Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Kwani wadada wote ni warembo?I second you kabisa
Kufa maskini kwa msichana mrembo ni dhambiiii
In short kwa mdada yoyote.....
Lakini maisha ni bahati at times...
Kwani wadada wote ni warembo?I second you kabisa
Kufa maskini kwa msichana mrembo ni dhambiiii
In short kwa mdada yoyote.....
Lakini maisha ni bahati at times...
we jamaa utakuwa bwabwa sio bure.
Na wapo wengi kweli wanaotamani wangekuwa wanawake ili wahongwe, wengine wanaamua kuolewa kabisaaa!!
Duuuh! eeeh Mungu tunusuru na hili janga.
kwa hiyo unawaambia kina dada akiwemo na dada yako wajiuze sio?Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
atoto;
Ni himaya yenu imevamiwa, tena at a terific speed. Sidhani kama kamanda Mpinga anaweza kuzuia huo mwendo kasi. Sasa hivi ukiwa na kaka usimtambulishe kwa Bf wako, otherwise umenyang'anywa
Kwani wadada wote ni warembo?
we unalia umasikini kwa sababu mama yako mjinga aliolewa na baba yako msukuma mkokoteni wa ilala
atoto;
Ni himaya yenu imevamiwa, tena at a terific speed. Sidhani kama kamanda Mpinga anaweza kuzuia huo mwendo kasi. Sasa hivi ukiwa na kaka usimtambulishe kwa Bf wako, otherwise umenyang'anywa
Ok..So byutiful girls shud use beauty to their advantage?Hapana si wote... Kuna warembo na wazuri na wengineo
But if wengineo can live big why not kwa mrembo na mzuri...? Just saying.....
aisee kwa awamu hii a tano ngumu kumezaUsishangae sist ni mvulana huyo.... Anataka kuhongwa atieee, mwambie chei, cheiiiiiiiii
ngoja nikajionemisschagga wewe nae ni mzuri nini?
MMhhhh....Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
Ok..So byutiful girls shud use beauty to their advantage?