Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,090
- 165,241
Ruttashobolwa njoo umdele mwalimu
Last edited by a moderator:
sio kuhongwa mkuu warembo wanachances nyingi hata kwa baadhi ya ajira mfano wahudumu wa ndege,customer service,receptionist,filamu,mitindo ,utangazaji tv huko kote mtaji ni uzuri
Usishangae sist ni mvulana huyo.... Anataka kuhongwa atieee, mwambie chei, cheiiiiiiiiikiruuuuuuu kwa hiyo?
misschagga wewe nae ni mzuri nini?kiruuuuuuu kwa hiyo?
Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
very true....if u pretty and poor u must be stupid
Anenacho mtu ndicho kilichojaa moyoni mwake (Mungu sikia maneno ya huyu mtu na ukamtendee sawasawa na atakacho kwa mtoto wake wa kike- kama ni tasa ama hanisi ukamsaidie haja hii ya moyo wake kutimia kwa ndugu yake wa kike anayempenda sana na kumuwazia mema).Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
Pia mwanaume mwenye pesa kuwa na demu mbaya ni kujitakia
mi namjua aunti ingenja sijui ndo wewe
Nani alikuambia kuna msichana mbaya wewe??
Haya ndio madhara ya akina mama kuingiza wanaume ndan hovyo huku watoto wakiwa wanaona. Ww kijana bila shaka mama yako alikuwa muuza uchi ulizoea kumwona akijiuza ndio maana hata akili iko kwenye kuufanya mwili wa mwanamke kama kitega uchumi
Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
Anenacho mtu ndicho kilichojaa moyoni mwake (Mungu sikia maneno ya huyu mtu na ukamtendee sawasawa na atakacho kwa mtoto wake wa kike- kama ni tasa ama hanisi ukamsaidie haja hii ya moyo wake kutimia kwa ndugu yake wa kike anayempenda sana na kumuwazia mema).Mwalimu Nyerere aliwahi sema .'watanzania uchumi mnao lakini mnaukalia' unakuta msichana sura kama bibi yake anadrive vogue la kuhongwa wewe mtoto mzuri kutwa kugombania magari mpaka umekomaa kwa kupitia dirishani.
Tumia talanta yako mjini utakufa bure kwa kuzubaa.
everhurt;
Usiduwaeeee, ndicho kizazi cha dot com hiki. Atii anaona fahari saana kutamani kuwa laiti angelikwa wa kike. Angesha pewa gari mkoko naye auendeshe.
Nadhani huyu mtoto si riziki. Kwa mawazo yake haya, Mhhh