati kuna mmoja alikuwa anajisifia kuwa na makalio yaliyonona!
kwa heriDuuh pita mbali na mimi...
kwa heri
Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
ha ha ha,mi nina sura ya kazi,si unaniona lakiniElungata vipi wewe sio checkibobu warembo hawakupendi? Teh!!!
Huenda ni huyu huyu amebadili somo. Anatamani mmkumbuke jamani kuwa naye yupo kwenye chart
Very stupid....
I miss u
sawa mkuuWasalimie wa moshi...!